Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Young Killer atatufa management ya kusimamia ‘Matunzo Zero Unity’ pamoja na yeye

Young Killer Msodoki amesema anatafuta management itayokuwa inasimamia muziki wake pamoja na crew yake ya Matunzo Zero Unity. Young Killer ameiambia Bongo5 kuwa, yeye pamoja na crew yake wameshindwa kufanya vitu vizuri kutokana na kukosa management. “Tulikuwa tunataka kutoa ngoma ya Matuzo Zero Unity, lakini kwa bahati mbaya tumeshindwa kufanya hivyo kutoka na uchaguzi ila […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa

Baada kuwa kimya kwa takribani miaka miwili, Kundi la Mtu Chee lililokuwa linaundwa na rappers watatu, Ibrahim Mandingo a.k.a Country Boy, David Genzi a.k.a Young Dee pamoja na Boniventure Kabogo a.k.a Stamina linarudi rasmi likiwa na mabadiliko. Country Boy Member na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo Country Boy amesema kuwa Mtu Chee imepata member […]

 

9 years ago

Bongo5

Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee

mtu chee2Kulikuwa na utata kuhusu member mpya wa kundi la Mtu Chee ambalo hapo mwanzo liliundwa na rappers watatu, Stamina, Young D na Country Boy. Baada ya taarifa za Young Dee kuondoka kwenye kundi hilo, kulikuwa na taarifa kuwa Young Killer ambaye ameshiriki kwenye wimbo mpya wa kundi hilo, ‘Mtu Tatu’, kuwa ndio member mpya wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram

Wiki iliyopita mmoja wa waanzilishi wa kundi la Mtu Chee, Country Boy alisema kuwa Young Dee amejiengua kwenye kundi hilo na nafasi yake imechukuliwa na Young Killer. Wiki hii kuna cover imeanza kusambazwa ya ngoma mpya ya Mtu Chee ambayo kweli wanaonekana Country Boy, Stamina na Young Killer. Bongo5 imemtafuta Young Killer kutaka kufahamu kuhusu […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Young Killer arudi shule

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Erick Msodoki ‘Young Killer’, ametimiza ndoto zake za kurudi shule ambapo sasa anasomea teknolojia ya mawasiliano (IT). Nyota huyo chipukizi ambaye amejizolea umaarufu kupitia...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Young Killer — Mtanzania

Msanii Young Killer ameachia wimbo mpya unaitwa “Mtanzania” ikiwa ni kuhamasisha amani katika kipindi hiki cha kuelekea katika Uchaguzi wimbo umetaarishwa katika studio za Kiri Records na Producer Rash Don. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Young Killer anusurika kichura Mwanza

KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Mwanza, Erick Msodoki ‘Young Killer’, amenusurika kurushwa kichura na wanajeshi baada ya kukatiza katika kambi yao akiwa amevaa pensi inayofanana na sare...

 

11 years ago

GPL

YOUNG KILLER NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

MSANII wa Hip hop, Young Killer leo yupo ndani ya GLOBAL TV ONLINE akilonga kuhusu mambo mbalimbali yakiwemo ya muziki, maisha na mengine mengi. JE, UNGEPENDA AKUJIBU SWALI GANI WEWE KAMA SHABIKI WA MUZIKI?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani