Young Killer atatufa management ya kusimamia ‘Matunzo Zero Unity’ pamoja na yeye
Young Killer Msodoki amesema anatafuta management itayokuwa inasimamia muziki wake pamoja na crew yake ya Matunzo Zero Unity. Young Killer ameiambia Bongo5 kuwa, yeye pamoja na crew yake wameshindwa kufanya vitu vizuri kutokana na kukosa management. “Tulikuwa tunataka kutoa ngoma ya Matuzo Zero Unity, lakini kwa bahati mbaya tumeshindwa kufanya hivyo kutoka na uchaguzi ila […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL25 Apr
9 years ago
Bongo507 Oct
Young Killer ajiunga na kundi la Mtu Chee, achukua nafasi ya Young Dee aliyejitoa
11 years ago
Michuzi18 Feb
9 years ago
Bongo502 Nov
Stamina aondoa utata kuhusu Young Killer kuziba nafasi ya Young D kwenye Mtu Chee
![mtu chee2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/mtu-chee2-94x94.jpg)
9 years ago
Bongo513 Oct
Young Killer atoa ufafanuzi kuhusu kama kweli amejiunga rasmi Mtu Chee, na kama ana beef na Young Dee baada ya kum-unfollow Instagram
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Young Killer arudi shule
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Erick Msodoki ‘Young Killer’, ametimiza ndoto zake za kurudi shule ambapo sasa anasomea teknolojia ya mawasiliano (IT). Nyota huyo chipukizi ambaye amejizolea umaarufu kupitia...
9 years ago
Bongo512 Sep
Music: Young Killer — Mtanzania
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Young Killer anusurika kichura Mwanza
KINDA wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka Mwanza, Erick Msodoki ‘Young Killer’, amenusurika kurushwa kichura na wanajeshi baada ya kukatiza katika kambi yao akiwa amevaa pensi inayofanana na sare...
11 years ago
GPLYOUNG KILLER NDANI YA GLOBAL TV ONLINE