Kidato cha kwanza kufanya udahili wa pamoja
SERIKALI imesema ina mpango wa kuanzisha udahili wa pamoja wa wanafunzi wa kidato cha kwanza wanaotarajiwa kujiunga na shule za sekondari za serikali na binafsi. Msemaji wa Wizara ya Elimu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jan
2,466 waingia kidato cha kwanza Tarime
WANAFUNZI 2,466 kati ya 4,762 waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka jana kuingia kidato cha kwanza 2015 wamefaulu kujiunga na shule za sekondari wakiwemo wavulana 1,527 na wasichana 937.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmMzWaZmikMMOSLirUdLQmttogfKlGvV2S047pgJvKw8tGArRoScc5suFIL6RloeS5fjaxa9GfYcUHT4BYBJxpF*/Mwanafunzi.jpg?width=650)
DENTI KIDATO CHA KWANZA AFIA BWAWANI!
11 years ago
Habarileo22 Dec
Kidato cha kwanza 2014 kudahiliwa kielektroniki
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,kuanzia mwaka huu imeanza kutumia mfumo wa kielektroniki kwa wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza.
10 years ago
Habarileo23 Jan
RC acharuka kidato cha kwanza kutokwenda shule
MKUU wa Mkoa wa Rukwa Stella Manyanya ameagiza kuwa wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mkoani humo kufanya hivyo mara moja huku akisema suala hilo ni la lazima na si hiyari tena.
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Wanafunzi 500,000 wachaguliwa kidato cha kwanza
9 years ago
Mwananchi29 Dec
Wazazi kuweni makini na maandalizi ya kidato cha kwanza
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
11,380 Singida, wachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza
Katibu tawala mkoa wa Singida, Liana Hassan, akizungumza kwenye kikao cha mkoa cha kupangia shule wanafunzi waliofaulu mtihani wa taifa wa kumaliza elimu ya msingi mwaka huu,ili kuanza kidato cha kwanza mwakani.Wa kwanza kulia ni katibu tawala msaidizi kwa upande wa sekta ya elimu sekretarieti ya Mkoa,Fatuma Kilimia na kushoto ni mkuu wa wilaya ya Singida,Queen Mlozi.
Na Nathaniel Limu, Singida
JUMLA ya wanafunzi 11,380 mkoani Singida, wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwakani,...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Asilimia 97 wachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2015