RC acharuka kidato cha kwanza kutokwenda shule
MKUU wa Mkoa wa Rukwa Stella Manyanya ameagiza kuwa wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mkoani humo kufanya hivyo mara moja huku akisema suala hilo ni la lazima na si hiyari tena.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo12 Nov
TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA SEKONDARI YA WAMA - NAKAYAMA
![t29](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/t29.jpg)
TANGAZO- NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA WAMA NAKAYAMA NOVEMBER 05 2014.doc by moblog
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
TANGAZO: Nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya WAMA — Nakayama
TANGAZO- NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA WAMA NAKAYAMA NOVEMBER 05 2014.doc by moblog
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/t29.jpg?width=640)
TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA SEKONDARI YA WAMA - NAKAYAMA
10 years ago
Michuzi12 Nov
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/SKrIC3RTpc8/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog30 Oct
TANGAZO- Nafasi za kujiunga na kidato cha Kwanza- Shule za Sekondari WAMA NAKAYAMA na WAMA SHARAF
TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2016.doc
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2GPuD28HkY4/VjLwR4bkI0I/AAAAAAAIDcw/_fUmPkoXckc/s72-c/w1.png)
NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA- SHULE ZA SEKONDARI WAMA NAKAYAMA RUFIJI NA WAMA SHARAF LINDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2GPuD28HkY4/VjLwR4bkI0I/AAAAAAAIDcw/_fUmPkoXckc/s640/w1.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-A-uJIafh4vE/VjLwODce8dI/AAAAAAAIDck/ZkfUJkYcX8I/s640/w2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NFonGVfxtXg/VjLwN3KG1rI/AAAAAAAIDcg/B8VLKW-Au1Y/s1600/w.jpg)
Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) inatangaza nafasi za kidato cha kwanza kwa wasichana katika Shule zake mbili za Sekondari:
(1) Shule ya Sekondari WAMA - Nakayama iliyopo Kijiji cha Nyamisati Wilaya ya Rufiji , Mkoa wa Pwani:(2) Shule ya Sekondari ya WAMA- Sharaf iliyopo Mitwero katika Manispaa ya Lindi
WAMA ni Taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa na Mhe. Mama Salma...
10 years ago
Habarileo14 Jan
2,466 waingia kidato cha kwanza Tarime
WANAFUNZI 2,466 kati ya 4,762 waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka jana kuingia kidato cha kwanza 2015 wamefaulu kujiunga na shule za sekondari wakiwemo wavulana 1,527 na wasichana 937.