Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC acharuka kidato cha kwanza kutokwenda shule

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella ManyanyaMKUU wa Mkoa wa Rukwa Stella Manyanya ameagiza kuwa wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mkoani humo kufanya hivyo mara moja huku akisema suala hilo ni la lazima na si hiyari tena.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA SEKONDARI YA WAMA - NAKAYAMA

t29
TANGAZO- NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA WAMA NAKAYAMA NOVEMBER 05 2014.doc by moblog

 

10 years ago

Dewji Blog

TANGAZO: Nafasi za kujiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya WAMA — Nakayama

t29

TANGAZO- NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA WAMA NAKAYAMA NOVEMBER 05 2014.doc by moblog

 

10 years ago

GPL

TANGAZO NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA SHULE YA SEKONDARI YA WAMA - NAKAYAMA‏

TANGAZO  NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA WAMA- NAKAYAMA KWA MWAKA 2015 Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) inatangaza nafasi za kidato cha kwanza kwa wasichana katika Shule ya Sekondari ya WAMA- Nakayama iliyopo Nyamisati Wilaya ya Rufiji, Mkoa wa Pwani. WAMA ni Taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa na Mhe. Mama Salma Kikwete ili kusaidia maendeleo ya wanawake na watoto. WAMA inamiliki na...

 

9 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Michuzi

NAFASI ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA- SHULE ZA SEKONDARI WAMA NAKAYAMA RUFIJI NA WAMA SHARAF LINDI

 Shule ya Sekondari ya WAMA- Sharaf, Mitwero Lindi

Shule ya Sekondari ya WAMA- Nakayama, Nyamisati -Rufiji



Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) inatangaza nafasi za kidato cha kwanza kwa wasichana katika Shule zake mbili za Sekondari:


(1)   Shule ya Sekondari WAMA -  Nakayama  iliyopo Kijiji cha Nyamisati Wilaya ya Rufiji , Mkoa wa Pwani:

(2)   Shule ya Sekondari ya WAMA- Sharaf iliyopo Mitwero katika  Manispaa ya Lindi


WAMA ni Taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa na Mhe. Mama Salma...

 

10 years ago

Habarileo

2,466 waingia kidato cha kwanza Tarime

WANAFUNZI 2,466 kati ya 4,762 waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka jana kuingia kidato cha kwanza 2015 wamefaulu kujiunga na shule za sekondari wakiwemo wavulana 1,527 na wasichana 937.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani