Simu TV: Baadhi ya wanafunzi wanaotarajia kuanza kidato cha kwanza katika shule mbalimbali mkoani Tabora waripotiwa kuwa na Ujauzito
![](http://img.youtube.com/vi/SKrIC3RTpc8/default.jpg)
BOFYA HAPA KUONA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 Apr
Wanafunzi 2,006 hawajaripoti kidato cha kwanza mkoani Singida
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa.
Na Nathaniel Limu, Singida
JUMLA ya wanafunzi 2,006 waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka huu mkoani hapa bado hawajaripoti katika shule walizopangiwa.
Hayo yamesemwa hivi karibuni na Afisa Kazi Sekretariati mkoani Singida,Jacob Elias wakati akitoa taarifa ya usajili wa wanafunzi kidato cha kwanza mwaka huu mbele ya kikao cha Kamati ya Ushauri ya Mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa mkutano wa Chuo cha Mafunzo...
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Wanafunzi 15,312 mkoani Iringa kujiunga na kidato cha kwa kwanza 2016
(Picha na Maktaba).
IRINGA: Ufaulu wa wanafunzi waliofanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi (PSLE) mwaka 2015 mkoani Iringa umeongezeka ukilinganisha na mwaka jana, ambapo ufaulu kwa mwaka huu ni asilimia 73.25, wakati mwaka jana ulikuwa ni asilimia 68.58, sawa na ongezeko la asimilia 4.67.
Hayo yalisemwa na Afisa Elimu Taaluma wa Mkoa wa Iringa, Euzebio Mtavangu hivi karibuni wakati akitoa taarifa ya mwelekeo wa matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi 2015 kwa wajumbe wa kamati...
10 years ago
Michuzi12 Nov
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s72-c/unnamed%2B(12).jpg)
WAZIRI MAGUFULI AHUDHURIA MAHAFALI YA KUMI YA KIDATO CHA SITA KATIKA SHULE YA SEKONDARI YA CHATO, AAHIDI MAJENGO YA KAMBI YA MKANDARASI KUWA MALI YA SHULE YA MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iODbUo3ZGQM/VSYiVbXqkpI/AAAAAAAHPsI/ssUKv2df7l0/s1600/unnamed%2B(12).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2eGh_mz7mUQ/VSYiVwtNODI/AAAAAAAHPsM/h9Z_zaW6zho/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pg-3rZmzaiU/VSYiWmmKT5I/AAAAAAAHPsU/95XBUg5ES2M/s1600/unnamed%2B(14).jpg)
10 years ago
Habarileo23 Jan
RC acharuka kidato cha kwanza kutokwenda shule
MKUU wa Mkoa wa Rukwa Stella Manyanya ameagiza kuwa wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mkoani humo kufanya hivyo mara moja huku akisema suala hilo ni la lazima na si hiyari tena.
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Wanafunzi 500,000 wachaguliwa kidato cha kwanza
10 years ago
GPLWANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2015 WATAJWA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IiDdSNH8I0g/VazXGElt1NI/AAAAAAAAPoM/6ss8Af_zWAA/s72-c/20150720_093629.jpg)
KAMPUNI YA SIMU YA TTCL YATOA BATI 100 KWA SHULE MBALIMBALI MKOANI NJOMBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-IiDdSNH8I0g/VazXGElt1NI/AAAAAAAAPoM/6ss8Af_zWAA/s640/20150720_093629.jpg)
Akikabidhi bati hizo kwa niaba ya mkurugenzi kuu wa TTCL Tanzania, Kaimu mkurugenzi kanda ya nyanda za Juu kusini bwana James Mlaguzi amesema...