Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi kuweni makini na maandalizi ya kidato cha kwanza

Katika kipindi kinachoanzia Septemba hadi mwanzoni mwa kila mwaka mpya, kunakuwapo na pilikapilika nyingi za wazazi na walezi wa watoto wanaomaliza darasa la saba za kuwaandaa wajiunge na kidato cha kwanza katika shule za sekondari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Matokeo kidato cha nne ni hujuma kwa wazazi

NIANZE kwa kukushukuru wewe unayeendelea kuwa msomaji na mfuatiliaji wa makala zangu kupitia gazeti letu hili tukufu. Hoja na maswali yako ndiyo chachu ya mimi kuendelea kuandika tafakuri mbalimbali kuhusu...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wanasheria kuweni makini na mikataba’

Wanasheria wa Serikali wametakiwa kutetea masilahi ya umma wakati wa kusaini mikataba na wawekezaji katika sekta ya gesi na mafuta.

 

10 years ago

Tanzania Daima

RC: Wakulima kuweni makini na mikataba

WAKULIMA wa zao la mpunga, mkoani Mbeya wametakiwa kuwa makini wanapotaka kuingia mikataba na makampuni mbalimbali yanayojihusisha na kilimo sambamba na benki zinazotoa mikopo ambayo lengo lao kubwa ni kutaka...

 

11 years ago

Mwananchi

NHC: Kuweni makini na madalali

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limewatahadharisha wananchi kujiepusha na watu wanaojifanya madalali katika utoaji wa nyumba zake mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kidato cha kwanza kufanya udahili wa pamoja

SERIKALI imesema ina mpango wa kuanzisha udahili wa pamoja wa wanafunzi wa kidato cha kwanza wanaotarajiwa kujiunga na shule za sekondari za serikali na binafsi. Msemaji wa Wizara ya Elimu...

 

11 years ago

Habarileo

Kidato cha kwanza 2014 kudahiliwa kielektroniki

 Profesa Eustella BhalalusesaWIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi,kuanzia mwaka huu imeanza kutumia mfumo wa kielektroniki kwa wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza.

 

10 years ago

Habarileo

RC acharuka kidato cha kwanza kutokwenda shule

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella ManyanyaMKUU wa Mkoa wa Rukwa Stella Manyanya ameagiza kuwa wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza mkoani humo kufanya hivyo mara moja huku akisema suala hilo ni la lazima na si hiyari tena.

 

10 years ago

Habarileo

2,466 waingia kidato cha kwanza Tarime

WANAFUNZI 2,466 kati ya 4,762 waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka jana kuingia kidato cha kwanza 2015 wamefaulu kujiunga na shule za sekondari wakiwemo wavulana 1,527 na wasichana 937.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani