Ulimwengu afanya mauaji Kongo
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania anayechezea timu ya TP Mazembe (DRC), Thomas Ulimwengu, juzi amefanya makubwa baada ya kufunga mabao mawili yaliyoisaidia timu yake kuwafunga watani wao, FC Lupopo 4-1.
Timu hizo kila zinapochuana zimekuwa zikionyesha upinzani mkubwa, hasa kutokana na uhasama mkubwa waliokuwa nao kama zilivyo timu za Simba na Yanga kwa Tanzania.
Ulimwengu ‘Rambo’ aliyekuwa kwenye kiwango bora, alifanya mauaji hayo katika mashindano...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Nov
Raia wa Kenya afanya mauaji baa Tarime
MTUHUMIWA wa vitendo vya ujambazi kutoka Kijiji cha Masangura, Wilaya ya Kurya West nchi jirani ya Kenya, Chacha Marwa Gibai maarufu kama Mapengo anashikiliwa na polisi katika Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya akituhumiwa kuua mtu kwa kumchoma kisu na kujeruhi mwingine kwa kisu katika vurugu aliyoianzisha baa mjini hapa.
10 years ago
Mtanzania08 May
JWTZ walivyouawa DRC Kongo
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeeleza jinsi askari wake wawili wanauonda Kikosi cha Umoja wa Mataifa (MONUSCO) kinacholinda amani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), walivyouawa na wengine 16 kujeruhiwa na waasi wanaodhaniwa ni wa Allied Democratic Force (ADC).
Msemaji wa JWTZ, Meja Joseph Masanja, alisema jana kuwa askari wawili ambao mwanzo walidaiwa kutoweka msafara wao uliposhambuliwa sasa wamekwisha kuungana na wenzao.
Alisema...
11 years ago
Tanzania Daima13 Aug
Watatu JWTZ wafa ajalini Kongo
WANAJESHI watatu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wanaolinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) chini ya Umoja wa Mataifa, wanadaiwa kufariki dunia baada ya gari walilokuwa...
5 years ago
Global Publishers21 Feb
Tanzania, Kongo kufanya kongamano la pamoja
TANZANIA kwa kushirikiana na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zinatarajiwa kufanya kongamano la pamoja la kibiashara kujadili ongezeko la biashara na fursa za uwekezaji na ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika kuchunguza fursa mbalimbali za kiuchumi.
Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo, mratibu wa kongamano hilo, Anna Msonsa alisema kuwa kongamano hilo linatarajiwa kufanyika Septemba 22 mwaka huu katika Ukumbi wa Mikutano wa FEC jijini Lubumbashi, Kongo huku likiwa na...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_vw1eaZ0FV4/VZ07srwz4dI/AAAAAAAHn0I/GHNFgB4YUMw/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-07-08%2Bat%2B5.20.46%2BPM.png)
WANAMUZIKI KUTOKA KONGO WAZURU JIJI LA DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-_vw1eaZ0FV4/VZ07srwz4dI/AAAAAAAHn0I/GHNFgB4YUMw/s640/Screen%2BShot%2B2015-07-08%2Bat%2B5.20.46%2BPM.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-76RJ-gyOy3Q/VZ07GnVY2KI/AAAAAAAHnz8/IZ0-one5SSY/s640/Screen%2BShot%2B2015-07-08%2Bat%2B5.13.26%2BPM.png)
9 years ago
VijimamboTwiga Stars uwanjani Kongo Brazzaville leo
Akizungumza na Nipashe kwa njia ya simu kutoka Kongo Brazzaville, Mkuu wa Msafara wa timu hiyo, Blassy Kiondo, alisema kuwa wachezaji walifanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo huo jana asubuhi na wote wanaendelea vizuri.
Kiondo alisema kuwa mchezo huo unatarajiwa kufanyika kuanzia saa 11 jioni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8fil5gmLgTbKmKlyoiPIuyfB28R15c5IAD3TAwTEGMoGtTzAOnBRRRXccS7lCcVKgG2fvE*FLbsUot1hukdmyoNNiIlFrRTY/IMG20141126WA0001.jpg)
AJALI MBAYA YA MOTO MPAKANI MWA ZAMBIA NA KONGO
5 years ago
BBC24 Apr
DR Congo's 'prophet' leader of Bundu Dia Kongo arrested
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-PWFlZvsjY6k/VJVrc-nZSxI/AAAAAAAAUrs/yXuWWtK7s1Y/s72-c/kariakoo1.jpg)
shamrashamra za manunuzi ya nguo za krismasi mtaa wa kongo jijini dar leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-PWFlZvsjY6k/VJVrc-nZSxI/AAAAAAAAUrs/yXuWWtK7s1Y/s1600/kariakoo1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BnZazlGpsKg/VJVtF1y3naI/AAAAAAAAUt0/5OYGdgdbveg/s1600/kariakoo2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TWeWZPlUQ5s/VJVrrbCayBI/AAAAAAAAUtA/Lv1OIpREDTM/s1600/kariakoo5.jpg)
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA