Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Twiga Stars uwanjani Kongo Brazzaville leo

Timu ya soka ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajia kutupa karata yake ya kwanza leo katika Michezo ya Afrika kwa kuwakabili Ivory Coast kwenye Uwanja wa Del Debate nchini Kongo Brazzaville.

Akizungumza na Nipashe kwa njia ya simu kutoka Kongo Brazzaville, Mkuu wa Msafara wa timu hiyo, Blassy Kiondo, alisema kuwa wachezaji walifanya mazoezi ya mwisho kujiandaa na mchezo huo jana asubuhi na wote wanaendelea vizuri.

Kiondo alisema kuwa mchezo huo unatarajiwa kufanyika kuanzia saa 11 jioni...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Twiga Stars yaanza vibaya Brazzaville

Timu ya Taifa ya wanawake ya Tanzania imekubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Ivory Coast katika mchezo wa kwanza wa shindano ya Afrika ‘All Africa Games’ yanayoendelea mjini Brazzaville, Congo .

 

9 years ago

TheCitizen

Twiga Stars, swimmers off to Brazzaville for Africa Games

The second batch of Team Tanzania for the All Africa Games departs for Congo-Brazzaville today.

 

9 years ago

Mwananchi

Twendeni uwanjani vifua mbele, Stars ushindi leo lazima

Taifa Stars inashuka dimbani leo kucheza na Algeria kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ikiwa ni mchezo wa kuwania kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi. Timu hizo zitarudiana Novemba 17 nchini Algeria.

 

9 years ago

Habarileo

Twiga Stars karata muhimu leo

TIMU ya soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars leo ina kibarua kigumu katika mechi dhidi ya Nigeria kwenye Michezo ya Afrika inayoendelea nchini Congo Brazzaville.

 

10 years ago

BBCSwahili

Twiga Stars kuingia kambini leo

Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake ,Twiga Stars inatarajiwa kuingia kambini leo kisiwani Zanzibar

 

9 years ago

Michuzi

TWIGA STARS KUELEKEA CONGO-BRAZZAVILE LEO

Timu ya Taifa ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuondoka nchini leo usiku kuelekea nchini Congo-Brazzavile kwenye michuano ya Michezo ya Afrika (All Africa Games) inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 3, mwaka huu.Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wa TFF, Twiga Stars haikuondoka leo kuelekea nchini Congo – Brazzavile, Shirikisho bado linasubiri mwongozo wa Wizara ya Habari,Viajana, Utamaduni na Michezo.Imani ya TFF ni kuwa timu itasafiri na kuwahi mechi ili kuepuka hatari ya...

 

10 years ago

Habarileo

Twiga Stars kuingia kambini Zanzibar leo

TIMU ya Taifa Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) inatarajiwa kuingia kambini leo kisiwani Zanzibar kujiandaa na Michezo ya Afrika (All Africa Games) itakayofanyika mwezi ujao nchini Congo Brazzaville.

 

11 years ago

Michuzi

TWIGA STARS YALALA 2-1 KWA ZAMBIA LEO JIJINI LUSAKA

Twiga Stars imepoteza mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC) baada ya leo kufungwa mabao 2-1 na Zambia (Shepolopolo) kwenye Uwanja wa Nkoloma jijini Lusaka.
Hadi dakika 45 za kwanza zinamalizika katika mechi hiyo iliyochezeshwa na mwamuzi Salma Mukansanga timu hizo zilikuwa suluhu.
Wenyeji ndiyo walianza kupata bao lililofungwa na Hellen Mubanga dakika ya 75. Mfungaji huyo aliyeingia kipindi cha pili nchini alimalizia wavuni...

 

11 years ago

GPL

TAIFA STARS, MALAWI UWANJANI DAR

Taifa Stars na Malawi (Flames) zinapambana kesho (Mei 27 mwaka huu) katika mechi ya kirafiki ya kimataifa itakayochezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 11 kamili jioni. Malawi tayari ipo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mechi hiyo wakati Taifa Stars iliyopiga kambi yake Tukuyu mkoani Mbeya inawasili jijini Dar es Salaam kesho (Mei 27 mwaka huu) saa 4 asubuhi kwa ndege ya Air Tanzania. Kiingilio katika mechi hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani