Wanajeshi wawili JWTZ wauawa DRC
Askari wawili wa Tanzania waliokuwa kwenye kikosi cha kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa usiku wa kuamkia jana baada ya msafara wao kushambuliwa kwa roketi na waasi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTHJL9H8*wz4F*-5Y39as3bqQeRw8e2poOyWWLuuqxTQq8Hy0QWehyYydoW2N4G14ehRqrAFTZ3RdFVo-GyASz1d/ob_a84576_monuscotz.png.jpg?width=650)
DRC: MONUSCO YAWAPOTEZA WANAJESHI WAKE WAWILI
11 years ago
BBCSwahili05 May
Wanajeshi wawili wa DRC jela kwa ubakaji
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Wanajeshi wawili wa Marekani wauawa Jordan
10 years ago
Mtanzania08 May
JWTZ walivyouawa DRC Kongo
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limeeleza jinsi askari wake wawili wanauonda Kikosi cha Umoja wa Mataifa (MONUSCO) kinacholinda amani katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), walivyouawa na wengine 16 kujeruhiwa na waasi wanaodhaniwa ni wa Allied Democratic Force (ADC).
Msemaji wa JWTZ, Meja Joseph Masanja, alisema jana kuwa askari wawili ambao mwanzo walidaiwa kutoweka msafara wao uliposhambuliwa sasa wamekwisha kuungana na wenzao.
Alisema...
10 years ago
Habarileo08 May
Askari16 zaidi JWTZ wajeruhiwa DRC
JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), limekiri kupokea taarifa za askari wawili waliouawa Mei 5, mwaka huu na wengine 16 kujeruhiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wanajeshi wa UN wapambana na waasi DRC
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Oxfam:Wanajeshi wa DRC ni wanyanyasaji
10 years ago
Vijimambo14 Nov
JWTZ YAFAFANUA KILICHOTOKEA BENI, MASHARIKI MWA DRC
![](https://3.bp.blogspot.com/-puWaxTe_WrA/VGSyTPTj0pI/AAAAAAAANDc/0dfj2Vbh6gg/s320/masanja-JWTZ.jpg)
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuingia DRC