Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Oxfam:Wanajeshi wa DRC ni wanyanyasaji

Oxfam limesema kuwa dhuluma zinazoendeshwa na wanajeshi mashariki mwa jamhuri ya DRC ni sawa na zile zinazoendeshwa na waasi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa UN wapambana na waasi DRC

Wanajeshi wa UN wameanza kupambana na waasi wa Kihutu kutoka Rwanda pamoja na makundi mengine ya waasi Mashariki mwa DRC

 

11 years ago

BBCSwahili

Hukumu ya wanajeshi wabakaji DRC leo

Hukumu inatarajiwa kutolewa baadaye leo ya kesi ya wanajeshi 39 wanaotuhumiwa kuendesha ubakaji na uhalifu wa kivita DRC.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ripoti yasema wanajeshi wa DRC waliuawa

Ripoti ya uchunguzi uliofanywa na madaktari wa Congo kuhusu vifo vya wanajeshi wake inaonyesha kwamba huenda waliuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuingia DRC

Msemaji wa Serikali ya DRC amesema kuwa wanajeshi wa Rwanda wameonekana nchini humo katika hifadhi ya Wanyama ya Virunga

 

10 years ago

Mwananchi

Wanajeshi wawili JWTZ wauawa DRC

Askari wawili wa Tanzania waliokuwa kwenye kikosi cha kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa usiku wa kuamkia jana baada ya msafara wao kushambuliwa kwa roketi na waasi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wawili wa DRC jela kwa ubakaji

Wanajeshi 2 wa DRC wamepatikana na hatia ya ubakaji kati wanajeshi 39 walioshitakiwa kwa makosa ya uhalifu wa kivita mashariki mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

GPL

DRC: MONUSCO YAWAPOTEZA WANAJESHI WAKE WAWILI

Wanajeshi wa kulinda amini wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wasiopungua wawili wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa baada ya msafara wao kushambuliwa na waasi Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). ...wakifanya doria. Kikosi cha wanajeshi wa Tanzania kilishambuliwa jana huku wanajeshi wanne wakiwa hawajulikani walipo. Hayo yameelezwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanyanyasaji wapatikana

Watu walioshuhudia wachukua kanda ya video ya polisi ambaye alikuwa akimpiga mtu aliyelala na mijeledi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanyanyasaji kuchunguzwa Kenya

Polisi nchini Kenya wameanzisha uchunguzi wa picha zilizowekwa katika mitandao ya kijamii zinazoonyesha maafisa wa polisi wakiwachapa viboko raia wa Somalia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani