Oxfam:Wanajeshi wa DRC ni wanyanyasaji
Oxfam limesema kuwa dhuluma zinazoendeshwa na wanajeshi mashariki mwa jamhuri ya DRC ni sawa na zile zinazoendeshwa na waasi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Dec
Wanajeshi wa UN wapambana na waasi DRC
Wanajeshi wa UN wameanza kupambana na waasi wa Kihutu kutoka Rwanda pamoja na makundi mengine ya waasi Mashariki mwa DRC
11 years ago
BBCSwahili05 May
Hukumu ya wanajeshi wabakaji DRC leo
Hukumu inatarajiwa kutolewa baadaye leo ya kesi ya wanajeshi 39 wanaotuhumiwa kuendesha ubakaji na uhalifu wa kivita DRC.
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Ripoti yasema wanajeshi wa DRC waliuawa
Ripoti ya uchunguzi uliofanywa na madaktari wa Congo kuhusu vifo vya wanajeshi wake inaonyesha kwamba huenda waliuawa.
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Wanajeshi wa Rwanda wadaiwa kuingia DRC
Msemaji wa Serikali ya DRC amesema kuwa wanajeshi wa Rwanda wameonekana nchini humo katika hifadhi ya Wanyama ya Virunga
10 years ago
Mwananchi07 May
Wanajeshi wawili JWTZ wauawa DRC
Askari wawili wa Tanzania waliokuwa kwenye kikosi cha kulinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa usiku wa kuamkia jana baada ya msafara wao kushambuliwa kwa roketi na waasi.
11 years ago
BBCSwahili05 May
Wanajeshi wawili wa DRC jela kwa ubakaji
Wanajeshi 2 wa DRC wamepatikana na hatia ya ubakaji kati wanajeshi 39 walioshitakiwa kwa makosa ya uhalifu wa kivita mashariki mwa nchi hiyo.
10 years ago
GPLDRC: MONUSCO YAWAPOTEZA WANAJESHI WAKE WAWILI
Wanajeshi wa kulinda amini wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa wasiopungua wawili wameuawa na wengine 13 kujeruhiwa baada ya msafara wao kushambuliwa na waasi Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). ...wakifanya doria. Kikosi cha wanajeshi wa Tanzania kilishambuliwa jana huku wanajeshi wanne wakiwa hawajulikani walipo. Hayo yameelezwa na...
10 years ago
BBCSwahili12 Jun
Polisi wanyanyasaji wapatikana
Watu walioshuhudia wachukua kanda ya video ya polisi ambaye alikuwa akimpiga mtu aliyelala na mijeledi.
10 years ago
BBCSwahili01 Jun
Polisi wanyanyasaji kuchunguzwa Kenya
Polisi nchini Kenya wameanzisha uchunguzi wa picha zilizowekwa katika mitandao ya kijamii zinazoonyesha maafisa wa polisi wakiwachapa viboko raia wa Somalia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania