Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wanyanyasaji kuchunguzwa Kenya

Polisi nchini Kenya wameanzisha uchunguzi wa picha zilizowekwa katika mitandao ya kijamii zinazoonyesha maafisa wa polisi wakiwachapa viboko raia wa Somalia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanyanyasaji wapatikana

Watu walioshuhudia wachukua kanda ya video ya polisi ambaye alikuwa akimpiga mtu aliyelala na mijeledi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Oxfam:Wanajeshi wa DRC ni wanyanyasaji

Oxfam limesema kuwa dhuluma zinazoendeshwa na wanajeshi mashariki mwa jamhuri ya DRC ni sawa na zile zinazoendeshwa na waasi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maaskofu wanyanyasaji sasa mashakani

Papa Francis ameidhinisha kuundwa kwa idara mpya itakayokuwa na mamlaka ya kuwawajibisha maaskofu wa kanisa katoliki wanaotuhumiwa kuwanyanyasa watoto kingono .

 

5 years ago

BBCSwahili

Utafiti: Wezi na wanyanyasaji huwa na ubongo mdogo

Watu ambao huiba, kunyanyasa watu na kusema uwongo katika maisha yao yote wanaweza kuwa na ubongo mdogo, watafiti wanasema.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wanasayansi waazimia kuwatambua wanyanyasaji kupitia mikono yao

Utafiti unatumai kugundua ikiwa mikono yetu ni ya kipekee kwa kuangalia tofauti za maumbile

 

10 years ago

StarTV

Polisi auawa Kenya.

Askari mmoja ameuawa na mwingine akiwa mahututi baada ya kushambuliwa kwa kupigwa risasi kaskazini mwa Kenya.

Askari hao wa Kenya wanadaiwa kushambuliwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni wafuasi wa kundi la Al Shabaab.

Askari hao wa jeshi la polisi kikosi cha ziada walikutwa na kisa hicho mjini Wajir kaskazini mwa Kenya usiku wa kuamkia leo.

BBC

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi 2 wauawa na Al-Shabaab Kenya

Watu 5 miongoni mwao maafisa wawili wa polisi wamefariki baada ya gari walilokuwa wakisafiria kukanyaga bomu la kutegwa ardhini.

 

9 years ago

BBCSwahili

Al shabab waua polisi 2 Kenya

Maafisa 2 wa polisi wa Kenya wameuawa katika shambulizi la wapiganaji kutoka kundi la Kiislamu al-Shabab kutoka Somalia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani