Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al shabab waua polisi 2 Kenya

Maafisa 2 wa polisi wa Kenya wameuawa katika shambulizi la wapiganaji kutoka kundi la Kiislamu al-Shabab kutoka Somalia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Al Shabaab waua polisi 25 Kenya

Uhuru_M_Kenyatta_685841119NAIROBI, KENYA
KUNDI la wana mgambo wa Al Shabaab la Somalia, linadaiwa kuwaua polisi 25 wa Kenya jana.
Inaelezwa kuwa wanamgambo hao walivamia magari ya polisi katika eneo la Yumbis wilayani Fafi, Kaunti ya Garissa.
Hadi jana jioni, hakukuwa na taarifa inayoeleza waliko polisi walionusurika baada ya shambulio hilo la kushtukiza.
Taarifa zilizochapishwa na gazeti la Daily Nation, zilisema maofisa watatu walionusurika shambulio hilo walisema magari manne ya polisi yaliteketezwa na wanamgambo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Video- Al shabab waua watu 15 Mogadishu

Utawala nchini Somalia unasema kuwa takriban watu 15 wameuwa wanamgambo waliposhambulia hoteli moja mjini Mogadishu

 

10 years ago

Dewji Blog

Polisi waua wakihami kituo

DSC016461

Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).

Na Nathaniel Limu, Singida

MKULIMA mkazi wa kijiji cha Mitundu tarafa ya Itigi wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida,Esther Salumba (30) amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na polisi wakati wa vurugu za kuvamia kituo kidogo cha polisi kilichopo kijijini hapo.

Esther alipigwa risasi kwenye paja na mguu wa kulia ambapo alivunja damu nyingi na zilizopelekea kifo chake papo...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi waua mtuhumiwa Arusha

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus SabasMTUHUMIWA namba mbili wa ujambazi wa kuua na kupora wanawake jijini hapa kwa kutumia pikipiki, Wenceslaus Matei (32) amekufa kufuatia majeraha aliyoyapata wakati akijibizana risasi na Polisi.

 

10 years ago

BBCSwahili

POLISI WAUA INSLINGTON , LONDON

Polisi wa kitongoji cha Islington, wamempiga risasi na kumuua mwanamume mmoja.

 

10 years ago

BBC

Al-Shabab in Kenya's slums

The appeal of al-Shabab to the poor of Kenya's slums

 

10 years ago

GPL

36 WAUAWA NA AL SHABAB KENYA

Baadhi ya Wanamgambo wa Al Shabab. TAKRIBANI watu 36 wanahofiwa kufariki katika shambulio lililotokea kwenye machimbo ya kokoto karibu na mji wa Mandera kaskazini mwa Kenya. Shirika la Msalaba Mwekundu nchini Kenya limethibitisha. Wakazi wa eneo hilo wamesema waathirika wote wa tukio hilo ni watu wasio Waislam ambao walikuwa wakifanya kazi katika machimbo hayo yaliyopo Kormey kilomita 15 kutoka mji wa Mandera Kaskazini mwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Magaidi waua watu 6 Kenya

Polisi mjini Nairobi Kenya wamedhibitisha watu 6 wameauawa baada ya shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani