Polisi waua mtuhumiwa Arusha
MTUHUMIWA namba mbili wa ujambazi wa kuua na kupora wanawake jijini hapa kwa kutumia pikipiki, Wenceslaus Matei (32) amekufa kufuatia majeraha aliyoyapata wakati akijibizana risasi na Polisi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM31 Dec
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Mtuhumiwa wa ugaidi Arusha afariki mikononi mwa polisi
10 years ago
Habarileo21 Oct
Mtuhumiwa matukio ya kigaidi Arusha auawa
MTUHUMIWA wa ugaidi, Yahaya Hassan Hela (31) maarufu kwa jina la Yahaya Sensei, ambaye inadaiwa kuwa ni kinara na mwasisi wa matukio tisa ya ulipuaji wa mabomu na umwagiaji wa tindikali maeneo mbalimbali nchini, ameuawa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha.
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mtuhumiwa wa matukio ya ugaidi auawa Arusha
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0IawpNgWYvdT4OnGYkwAlb-0Q6ONHaZ*sPwX5AVJLNKFZA*lm2R-*iBb1rgtFathqz61Z5TWf7Bykic9aSPeHz3/Muuaji.gif?width=650)
MTUHUMIWA KINARA WA MAUAJI YA POLISI
10 years ago
Vijimambo28 Jul
Mtuhumiwa kinara mauaji ya polisi
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0240.jpg)
Makongoro Oging’ na Issa Mnaly, Mkuranga,GPL
WAKATI jeshi la polisi nchini likiendelea kuwasaka watuhumiwa wa mauaji ya polisi na kupora silaha katika Kituo cha Stakishari, Ilala jijini Dar, Uwazi limefanikiwa kuipata picha ambayo inadaiwa ni ya mtuhumiwa kinara wa tukio hilo aliyetajwa kwa jina la Seleman Shaban Ulatule.
ENEO LA TUKIO
Mwishoni mwa wiki iliyopita, wanahabari wetu walifika katika Kijiji cha Mandikongo, Mkuranga, Pwani na wakazi wa maeneo ya...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/gaidi.jpg)
MTUHUMIWA UGAIDI ANASWA NA POLISI!
10 years ago
StarTV30 Dec
Mtuhumiwa ajisalimisha Polisi Geita.
Na Salma Mrisho,
Geita.
Waendesha Pikipiki mjini Geita wameizingira ofisi ya Polisi Mkoa baada ya mtu wanayemtuhumu kuhusika kwenye matukio ya wizi na mauaji ya waendesha bodaboda kukimbilia polisi kujisalimisha.
Waendesha bodaboda hao ambao wamekaa kwa muda nje ya ofisi hiyo wamefikia maamuzi ya kwenda nyumbani kwa mtuhumiwa ili wachome nyumba yake wakidai mtuhumiwa huyo amekuwa akikamatwa na kuachiwa.
Ilikuwa ni majira ya saa tatu asubuhi waendesha wakija mmojammoja nje ya ofisi ya...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Polisi wadaiwa fedha za mtuhumiwa