Mtuhumiwa kinara mauaji ya polisi
Kinara, Selemani Shabani Ulatule.
Makongoro Oging’ na Issa Mnaly, Mkuranga,GPL
WAKATI jeshi la polisi nchini likiendelea kuwasaka watuhumiwa wa mauaji ya polisi na kupora silaha katika Kituo cha Stakishari, Ilala jijini Dar, Uwazi limefanikiwa kuipata picha ambayo inadaiwa ni ya mtuhumiwa kinara wa tukio hilo aliyetajwa kwa jina la Seleman Shaban Ulatule.
ENEO LA TUKIO
Mwishoni mwa wiki iliyopita, wanahabari wetu walifika katika Kijiji cha Mandikongo, Mkuranga, Pwani na wakazi wa maeneo ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0IawpNgWYvdT4OnGYkwAlb-0Q6ONHaZ*sPwX5AVJLNKFZA*lm2R-*iBb1rgtFathqz61Z5TWf7Bykic9aSPeHz3/Muuaji.gif?width=650)
MTUHUMIWA KINARA WA MAUAJI YA POLISI
9 years ago
StarTV17 Nov
Polisi mkoani Kilimanjaro yamsaka mtuhumiwa wa mauaji ya kikatili
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro linamsaka mtuhumiwa wa mauaji ya Kinyama aliyefahamika kwa jina moja la Edward baada ya kuwaua kwa kuwakata mapanga na shoka watoto wake wawili pamoja na mke wake Janeth Lazaro katika Kijiji cha Koboko Wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Fulgence Ngonyani amesema mtuhumiwa amefanya unyama huo majira ya saa nane usiku na kutokomea kusikojulikana .
Majina ya Watoto waliouawa ni Glory Edward , Caren Edward...
11 years ago
Michuzi09 Feb
Mtuhumiwa aliyesakwa na Polisi kwa mauaji ya watu wanane Tarime akamatwa Tanga
Jambazi kuu anayetuhumiwa kujihusisha na matukio ya mauaji na unyanganyi wa kutumia silaha yaliyo tokea Wilayani Tarime kuanzia 26 hadi 28.01.2014 amekamatwa na jeshi la polisi jioni ya Tarehe 06.02.2014 mkoani Tanga.
Akisimulia kukamatwa kwa jambazi huyo Kamanda wa mkoa wa kipolisi Tarime/Rorya Justus Kamugisha amesema kuwa mtuhumiwa huyo alikamatwa jioni ya Tarehe 06.02.2014 majira ya saa 1.30 na katika mahojiano ya awali ya jeshi la polisi mtuhumiwa huyo alikiri kuhusika na matukio ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-TutPqtHSKEY/VNN7ThDmasI/AAAAAAAHB_o/ex3b-jQDxFc/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
ASKARI POLISI ALIYEUAWA KIKATILI AAGWA LEO MKOANI DODOMA, MTUHUMIWA WA MAUAJI AUWAWA NA WANANCHI
10 years ago
Habarileo23 Oct
Tabora kinara kesi za mauaji
IMEELEZWA kuwa Kanda za Dar es Salaam zinaongoza kwa kuwa na mashauri mengi katika Mahakama huku Kanda ya Tabora ikiwa kinara kwa kesi za mauaji.
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Mtuhumiwa wa mauaji aachiwa
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Mtuhumiwa wa mauaji ya askari akamatwa
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu.
Na Mwandishi wetu
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu amesema usiku wa kuamkia jana wamempata mtuhumiwa mmoja Wa ujambazi aliyedaiwa kuua askari Polisi wawili,kujeruhi 2 na kupora silaha mbalimbali katika kituo cha Polisi Bukombe.
Hayo aliyasema leo kwenye mkutano wa wadau wa sekta ya mifugo uliofanyika katika mkoa huu mwanza.
IGP Mangu amesema wamefanikiwa kumpata mtuhumiwa mmoja ambaye...
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Mtuhumiwa wa mauaji ya Rwanda akamatwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LfgKbiwL6OY/Xneb689y3PI/AAAAAAALkv8/rk23BgHaQXYrzyuKnQEQ64CnJjGi-KQzQCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
KUKAMATWA KWA MTUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LfgKbiwL6OY/Xneb689y3PI/AAAAAAALkv8/rk23BgHaQXYrzyuKnQEQ64CnJjGi-KQzQCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia FESTO MADUHU [28 -30] Mbeba Mizigo @ Kuli na Mkazi wa Mtaa wa Benki Kabwe Jijini Mbeya kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake na kisha yeye mwenyewe kujaribu kujiua kwa kisu.
Ni kwamba mnamo tarehe 22/03/2020majira ya saa 09:00 Asubuhi huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “NEGERO”iliyopo Mtaa wa Ilolo, Kata ya Ruanda, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya katika chumba namba 111 @ Victoria, Mwanamke mmoja aitwaye JESCA MICHAEL @ KUNGULU [28] Mhudumu...