Mtuhumiwa wa mauaji aachiwa
Baba mzazi wa mwanafunzi wa kidato cha tatu Sekondari ya Mwanza, Annastazia Magafu, Luckford, ambaye anadaiwa kumchoma moto mtoto wake na kumsababisha kifo ameachiwa huru ili kupisha uchunguzi wa kisayansi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Mtuhumiwa mauaji ya bilionea Msuya aachiwa huru
OFISI ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini imemfutia kesi ya mauaji ya kukusudia mfanyabiashara Joseph Damas ‘Chusa’ anayetuhumiwa kumuua mfanyabiashara mwenzake wa madini ya tanzanite, Erasto Msuya (43). Hati ya kumwachia...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Mtuhumiwa aachiwa huru
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Mtuhumiwa wa mauaji ya Rwanda akamatwa
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Mtuhumiwa wa mauaji ya askari akamatwa
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu.
Na Mwandishi wetu
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu amesema usiku wa kuamkia jana wamempata mtuhumiwa mmoja Wa ujambazi aliyedaiwa kuua askari Polisi wawili,kujeruhi 2 na kupora silaha mbalimbali katika kituo cha Polisi Bukombe.
Hayo aliyasema leo kwenye mkutano wa wadau wa sekta ya mifugo uliofanyika katika mkoa huu mwanza.
IGP Mangu amesema wamefanikiwa kumpata mtuhumiwa mmoja ambaye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0IawpNgWYvdT4OnGYkwAlb-0Q6ONHaZ*sPwX5AVJLNKFZA*lm2R-*iBb1rgtFathqz61Z5TWf7Bykic9aSPeHz3/Muuaji.gif?width=650)
MTUHUMIWA KINARA WA MAUAJI YA POLISI
10 years ago
Vijimambo28 Jul
Mtuhumiwa kinara mauaji ya polisi
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0240.jpg)
Makongoro Oging’ na Issa Mnaly, Mkuranga,GPL
WAKATI jeshi la polisi nchini likiendelea kuwasaka watuhumiwa wa mauaji ya polisi na kupora silaha katika Kituo cha Stakishari, Ilala jijini Dar, Uwazi limefanikiwa kuipata picha ambayo inadaiwa ni ya mtuhumiwa kinara wa tukio hilo aliyetajwa kwa jina la Seleman Shaban Ulatule.
ENEO LA TUKIO
Mwishoni mwa wiki iliyopita, wanahabari wetu walifika katika Kijiji cha Mandikongo, Mkuranga, Pwani na wakazi wa maeneo ya...
11 years ago
MichuziMMOJA AACHIWA HURU KESI YA MAUAJI YA BILIONEA WA MADINI ERASTO MSUYA
OFISI ya mkurugenzi wa Mashtaka Nchini imemfutia mashtaka ya mauaji,mmoja kati ya watuhumiwa nane wa mauaji ya kukusudia dhidi ya mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite bilionea , Erasto Msuya (43).
Hati ambayo imetumika kumwachia huru Joseph Damas (Chusa) ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu wa madini hayo imetolewa na kusainiwa na mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) Elieza Feleshi na kisha Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuiwasilisha kwa Hakimu...
10 years ago
Vijimambo03 Jan
Mtuhumiwa wa ujambazi na mauaji auawa na wananchi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lazaro-3Jan2015.jpg)
Mkazi wa kitongoji cha Nyahongo kilichoko kijiji cha Nyarwana wilayani Tarime mkoani Mara aliyekuwa akisakwa na polisi kwa tuhuma za ujambazi na mauaji ameuawa na wananchi katika shambulizi ambalo lililojeruhi wanakijiji watatu.
Wambura Kihongwe (40) ameuawa na wananchi kwa kukatwa mapanga kichwani na sehemu mbalimbali za mwili huku naye akiwajeruhi watu watatu waliojaribu kumkamata ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria.
Kamanda wa Polisi Tarime...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-LfgKbiwL6OY/Xneb689y3PI/AAAAAAALkv8/rk23BgHaQXYrzyuKnQEQ64CnJjGi-KQzQCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
KUKAMATWA KWA MTUHUMIWA WA TUKIO LA MAUAJI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-LfgKbiwL6OY/Xneb689y3PI/AAAAAAALkv8/rk23BgHaQXYrzyuKnQEQ64CnJjGi-KQzQCLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia FESTO MADUHU [28 -30] Mbeba Mizigo @ Kuli na Mkazi wa Mtaa wa Benki Kabwe Jijini Mbeya kwa tuhuma za kumuua mpenzi wake na kisha yeye mwenyewe kujaribu kujiua kwa kisu.
Ni kwamba mnamo tarehe 22/03/2020majira ya saa 09:00 Asubuhi huko katika nyumba ya kulala wageni iitwayo “NEGERO”iliyopo Mtaa wa Ilolo, Kata ya Ruanda, Tarafa ya Iyunga, Jijini Mbeya katika chumba namba 111 @ Victoria, Mwanamke mmoja aitwaye JESCA MICHAEL @ KUNGULU [28] Mhudumu...