ASKARI POLISI ALIYEUAWA KIKATILI AAGWA LEO MKOANI DODOMA, MTUHUMIWA WA MAUAJI AUWAWA NA WANANCHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-TutPqtHSKEY/VNN7ThDmasI/AAAAAAAHB_o/ex3b-jQDxFc/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Na Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kama Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema kama alivyotoa taarifa jana tarehe 04/02/2015 kuhusiana na kuawa kwa Askari Namba G. 7168 PC JOSEPH ISACK SWAI huko Chango’ombe ya juu Mkoani Dodoma na mtu aliyefamika kwa jina la TISSI S/O SIRIL MALYA.Jeshi la Polisi Mkoa wa Dododoma lilianza msako wa kumtafuta mtuhumiwa huyo baada ya kufanya kitendo hicho cha kinyama cha kumkata kata kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xa7rDnAgaa7lPzCa*8sSRln*MWDqjiJvO5piuvfUTApPhE-m6*dm0gz2LN1ZVTfwh1h2UgfX9XrE8StQlnrsfHtKzht0HSve/a.jpg?width=650)
ASKARI POLISI ALIYEUAWA KIKATILI AAGWA MKOANI DODOMA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-TutPqtHSKEY/VNN7ThDmasI/AAAAAAAHB_o/ex3b-jQDxFc/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Askari Polisi aliyeuliwa kikatili Mkoani Dodoma aagwa leo, Muuaji naye auliwa na wananchi
![](http://2.bp.blogspot.com/-TutPqtHSKEY/VNN7ThDmasI/AAAAAAAHB_o/ex3b-jQDxFc/s640/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-slymEk6GRKo/VNN7TUTVkqI/AAAAAAAHB_g/-cB0-acMHEY/s640/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zylm-GMZXeg/VNN7TusxfII/AAAAAAAHB_k/xYQATAexhEk/s640/unnamed%2B(11).jpg)
9 years ago
StarTV17 Nov
Polisi mkoani Kilimanjaro yamsaka mtuhumiwa wa mauaji ya kikatili
Jeshi la Polisi Mkoani Kilimanjaro linamsaka mtuhumiwa wa mauaji ya Kinyama aliyefahamika kwa jina moja la Edward baada ya kuwaua kwa kuwakata mapanga na shoka watoto wake wawili pamoja na mke wake Janeth Lazaro katika Kijiji cha Koboko Wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro.
Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro Fulgence Ngonyani amesema mtuhumiwa amefanya unyama huo majira ya saa nane usiku na kutokomea kusikojulikana .
Majina ya Watoto waliouawa ni Glory Edward , Caren Edward...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OerbZaD2pr4/VNIvpasfb0I/AAAAAAAHBqY/1HX9EnzzoYc/s72-c/ddm.jpg)
JUST IN: ASKARI AUWAWA KIKATILI DODOMA AKITEKELEZA MAJUKUMU YAKE.
![](http://2.bp.blogspot.com/-OerbZaD2pr4/VNIvpasfb0I/AAAAAAAHBqY/1HX9EnzzoYc/s1600/ddm.jpg)
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Askari aliyeuawa aagwa na jeshi
11 years ago
MichuziASKARI POLISI WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA GARI WAAGWA LEO MKOANI DODOMA TAYALI KWA MAZISHI
Akiongea kwa masikitiko Kamishna Msaidi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME amewashukuru watu waliojitokeza kuungana pamoja kuaga miili ya Askari hao.
Pia amewataka madereva wote kuwa waangalifu wanapokuwa wanaendesha vyombo vya moto na kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali zinazoweza kujitokeza za namna hii.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ooAnbUqSltc/VCw_W6ZPyPI/AAAAAAAGnIM/MR2M1b9g8yU/s72-c/ddm.jpg)
MTU MMOJA AUWAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI MKOANI DODOMA KWA TUHUMA ZA UJAMBAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ooAnbUqSltc/VCw_W6ZPyPI/AAAAAAAGnIM/MR2M1b9g8yU/s1600/ddm.jpg)
MTU mmoja anayedaiwa kuwa ni Jambazi ameuawa na wananchi baada ya kumpora mwananchi mmoja kiasi cha Sh. 2, 100,000= wa kijiji cha Igoji One Kata ya Mima katika Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP ameeleza kuwa tukio hilo la kumvamia mwananchi huyo huko nyumbani kwake Kijiji cha Igoji one aliyejulikana kwa jina la YARED S/O MAPATANO MSALILA limetokea mnamo...
10 years ago
Dewji Blog07 Sep
Mtuhumiwa wa mauaji ya askari akamatwa
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu.
Na Mwandishi wetu
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini Inspekta Jenerali (IGP) Ernest Mangu amesema usiku wa kuamkia jana wamempata mtuhumiwa mmoja Wa ujambazi aliyedaiwa kuua askari Polisi wawili,kujeruhi 2 na kupora silaha mbalimbali katika kituo cha Polisi Bukombe.
Hayo aliyasema leo kwenye mkutano wa wadau wa sekta ya mifugo uliofanyika katika mkoa huu mwanza.
IGP Mangu amesema wamefanikiwa kumpata mtuhumiwa mmoja ambaye...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ihAeq2lwCdg/UuzPXTi1mPI/AAAAAAAFKGc/ouElErufAro/s72-c/unnamed+(61).jpg)
ASKARI POLISI WATANO MKOANI DODOMA WAFARIKI DUNIA PAPOHAPO KATIKA AJALI YA GARI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ihAeq2lwCdg/UuzPXTi1mPI/AAAAAAAFKGc/ouElErufAro/s1600/unnamed+(61).jpg)
Askari polisi watano mkoani dodoma wafariki dunia papohapo katika ajali ya gari iliyotokea 31/01/2014 majira ya 23.45 hrs katika barabara kuu ya Dodoma – Morogoro eneo la Mtumba Center, Kata ya Mtumba Tarafa ya Kikombo Manispaa ya Dodoma, ambapo gari namba T.770 ABT Toyota Corolla lililokuwa likiendeshwa na Askari namba H. 3783 PC DEOGRATIUS wa Polisi Wilaya ya Kongwa likitokea Dodoma mjini likielekea Wilayani Kongwa liligongana uso kwa uso...