Mtuhumiwa wa ugaidi Arusha afariki mikononi mwa polisi
Hatimaye Abdulkarimu Thabiti Hasia aliyekuwa akituhumiwa kwa ugaidi, amefariki katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru alipokuwa amelazwa kwa miezi sita akiwa mikononi wa polisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Mbowe mikononi mwa polisi
JOPO la Mawakili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), na wanachama wa chama hicho, leo wamepanga kumsindikiza mwenyekiti wao Freeman Mbowe aliyeitwa Makao Makuu ya Polisi kwa ajili ya...
11 years ago
Mtanzania12 Aug
Hatima ya Kibonde mikononi mwa Polisi
![Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Efraim-Kibonde.jpg)
Mtangazji maarufu wa redio nchini, Ephraim Kibonde
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura, amesema Jeshi hilo kwa sasa lipo katika uchunguzi dhidi ya mtangazaji wa Kituo cha Redio cha Clouds FM, Ephraim Kibonde na mwenzake, Gadna Habash wa Times FM, ambao wameachiwa huru kwa dhamana.
Kamanda Wambura aliliambia MTANZANIA jana kwamba baada ya uchunguzi huo, iwapo watapatikana na hatia, hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao, ikiwa ni pamoja na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YKSaFWhs-tg/XlULsUkAdrI/AAAAAAALfRE/mD6Kno4ay-MyqClZevaVx0iD6TdLkDh4gCLcBGAsYHQ/s72-c/b4b28911-be6c-41bc-aeb0-38e0cc1f3f29.jpg)
WATU WANNE MIKONONI MWA POLISI KWA TUHUMA ZA WIZI WA MABILIONI YA FEDHA YA BENKI YA NBC, POLISI TISA NAO MBARONI
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu wanne waliokuwa wafanyakazi wa kampuni ya ulinzi ya G4S Security kwa tuhuma za wizi wa Sh.1.280,000,000, Dola za Marekani 402,000 na Euro 27,700 huku pia likiwashikilia askari wa polisi tisa kwa tuhuma za kuchukua sehemu ya fedha hizo kutoka kwa mmoja ya watuhumiwa.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam , Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa amewataja...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Mwandishi Mwananchi ajeruhiwa mikononi mwa polisi
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Mahabusi afia mikononi mwa polisi kwa kipigo
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mtuhumiwa wa matukio ya ugaidi auawa Arusha
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/gaidi.jpg)
MTUHUMIWA UGAIDI ANASWA NA POLISI!
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OH_5Y2Me-8E/VlTc8NJTYdI/AAAAAAAIISk/ggbjZLbS0mc/s72-c/images%2B%25282%2529.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: HAYA YATAKUSAIDIA UWAPO MIKONONI MWA POLISI
![](http://1.bp.blogspot.com/-OH_5Y2Me-8E/VlTc8NJTYdI/AAAAAAAIISk/ggbjZLbS0mc/s320/images%2B%25282%2529.jpeg)
1.JE KITU GANI KIFANYKE ASKARI ANAPOKUNYIMA DHAMANA.
Kwanza ieleweke kuwa dhamana ni haki yako. Haki ni jambo la lazima. Haki ya dhamana inaruhusiwa kunyimwa katika makosa machache sana kwa mfano uhaini, wizi wa silaha, mauaji n.k. Makosa mengine madogo madogo hasa haya ya kila siku ya kutukana, kudhalilisha, kupigana, ajali ndogo, wizi usio wa silaha, na mengine dhamana ni lazima. Hata hivyo makosa ambayo hayaruhusiuwi...
5 years ago
CCM Blog28 May
VURUGU ZAZUKA MAREKANI BAADA YA MTU MWEUSI GEORGE FLOYD KUFARIKI MIKONONI MWA POLISI
![Waanndamanaji walifika kwenye eneo ambalo polisi wanaohusika na mauaji wanadhaniwa kufanya kazi](https://ichef.bbci.co.uk/news/660/cpsprodpb/F700/production/_112523236_42c0b123-452d-4535-9760-e1b80fb3f1fe.jpg)