Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magaidi waua watu 6 Kenya

Polisi mjini Nairobi Kenya wamedhibitisha watu 6 wameauawa baada ya shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi

JS76579997Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.

Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari 

[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).

Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3)  yakilia nje ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenyatta:Kenya haitatikiswa na magaidi

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kuwa Kenya haitachoka katika vita vyake dhidi ya ugaidi kufuatia shambulizi lililofanywa dhidi ya wachimba migodi mjini Mandera Kaskazini ya Kenya

 

9 years ago

Mwananchi

Mashambulizi ya magaidi yatikisa Ufaransa, yaua watu 127

Rais John Magufuli amemtumia salamu za pole Rais wa Ufaransa François Hollande, kutokana na mashambulizi ya kigaidi yaliyogharimu vifo vya watu 127.

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana Kenya wanavyotumiwa na magaidi wa Al-Shabaab

>Milipuko ya mabomu ya kurusha kwa mkono imekuwa sehemu ya maisha nchini Kenya siku hizi. Awali, habari za milipuko sampuli hii zilikuwa zinatangazwa mno na vyombo vya habari lakini si hivyo sasa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wa kipindupindu waua watu 3 TZ

Watu 3 wameaga dunia na wengine 30 wamelazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu mjini Dar es salaam.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji waua watu 29 Borno

Kundi la wapiganaji waisilamu limewaua takriban watu 29 katika mji mmoja Kaskazini Mashariki mwa Nigeria, jimbo la Borno.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua watu 27 Uturuki

Watu 27 wameuawa na 100 kujeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea muda mchache uliopita katika mji wa Uturuki wa Suruc.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko waua watu 10 nchini Nigeria

Takriban watu 10 wameuawa na wengine 14 kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea mjini Bauchi Kaskazini mwa nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS waua zaidi ya watu 300 Iraq

Iraq imesema wapiganaji wa Islamic State wameua zaidi ya watu 300 wa madhehebu ya Sunni katika jimbo la Anbar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani