Kenyatta:Kenya haitatikiswa na magaidi
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kuwa Kenya haitachoka katika vita vyake dhidi ya ugaidi kufuatia shambulizi lililofanywa dhidi ya wachimba migodi mjini Mandera Kaskazini ya Kenya
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s640/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s72-c/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA
Serikali ya Kenya na watu wake wameelezea shukrani zake kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa urafiki na ushirikiano thabiti aliouonyesha kwa watu wa Kenya katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema hayo tarehe 5 Oktoba, 2015 katika Ikulu ya Nairobi wakati wa mazungumzo ya kiserikali. "I thank you, and on behalf of People of Kenya for your friendship and Cooperation that was reflected during your 10 years as President" Rais Kenyatta amemueleza Rais Kikwete...
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Magaidi waua watu 6 Kenya
Polisi mjini Nairobi Kenya wamedhibitisha watu 6 wameauawa baada ya shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Vijana Kenya wanavyotumiwa na magaidi wa Al-Shabaab
>Milipuko ya mabomu ya kurusha kwa mkono imekuwa sehemu ya maisha nchini Kenya siku hizi. Awali, habari za milipuko sampuli hii zilikuwa zinatangazwa mno na vyombo vya habari lakini si hivyo sasa.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78077000/jpg/_78077384_78077186.jpg)
VIDEO: Kenya's Kenyatta to appear at ICC
Kenyan President Uhuru Kenyatta prepares to appear before the International Criminal Court at The Hague.
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78104000/jpg/_78104003_024240489.jpg)
Kenya crowds hail Kenyatta after ICC
Cheering crowds welcome President Uhuru Kenyatta back to Kenya after his appearance at the International Criminal Court (ICC) in The Hague.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4Ejr0qlHpqINso9IOrPmLlqVl0yIlTAk1yewZeokjyeGN47s4jUoTMMTwkXOg3Q9*jmtoSWgEdUgZD46DdZH9DnYf9D8WGi5/uhuru.jpg?width=650)
KENYATTA APOKELEWA KISHUJAA NCHINI KENYA
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya (kushoto) akilakiwa na Makamau wa Rais, William Ruto alipowasili JKIA leo alfajiri akitokea The Hague.…
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/78434000/jpg/_78434755_024397457-1.jpg)
ICC warns Kenya on Kenyatta leaks
The International Criminal Court warns the Kenyan government against leaking information from President Uhuru Kenyatta's case to the media.
10 years ago
Habarileo10 Oct
Kenyatta arejea Kenya kwa kishindo
RAIS wa Kenya Uhuru Kenyatta amerejea nchini kwake akitokea The Hague, Uholanzi alikoenda kuhudhuria kesi dhidi yake katika Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jina (ICC), huku akipokewa nchini humo kwa shangwe na vigelegele.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania