Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijana Kenya wanavyotumiwa na magaidi wa Al-Shabaab

>Milipuko ya mabomu ya kurusha kwa mkono imekuwa sehemu ya maisha nchini Kenya siku hizi. Awali, habari za milipuko sampuli hii zilikuwa zinatangazwa mno na vyombo vya habari lakini si hivyo sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mabuu wanavyotumiwa kwa matibabu Kenya

Je unafahamu Mabuu ? Wadudu wanaotokeza mara nyingi katika nyama zinazo oza na sehemu za uchafu na mifereji ya maji machafu?

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenyatta:Kenya haitatikiswa na magaidi

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema kuwa Kenya haitachoka katika vita vyake dhidi ya ugaidi kufuatia shambulizi lililofanywa dhidi ya wachimba migodi mjini Mandera Kaskazini ya Kenya

 

11 years ago

BBCSwahili

Magaidi waua watu 6 Kenya

Polisi mjini Nairobi Kenya wamedhibitisha watu 6 wameauawa baada ya shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh

 

11 years ago

BBCSwahili

70 wahusishwa na Al Shabaab Kenya

Mahakama imesema watu hao waliokamatwa Msikiti Musa mjini Mombasa wana makosa ya kujibu baada ya kuhusishwa na Al Shabaab

 

10 years ago

BBCSwahili

Al shabaab 13 wameuawa Kenya

Wapiganaji 13 wa kundi la Kiislamu la Al Shabaab wameuawa baada ya kushambulia kambi ya jeshi katika eneo la Lamu pwani ya Kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi 2 wauawa na Al-Shabaab Kenya

Watu 5 miongoni mwao maafisa wawili wa polisi wamefariki baada ya gari walilokuwa wakisafiria kukanyaga bomu la kutegwa ardhini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wazua mjadala Kenya

Mashambulizi ya wapiganaji wa kundi la Al Shaabab nchini Kenya, limezusha mjadala mkali miongoni mwa viongozi wa eneo hilo.

 

10 years ago

Mtanzania

Al Shabaab waua polisi 25 Kenya

Uhuru_M_Kenyatta_685841119NAIROBI, KENYA
KUNDI la wana mgambo wa Al Shabaab la Somalia, linadaiwa kuwaua polisi 25 wa Kenya jana.
Inaelezwa kuwa wanamgambo hao walivamia magari ya polisi katika eneo la Yumbis wilayani Fafi, Kaunti ya Garissa.
Hadi jana jioni, hakukuwa na taarifa inayoeleza waliko polisi walionusurika baada ya shambulio hilo la kushtukiza.
Taarifa zilizochapishwa na gazeti la Daily Nation, zilisema maofisa watatu walionusurika shambulio hilo walisema magari manne ya polisi yaliteketezwa na wanamgambo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wapambana na Al shabaab Kenya

Maafisa wa polisi nchini Kenya wapambana na Wanamgambo wa Al shabaab

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani