70 wahusishwa na Al Shabaab Kenya
Mahakama imesema watu hao waliokamatwa Msikiti Musa mjini Mombasa wana makosa ya kujibu baada ya kuhusishwa na Al Shabaab
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Jun
Al shabaab 13 wameuawa Kenya
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Kenya:Al shabaab yapata kipigo
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Mshukiwa wa Al shabaab akamatwa Kenya
10 years ago
BBCSwahili23 Nov
Kenya yauwa al-Shabaab 100
10 years ago
Mtanzania27 May
Al Shabaab waua polisi 25 Kenya
NAIROBI, KENYA
KUNDI la wana mgambo wa Al Shabaab la Somalia, linadaiwa kuwaua polisi 25 wa Kenya jana.
Inaelezwa kuwa wanamgambo hao walivamia magari ya polisi katika eneo la Yumbis wilayani Fafi, Kaunti ya Garissa.
Hadi jana jioni, hakukuwa na taarifa inayoeleza waliko polisi walionusurika baada ya shambulio hilo la kushtukiza.
Taarifa zilizochapishwa na gazeti la Daily Nation, zilisema maofisa watatu walionusurika shambulio hilo walisema magari manne ya polisi yaliteketezwa na wanamgambo...
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Sababu za Al-Shabaab kuishambulia Kenya
10 years ago
BBCSwahili13 Jul
Polisi 2 wauawa na Al-Shabaab Kenya
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Al Shabaab lakiri kushambulia Kenya