Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al Shabaab lakiri kushambulia Kenya

Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab nchini Somalia, limekiri kufanya mashambulizi katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu, Pwani ya Kenya.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lakiri kufanya shambulizi

Polisi nchini Kenya wanasema wapiganaji wa Al Shabaab wamewauwa kwa kuwapiga risasi zaidi ya abiria 28

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lakiri kutekeleza shambulizi

Kundi la Al Shabaab nchini Somali limekiri kufanya mashambulizi ya abiria 28 katika basi moja kazkazini mashariki mwa kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wadai kushambulia AU

Kundi hilo linasema kuwa limeshambulia msafara wa magari ya kikosi cha Muungano wa Afrika, karibu na mji mkuu Mogadishu na kuwaua wanajeshi 7

 

11 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab wakiri kushambulia Djibouti

Al Shabaab wamekiri kushambulia mgahawa unaotembelewa na wageni nchini Djibouti. Katika shambulio la awali watatu walikufa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab yatishia kushambulia Ulaya

Marekani yasema yazingatia vitisho vya Al Shabaab kulenga maduka ya Ulaya

 

10 years ago

BBCSwahili

Tisho la Al-Shabaab kushambulia Ethiopia

Marekani imeonya kuwa wapiganaji wa Kiislamu wa Al shabaab wanapanga kufanya mashambulio katika mji mkuu wa Ethiopia Addis Ababa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al shabaab 13 wameuawa Kenya

Wapiganaji 13 wa kundi la Kiislamu la Al Shabaab wameuawa baada ya kushambulia kambi ya jeshi katika eneo la Lamu pwani ya Kenya

 

11 years ago

BBCSwahili

70 wahusishwa na Al Shabaab Kenya

Mahakama imesema watu hao waliokamatwa Msikiti Musa mjini Mombasa wana makosa ya kujibu baada ya kuhusishwa na Al Shabaab

 

10 years ago

Mwananchi

Sababu za Al-Shabaab kuishambulia Kenya

Eneo la Afrika Mashariki liko katika taharuki kubwa kutokana na tetesi za kuwepo uwezekano wa kufanyika mashambulizi zaidi kutoka kwa kundi la Al Shabaab ambalo tayari limeleta maafa makubwa kwa wananchi wa Kenya. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani