Al Shabaab lakiri kutekeleza shambulizi
Kundi la Al Shabaab nchini Somali limekiri kufanya mashambulizi ya abiria 28 katika basi moja kazkazini mashariki mwa kenya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
IS lakiri kutekeleza shambulizi Misri
Bomu kubwa limelipuka karibu na makao makuu ya usalama kaskazini viungani mwa mji mkuu wa Misri, Cairo.
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Kundi la IS lakiri kutekeleza shambulizi Paris
Kundi la kigaidi la Islamic State limekiri kutekeleza shambulizi la Paris.
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
Al Shabaab lakiri kufanya shambulizi
Polisi nchini Kenya wanasema wapiganaji wa Al Shabaab wamewauwa kwa kuwapiga risasi zaidi ya abiria 28
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Al Shabaab lakiri kushambulia Kenya
Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab nchini Somalia, limekiri kufanya mashambulizi katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu, Pwani ya Kenya.
10 years ago
BBCSwahili05 May
IS yakiri kutekeleza shambulizi Texas
Kundi la Islamic State limekiri kutekeleza shambulizi katika shindano la vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed katika jimbo la Texas
10 years ago
Vijimambo06 May
S yakiri kutekeleza shambulizi Texas-bbc
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504042225_cn_texas_garland_shooting_03_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Wapiganaji wa kundi la Islamic State wamekiri kwamba ndio waliotekeleza shambulizi katika shindano la vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed katika jimbo la Texas nchini Marekani.
Kundi hilo limesema kuwa wapiganaji wawili wa kundi hilo walitekeleza shambulizi hilo katika mkutano uliokuwa karibu na mji wa Dallas.
Taarifa ya habari ya Redio ya kundi hilo Al-Bayan imesema kuwa maonyesho hayo yalikuwa yakionyesha picha mbaya kumhusu mtume Muhammad.
Washukiwa wote wawili walipigwa...
10 years ago
Vijimambo15 Apr
17 wauawa katika shambulizi la Al Shabaab
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/03/28/150328014047_somalia_hotel_attack_2_624x351_afp.jpg)
Watu 17 wameripotiwa kuuawa na wengine 20 kujeruhiwa vibaya wakati wanamgambo wa Kiislamu wa Al Shaabab waliposhambulia majengo ya wizara ya elimu mjini Mogadishu,Somalia.
Mwandishi wa BBC Mohammed Moalimu,amesema kuwa wavamizi hao walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo hilo
Kulingana na msemaji wa idara ya usalama wa ndani Mohammed Yusuf...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...
11 years ago
BBCSwahili23 Feb
Taleban lakiri kuwaua wanajeshi 20
Wanajeshi 20 wa serikali ya Afghanistan wameuawa mashariki mwa taifa hilo katika kisa kibaya zaidi dhidi ya vikosi vya usalama
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania