IS lakiri kutekeleza shambulizi Misri
Bomu kubwa limelipuka karibu na makao makuu ya usalama kaskazini viungani mwa mji mkuu wa Misri, Cairo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
Al Shabaab lakiri kutekeleza shambulizi
Kundi la Al Shabaab nchini Somali limekiri kufanya mashambulizi ya abiria 28 katika basi moja kazkazini mashariki mwa kenya.
9 years ago
BBCSwahili14 Nov
Kundi la IS lakiri kutekeleza shambulizi Paris
Kundi la kigaidi la Islamic State limekiri kutekeleza shambulizi la Paris.
10 years ago
BBCSwahili22 Nov
Al Shabaab lakiri kufanya shambulizi
Polisi nchini Kenya wanasema wapiganaji wa Al Shabaab wamewauwa kwa kuwapiga risasi zaidi ya abiria 28
10 years ago
BBCSwahili05 May
IS yakiri kutekeleza shambulizi Texas
Kundi la Islamic State limekiri kutekeleza shambulizi katika shindano la vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed katika jimbo la Texas
10 years ago
Vijimambo06 May
S yakiri kutekeleza shambulizi Texas-bbc
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/05/04/150504042225_cn_texas_garland_shooting_03_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Wapiganaji wa kundi la Islamic State wamekiri kwamba ndio waliotekeleza shambulizi katika shindano la vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed katika jimbo la Texas nchini Marekani.
Kundi hilo limesema kuwa wapiganaji wawili wa kundi hilo walitekeleza shambulizi hilo katika mkutano uliokuwa karibu na mji wa Dallas.
Taarifa ya habari ya Redio ya kundi hilo Al-Bayan imesema kuwa maonyesho hayo yalikuwa yakionyesha picha mbaya kumhusu mtume Muhammad.
Washukiwa wote wawili walipigwa...
11 years ago
BBCSwahili16 Jun
Al Shabaab lakiri kushambulia Kenya
Kundi la wapiganaji wa Al Shabaab nchini Somalia, limekiri kufanya mashambulizi katika eneo la Mpeketoni karibu na Lamu, Pwani ya Kenya.
11 years ago
BBCSwahili23 Feb
Taleban lakiri kuwaua wanajeshi 20
Wanajeshi 20 wa serikali ya Afghanistan wameuawa mashariki mwa taifa hilo katika kisa kibaya zaidi dhidi ya vikosi vya usalama
10 years ago
BBCSwahili08 Nov
Genge lakiri kuwaua wanafunzi 40 Mexico
Mkuu wa sheria nchini Mexico anasema kuwa genge moja la wahalifu limekiri kuwaua zaidi ya wanafunzi 40 ambao waliotoweka
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania