Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Genge lakiri kuwaua wanafunzi 40 Mexico

Mkuu wa sheria nchini Mexico anasema kuwa genge moja la wahalifu limekiri kuwaua zaidi ya wanafunzi 40 ambao waliotoweka

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Taleban lakiri kuwaua wanajeshi 20

Wanajeshi 20 wa serikali ya Afghanistan wameuawa mashariki mwa taifa hilo katika kisa kibaya zaidi dhidi ya vikosi vya usalama

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi 40 Mexico wapotea

Wanafunzi Mexico katika jimbo la Guerrero wameandamana katika mji mkuu wa jimbo la Chilpancingo kulalamikia kutoweka kwa wanafunzi wenzao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwaka 1 tangu wanafunzi 43 kutoweka Mexico

Maandamano yamefanyika Mexico kuishinikiza serikali kutoa ukweli kuhusiana na kutoweka kwa wanafunzi 43

 

10 years ago

BBCSwahili

Haki itatendeka kwa wanafunzi:43 Mexico

Mwanasheria mkuu Mexico, Jesus Murillo Karam,aahidi haki itatendeka katika kesi ya kupotea wanafunzi 43 miezi miwili iliyopita.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kupotea wanafunzi Mexico: Meya atafutwa

Mwendesha mashtaka mkuu wa serikali ya Mexico ameamuru kukamtwa kwa Meya wa Iguala.

 

9 years ago

GPL

MEXICO YAADHIMISHA MWAKA 1 TANGU WANAFUNZI 43 KUTOWEKA

Maelfu ya watu wakiwa kwenye maandamano kuishinikiza serikali kutoa ukweli kuhusu vifo vya wanafunzi 43. Mwaka mmoja uliopita, wanafunzi 43 walipotea katika mji wa Iguala katika jimbo la Guerrero, kusini mwa Mexican.
Maelfu ya watu wanashiriki katika maandamano makubwa katika mji mkuu wa Mexico kuadhimisho mwaka mmoja tangu kutoweka kwa wanafunzi hao. Maandamano yakiendelea. Uchunguzi wa serikali ulidai kuwa, wanafunzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab lakiri kutekeleza shambulizi

Kundi la Al Shabaab nchini Somali limekiri kufanya mashambulizi ya abiria 28 katika basi moja kazkazini mashariki mwa kenya.

 

9 years ago

BBCSwahili

IS lakiri kutekeleza shambulizi Misri

Bomu kubwa limelipuka karibu na makao makuu ya usalama kaskazini viungani mwa mji mkuu wa Misri, Cairo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani