Wanafunzi 40 Mexico wapotea
Wanafunzi Mexico katika jimbo la Guerrero wameandamana katika mji mkuu wa jimbo la Chilpancingo kulalamikia kutoweka kwa wanafunzi wenzao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili30 Sep
wanachuo 58 wapotea Mexico
Polisi wa kusini mwa Mexico wanawasaka wanafunzi 58 ambao hawajulikani waliko tangu yalipotokea mapigano baina ya polisi .
10 years ago
BBCSwahili08 Nov
Genge lakiri kuwaua wanafunzi 40 Mexico
Mkuu wa sheria nchini Mexico anasema kuwa genge moja la wahalifu limekiri kuwaua zaidi ya wanafunzi 40 ambao waliotoweka
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Haki itatendeka kwa wanafunzi:43 Mexico
Mwanasheria mkuu Mexico, Jesus Murillo Karam,aahidi haki itatendeka katika kesi ya kupotea wanafunzi 43 miezi miwili iliyopita.
11 years ago
BBCSwahili23 Oct
Kupotea wanafunzi Mexico: Meya atafutwa
Mwendesha mashtaka mkuu wa serikali ya Mexico ameamuru kukamtwa kwa Meya wa Iguala.
10 years ago
BBCSwahili27 Sep
Mwaka 1 tangu wanafunzi 43 kutoweka Mexico
Maandamano yamefanyika Mexico kuishinikiza serikali kutoa ukweli kuhusiana na kutoweka kwa wanafunzi 43
10 years ago
GPL
MEXICO YAADHIMISHA MWAKA 1 TANGU WANAFUNZI 43 KUTOWEKA
Maelfu ya watu wakiwa kwenye maandamano kuishinikiza serikali kutoa ukweli kuhusu vifo vya wanafunzi 43. Mwaka mmoja uliopita, wanafunzi 43 walipotea katika mji wa Iguala katika jimbo la Guerrero, kusini mwa Mexican.
Maelfu ya watu wanashiriki katika maandamano makubwa katika mji mkuu wa Mexico kuadhimisho mwaka mmoja tangu kutoweka kwa wanafunzi hao. Maandamano yakiendelea. Uchunguzi wa serikali ulidai kuwa, wanafunzi...
10 years ago
Habarileo29 Sep
Mahujaji 50 kutoka Tanzania wapotea
WAKATI Waislamu kote duniani wakiwa katika simanzi kuu kutokana na vifo vya mahujaji zaidi ya 700 katika mji mtakatifu wa Makka, Saudia Arabia, imethibitika kuwa zaidi ya mahujaji 50 wa Tanzania, hawajulikani walipo.
10 years ago
BBCSwahili27 Mar
Muziki wa Taarab wapotea Burundi
Utamaduni wa muziki wa mwambao -taarab-, ambao ulikuwa ukichanua nchini Burundi umetoweka kwa zaidi ya miaka 20 sasa.
10 years ago
Mwananchi02 Oct
Ndege ya JWTZ yaanguka, marubani wapotea
Askari wawili wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wamepotea katika Bahari ya Hindi baada ya ndege waliyokuwa wakiitumia kwa mafunzo kuanguka jana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania