Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


wanachuo 58 wapotea Mexico

Polisi wa kusini mwa Mexico wanawasaka wanafunzi 58 ambao hawajulikani waliko tangu yalipotokea mapigano baina ya polisi .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanafunzi 40 Mexico wapotea

Wanafunzi Mexico katika jimbo la Guerrero wameandamana katika mji mkuu wa jimbo la Chilpancingo kulalamikia kutoweka kwa wanafunzi wenzao.

 

10 years ago

Habarileo

Mahujaji 50 kutoka Tanzania wapotea

WAKATI Waislamu kote duniani wakiwa katika simanzi kuu kutokana na vifo vya mahujaji zaidi ya 700 katika mji mtakatifu wa Makka, Saudia Arabia, imethibitika kuwa zaidi ya mahujaji 50 wa Tanzania, hawajulikani walipo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muziki wa Taarab wapotea Burundi

Utamaduni wa muziki wa mwambao -taarab-, ambao ulikuwa ukichanua nchini Burundi umetoweka kwa zaidi ya miaka 20 sasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndege ya JWTZ yaanguka, marubani wapotea

Askari wawili wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wamepotea katika Bahari ya Hindi baada ya ndege waliyokuwa wakiitumia kwa mafunzo kuanguka jana.

 

11 years ago

BBCSwahili

176 wapotea baada ya maporomoko Marekani

Maafisa wa utawala katika jimbo la Washington nchini Marekani, wamepata miili sita zaidi baada ya ukuta wa matope kuporomoka Jumamosi, 176 hawajulikani waliko

 

10 years ago

Habarileo

Ndege JWTZ yaangukia baharini, marubani wapotea

MARUBANI wawili wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), wanahofiwa kufa maji baada ya ndege yao ya mazoezi, kuangukia katika mwambao wa Bahari ya Hindi eneo la Visiwa vya Mbudya, Kaskazini Mashariki mwa Jiji la Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanachuo wakosa mikopo TZ

Wanachuo zaidi ya elfu ishirini nchini Tanzania wamekosa mikopo ya elimu kutoka bodi ya mikopo nchini humo kutokana na ufinyu wa bajeti serikali

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanachuo 115 watapeliwa

TAASISI ya Sayansi ya Afya ya Chuo Kikuu cha Eckernforde Tanga, inatuhumiwa kuwatapeli wanachuo zaidi ya 115 iliyowadahili na kukaa chuoni hapo miezi sita kisha kuwafukuza kwa madai kuwa hawana...

 

11 years ago

GPL

WANACHUO NIT WAGOMA

Wanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) wanaolipiwa na Bodi ya Mikopo wakimsikiliza Makamu Mkuu wa Chuo hicho aliyekuwa akiongea nao. Makamu Mkuu wa Chuo akijaribu kuwatuliza wanachuo hao kwa kuwaahidi kushughulikia suala…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani