Wanachuo 115 watapeliwa
TAASISI ya Sayansi ya Afya ya Chuo Kikuu cha Eckernforde Tanga, inatuhumiwa kuwatapeli wanachuo zaidi ya 115 iliyowadahili na kukaa chuoni hapo miezi sita kisha kuwafukuza kwa madai kuwa hawana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Wabunge watapeliwa
IKULU imewaonya wabunge wenye uchu wa kuwa mawaziri na mawaziri wanaotaka kubaki kwenye madaraka hayo wasikubali kurubuniwa na matapeli wanaojifanya maofisa Usalama wa Taifa ambao wanawataka kutoa fedha ili wasaidiwe...
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Watalii watapeliwa Kilimanjaro
WATALII wanane raia wa Australia waliokuwa nchini kwa ajili ya kupanda mlima Kilimanjaro na kutembelea vivutio vya utalii katika visiwa vya Zanzibar, wamejikuta katika wakati mgumu baada ya kutapeliwa zaidi...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mamia ya wasafiri watapeliwa UBT
10 years ago
StarTV14 Apr
Wakazi kijiji cha Baga watapeliwa sh. mil. 2.5 na ‘Vishoka’ wa Tanesco.
Na Mbonea Herman,
Tanga.
Mtu mmoja aliyejiita kuwa mfanyakazi wa Shirika la Umeme nchini TANESCO amewatapeli wakazi wa kijiji cha Baga shilingi milioni 2.5 fedha alizokuwa akichangisha kwa ajili ya kuwaunganishia huduma ya umeme kijijini hapo.
Kutokana na hali hiyo TANESCO Mkoa wa Tanga limewatahadharisha wananchi kuwa makini na watu wanaojiita kuwa ni vishoka wa shirika hilo ambao dhamira yao kuu ni kuwatapeli wananchi.
Ilikuwa ni kazi kuzingoa nguzo zilizokuwa zimejengwa na watu...
10 years ago
Habarileo24 Sep
115 wafa gesti kwa TB Joshua
MAOFISA wa Afrika Kusini wamethibitisha kuwa hadi sasa watu 115 wengi wao wakiwa raia wa Afrika Kusini wamekufa kutokana na ajali ya kuporomoka kwa jengo la Kanisa linalojulikana kama Church of All Nations (SCOAN), linaloongozwa na Nabii maarufu wa Nigeria T.B Joshua, mjini Lagos.
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Raia 115 wa Afrika.K walifariki Nigeria
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Mil. 115/- kukabili ukimwi Kilolo
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa imetenga sh milioni 115.5 kwa ajili ya kutekeleza pambano dhidi ya ugonjwa wa ukimwi kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Mwenyekiti wa Kamati ya...
11 years ago
Habarileo02 May
IOM kurejesha makwao wahamiaji haramu 115
SHIRIKA la Kimataifa la Uhamiaji (IOM) limesema linatarajia kurudisha wahamiaji haramu 115 walioingia nchini kutokea Ethiopia mwishoni mwa wiki ijayo.
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Watoto 115 wanaswa wakipatiwa mafunzo Dodoma
Na Debora Sanja, Dodoma
JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limeviweka chini ya ulinzi na kuvifanyia uchunguzi vituo vitatu vilivyokusanya watoto 115 kutoka mikoa 13 nchini kwa lengo la kuwapatia mafunzo ya dini ya Kiislamu.
Vituo hivyo vyote vipo katika eneo la Nkuhungu, lililopo katika Manispaa ya Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, alisema wanafanya uchunguzi katika vituo hivyo kutokana na kuhusika kuendesha vituo vya kulelea watoto bila kusajiliwa na hatarishi.
“Jana...