Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


115 wafa gesti kwa TB Joshua

MAOFISA wa Afrika Kusini wamethibitisha kuwa hadi sasa watu 115 wengi wao wakiwa raia wa Afrika Kusini wamekufa kutokana na ajali ya kuporomoka kwa jengo la Kanisa linalojulikana kama Church of All Nations (SCOAN), linaloongozwa na Nabii maarufu wa Nigeria T.B Joshua, mjini Lagos.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MFANYABIASHARA KARIAKOO AKUTWA GESTI NA SHEMEJIYE GESTI

MFANYABIASHARA maarufu wa simu za mikononi maeneo ya Kariakoo jijini Dar, aliyefahamika kwa jina moja la Devi, hivi karibuni alipatwa na soni ya aina yake baada ya kukutwa katika nyumba ya kulala wageni akiwa na mke wa rafiki yake wa karibu. Mfanyabiashara maarufu wa simu za mikononi maeneo ya Kariakoo jijini Dar, anayefahamika kwa jina moja la Devi baada ya kufumaniwa na mke wa rafikiye. Mtoa habari makini aliliambia gazeti...

 

9 years ago

Bongo5

Michael Jackson aongoza orodha ya ‘Forbes World’s top-earning dead celebrity’ kwa dola M 115 mwaka huu

Kwa mujibu wa Forbes, marehemu Michael Jackson ndiye mtu maarufu (waliofariki) aliyeingiza pesa nyingi zaidi mwaka huu duniani, kwa kiasi cha dola milioni 115 ikiwa ni miaka sita toka mfalme huyo wa Pop duniani afariki dunia June 25, 2009. Huu ni mwaka wa tatu mfululizo MJ anatajwa kuongoza orodha hiyo ya Forbes. Mwaka jana aliingiza […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwigulu atubu kwa TB Joshua

NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi (Sera), Mwingulu Lameck Nchemba, amekimbilia kwa Mchungaji maarufu duniani, TB Joshua, wa nchini Nigeria, kufanya toba, kuombewa na kupata kile kinachoaminika kuwa ni utakaso....

 

10 years ago

GPL

ALIYEOMBEWA KWA GWAJIMA AFIA GESTI!

Mayasa Mariwata na Rhoda Josia Habari mbaya inamhusu mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Averina ambaye alikuwa akiombewa kwenye Kanisa la Ufufuo na Uzima la Nabii Josephat Gwajima ambaye anadaiwa kufia nyumba ya kulala wageni (gesti) ya My Fair iliyopo Kawe jijini Dar. Mwili wa marehemu Averina ukitolewa gesti. Tukio hilo lililoacha viulizo na kuzua minong’ono midomoni mwa wengi lilijiri hivi karibuni ambapo mwanadada...

 

11 years ago

Habarileo

Mtumishi wa NMB Songea ajinyonga kwa shuka gesti

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert KiondoWATU wawili wamekufa katika matukio mawili tofauti ya kujinyonga, akiwemo mfanyakazi wa benki ya NMB Tawi la Songea, Wilhelim Swai (37) ambaye amejinyonga kwa kutumia shuka katika nyumba ya kulala wageni.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joshua Nasari

Shamba la Madiira ni miongoni mwa mashamba 11 ambayo umiliki wake ulifutwa na Wizara ya Ardhi kwa agizo la Rais tangu mwaka 1999. Kwa sababu za uzembe na ufisadi mpaka sasa halijarudishwa kwa wananchi au halmashauri.

 

5 years ago

Michuzi

NABII JOSHUA AIPONGEZA SERIKALI KWA KUFANIKISHA MIRADI MINGI YA MAENDELEO



 Muonekano wa Soko Kuu la Morogoro ambalo limejengwa kisasa. (Picha na Sauti ya Uponyaji)Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Joshua Aram Mwantyala (kushoto) akimpongeza Mhandisi wa Manispaa ya Morogoro,Juma Ngwisu kwa kazi nzuri ya usimamizi wa Soko Kuu la Morogoro na miradi mingine. (Picha na Sauti ya Uponyaji).

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM WAKIWA KWA TB JOSHUA NIGERIA


Hon. Lowassa in 2012 at TB Joshua Church!! Hon. Nchemba at TB Joshua Church in 2014Hon Magufuli with his family and Pastor TB Joshua(left

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani