Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwigulu atubu kwa TB Joshua

NAIBU Waziri wa Fedha na Uchumi (Sera), Mwingulu Lameck Nchemba, amekimbilia kwa Mchungaji maarufu duniani, TB Joshua, wa nchini Nigeria, kufanya toba, kuombewa na kupata kile kinachoaminika kuwa ni utakaso....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JOHARI ATUBU KUMPORA RAY KWA MAINDA

Mwandishi Wetu/Ijumaa
STAA wa sinema za Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amekiri kwamba wakati anaingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na nyota wa fani hiyo, Vincent Kigosi ‘Ray’ alijua yupo na nguli wa filamu, Ruth Suka ‘Mainda’. Staa wa sinema za Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’. Katika mahojiano mafupi na gazeti hili yaliyofanyika Jumanne iliyopita jijini Dar, hali ilikuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU HABARI NYINGINE HUKO IRAMBA MBIO ZA UBUNGE NDANI YA CCM,JAIRO NA WENZAKE WAJITOA,MWIGULU KUSHINDA KWA KISHINO

Mwigulu Nchemba akiondoka Viwanja vya Shelui mara baada ya Mkutano wa Kampeni Kumalizika.Mwigulu Nchemba akisalimiana na Wananchi wake Kata ya Shelui wakati wa Mkutano wa Kampeni ya kura ya Maoni za UBunge kuwania kuteuliwa kupeperusha Bendera ya CCM Wilaya ya IrambaMwigulu Nchemba akilakiwa na Wananchi wake kijiji cha Tulya wilayani Iramba wakati wa kampeni za Kura ya Maoni ya kuwania Ubunge ndani ya CCM.
Mwigulu Nchemba akifurahia mwenendo wa kampeni za kura ya maoni na Wananchi wake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu amtaka Lukuvi atubu

ASKOFU wa Kanisa la Methodist Jimbo la Dodoma, Joseph Bundala, amemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi, atubu makosa yake ili asamehewe. Lukuvi akiwa katika sherehe za...

 

11 years ago

Habarileo

115 wafa gesti kwa TB Joshua

MAOFISA wa Afrika Kusini wamethibitisha kuwa hadi sasa watu 115 wengi wao wakiwa raia wa Afrika Kusini wamekufa kutokana na ajali ya kuporomoka kwa jengo la Kanisa linalojulikana kama Church of All Nations (SCOAN), linaloongozwa na Nabii maarufu wa Nigeria T.B Joshua, mjini Lagos.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali kumi kwa mbunge wangu:Joshua Nasari

Shamba la Madiira ni miongoni mwa mashamba 11 ambayo umiliki wake ulifutwa na Wizara ya Ardhi kwa agizo la Rais tangu mwaka 1999. Kwa sababu za uzembe na ufisadi mpaka sasa halijarudishwa kwa wananchi au halmashauri.

 

10 years ago

GPL

CHADEMA WATOA POLE KWA WABUNGE MWANAMRISHO ABAMA NA JOSHUA NASSARI

Viongozi wa Chadema wakiwa katika Kikao cha dharura cha Kamati Kuu. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe ametuma salaamu za pole na kuwatakia uponaji wa haraka majeruhi wa ajali mbili zilizotokea maeneo tofauti leo, moja ikihusisha helkopta nyingine ikitokana na ajali ya basi. Chopa iliyokuwa imewabeba viongozi wa Chadema akiwemo Mbunge Nassari baada ya ajali. Katika salaamu hizo, Mwenyekiti Mbowe ametoa pole kwa Mbunge wa...

 

5 years ago

Michuzi

NABII JOSHUA AIPONGEZA SERIKALI KWA KUFANIKISHA MIRADI MINGI YA MAENDELEO



 Muonekano wa Soko Kuu la Morogoro ambalo limejengwa kisasa. (Picha na Sauti ya Uponyaji)Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Joshua Aram Mwantyala (kushoto) akimpongeza Mhandisi wa Manispaa ya Morogoro,Juma Ngwisu kwa kazi nzuri ya usimamizi wa Soko Kuu la Morogoro na miradi mingine. (Picha na Sauti ya Uponyaji).

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM WAKIWA KWA TB JOSHUA NIGERIA


Hon. Lowassa in 2012 at TB Joshua Church!! Hon. Nchemba at TB Joshua Church in 2014Hon Magufuli with his family and Pastor TB Joshua(left

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani