ALIYEOMBEWA KWA GWAJIMA AFIA GESTI!
![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08ctf3ecOL6eg99kRNjsg*ZHzSRIdlX9ouSVTolCsLWCQVVx7obWiAKOxs7mW1CJPDJPyO9RwDdcQZfUfksamKZFw/nomasana.jpg)
Mayasa Mariwata na Rhoda Josia Habari mbaya inamhusu mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Averina ambaye alikuwa akiombewa kwenye Kanisa la Ufufuo na Uzima la Nabii Josephat Gwajima ambaye anadaiwa kufia nyumba ya kulala wageni (gesti) ya My Fair iliyopo Kawe jijini Dar. Mwili wa marehemu Averina ukitolewa gesti. Tukio hilo lililoacha viulizo na kuzua minong’ono midomoni mwa wengi lilijiri hivi karibuni ambapo mwanadada...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/g7CYaJh1SvJPc38*i0KJuEoUAtpWN-z40kVTrzteGWoH77PVmWVhvrv7iAhF71v2DSBNxwdRzbjbH6kdu3xz1U0MRo2C57tm/Newfolder.jpg?width=650)
TAJIRI AFIA GESTI ARUSHA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3WL4yNYnOob-eDRVbYhXo03OG5oCL5Rz69HBhdLiLoKclxS-ELU20XBMyepwyw7gW9uzbtN*n3*MEh70pGAxzlDE9SqPtyLS/TABORA.jpg?width=650)
MSUSI WA SALUNI AFIA GESTI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0bfNFAOzL1RAbVJt2rDw3vVbxLq*LlvhQGckBR2oJa0hVlAIVaUjG09bYJuaqE-BI8wOYGJ5Leg2ENVx2UwUYSOH9BO-43m0/mrembo.jpg?width=650)
MREMBO AFIA GESTI ARUSHA
10 years ago
CloudsFM05 Dec
MSUSI WA SALOON AFIA GESTI
Askari polisi pamoja na baadhi ya viongozi wa Serikali ya mtaa kata ya Gongoni manispaa ya Tabora akiangalia mwili wa mwanaume mmoja ambaye ni msusi katika moja ya Saloon za wanawake manispaa ya Tabora inayofahamika kama HK.
Mwanaume huyo ambaye amefahamika kwa jina la Ramadhani amekutwa amefariki dunia akiwa chumbani kwake katika nyumba ya kulala wageni inayofahamika kwa jina la SALAMA GUEST ambapo ilidaiwa kuwa alikuwa ameishi katika nyumba hiyo kwa muda wa siku tatu na hatimaye kufikwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9wPdBHS7L7UuLp-e1a5z0q9MoZKZ*woGP*oMV7B0Ehl5HYGd5QLdNdhj310YGXeeqBuaehQfTHcM0In8tqPGnvU/1.jpg?width=650)
DADA WA AFANDE SELE AFIA GESTI
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Dereva afia gesti akifanya mapenzi
DEREVA wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, mkoani Singida, Juma Juma (52) amekutwa amekufa ndani ya chumba cha kulala wageni wakati akifanya mapenzi na mhudumu. Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKdD5MRhXZFeCVKRnEl1cVi8PL3yL-d9Eyatm53OogkY1upaKZ077hAsWvwYREOrVA6aqKdzKmAhqNk1Vsu-jbS/dock.jpg)
DAKTARI MWANZA AFIA GESTI DAR
11 years ago
Dewji Blog08 May
Dereva wa Halmashauri afia gesti akifanya mapenzi
Na Nathaniel Limu, Singida
DEREVA wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida Juma Juma (52) amefariki dunia wakati akifanya mapenzi na mwanamke mhudumu wa baa kwenye nyumba ya kulala wageni.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida,SACP Geofrey Kamwela amesema tukio hilo limetokea mei tatu mwaka huu saa nane za usiku chumba no.S.2 nyumba ya kulala wageni ijulikanayo kwa jina la Top Life New Kiomboi mjini.
Amesema siku ya tukio,dereva Juma saa sita za usiku alimwaga mpangaji wake...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PJWh0QdBBecC1ZEw83YEwg-P1ZhSbReqM-2AKNGAPArarzP78pZ0IauK58oq1Tmb4q0jyhpFVkvVdw37MeBUxXL/mkewamtu.jpg?width=650)
MFANYABIASHARA KARIAKOO AKUTWA GESTI NA SHEMEJIYE GESTI