Watoto 115 wanaswa wakipatiwa mafunzo Dodoma
Na Debora Sanja, Dodoma
JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limeviweka chini ya ulinzi na kuvifanyia uchunguzi vituo vitatu vilivyokusanya watoto 115 kutoka mikoa 13 nchini kwa lengo la kuwapatia mafunzo ya dini ya Kiislamu.
Vituo hivyo vyote vipo katika eneo la Nkuhungu, lililopo katika Manispaa ya Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, alisema wanafanya uchunguzi katika vituo hivyo kutokana na kuhusika kuendesha vituo vya kulelea watoto bila kusajiliwa na hatarishi.
“Jana...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Apr
Vijana, watoto 115 wanaswa mazoezi ya karate Dodoma
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5c3Ispmu1NtXwpZiIKDgC5Xq5k5XT63FX90J9MiYOIA8nNnu-5MOEGe7liQ0X6ikIZS2A2tF2UtoPeT6HLrUBk/gesti.jpg)
WATOTO WANASWA GESTI!
11 years ago
Habarileo06 Jun
Makahaba kutoka Rwanda wanaswa Dodoma
WANAWAKE wanne raia wa Rwanda wametiwa mbaroni mjini Dodoma kutokana na kuingia nchini kinyemela na kujihusisha na biashara ya ukahaba.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0ZhRtOMQwI/VNszXxKH50I/AAAAAAAHDCc/fBnnjs8dQ7c/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MAFUNZO YA KAMATI ZA MAADILI ZA MAHAKAMA ZA MIKOA YA DODOMA NA SINGIDA YAHITIMISHWA MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0ZhRtOMQwI/VNszXxKH50I/AAAAAAAHDCc/fBnnjs8dQ7c/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-M0bwNHlWMgc/VNszXa7ryNI/AAAAAAAHDCY/jxmftBbK_HE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-d4R2BXRkpk0/VNszYTp4OHI/AAAAAAAHDCo/-OOjIug5TUY/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QqVegbO2C_M/U_cfAx1drmI/AAAAAAACn4Y/f8sRL8gXgHs/s72-c/20140820_155134%5B1%5D.jpg)
KAMATI KUU YA BARAZA LA WATOTO LAKUTANA DODOMA KUTOA TAMKO LA WATOTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-QqVegbO2C_M/U_cfAx1drmI/AAAAAAACn4Y/f8sRL8gXgHs/s1600/20140820_155134%5B1%5D.jpg)
kamati kuu la Baraza la watoto limekutana mjini Dodoma chini ya Uongozi wa mwenyekiti wake Ummy Jamaal kutoa tamko la watoto kwa waheshimiwa wabunge na waandishi wa habari wakitoa msisitizo wa ajenda ya mtoto kuwa sehemu ya mchaakato wa katiba.
Jambo kubwa walilosisitiza ni kuwaomba Ukawa warudi bungeni ili kumalizia mchakato wa kutengeneza katiba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GcI7Y8XJfjQ/U_cfD8pDhLI/AAAAAAACn4g/3YubYUUpImo/s1600/IMG_0263%5B1%5D.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pREo7TtBTpQ/VVbhAFDplCI/AAAAAAAHXg8/n1wdajA3j8I/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dk. Pindi H. Chana afungua kikao cha baraza la watoto dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-pREo7TtBTpQ/VVbhAFDplCI/AAAAAAAHXg8/n1wdajA3j8I/s640/unnamed%2B(29).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cDxvCexYvLU/VVbhARd65HI/AAAAAAAHXhA/qKOK5L8OPL8/s640/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-LrS4XjW6TLA/VVbhARfpdVI/AAAAAAAHXhI/UXEUZWO6CiE/s640/unnamed%2B(31).jpg)
9 years ago
MichuziRAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI ZA SIKUKUU YA KRISMASI KWA WATOTO WANAOISHI KWENYE KITUO CHA KUHUDUMIA WATOTO WA KIJIJI CHA MATUMAINI MKOANI DODOMA.
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Wazazi vijana, wanahitaji mafunzo ya malezi ya watoto
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Kitabu cha mafunzo ya ngono kwa watoto UG