Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makahaba kutoka Rwanda wanaswa Dodoma

WANAWAKE wanne raia wa Rwanda wametiwa mbaroni mjini Dodoma kutokana na kuingia nchini kinyemela na kujihusisha na biashara ya ukahaba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Makahaba Dodoma wanavyokitumia Udom kujinadi

>Mji wa Dodoma unakua kwa kasi kubwa, ofisi  za serikali na taasisi zisizo za kiserikali zinajengwa kwa wingi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba kutimuliwa kutoka mjini Nairobi

Bunge la jimbo la jiji la Nairobi limepiga kura kuwaondoa makahaba kutoka katika barabara zilizo katikati mwa mji mkuu.

 

10 years ago

Mtanzania

Watoto 115 wanaswa wakipatiwa mafunzo Dodoma

Na Debora Sanja, Dodoma

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limeviweka chini ya ulinzi na kuvifanyia uchunguzi vituo vitatu vilivyokusanya watoto 115 kutoka mikoa 13 nchini kwa lengo la kuwapatia mafunzo ya dini ya Kiislamu.

Vituo hivyo vyote vipo katika eneo la Nkuhungu, lililopo katika Manispaa ya Dodoma.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, alisema wanafanya uchunguzi katika vituo hivyo kutokana na kuhusika kuendesha vituo vya kulelea watoto bila kusajiliwa na hatarishi.

“Jana...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji 100 kutoka Asia wanaswa Uganda

Polisi mjini Kampala wamewanasa wahamiaji 100 kutoka bara Asia ambao walikuwa wameletwa na walanguzi wa binadamu.

 

10 years ago

Mwananchi

Vijana, watoto 115 wanaswa mazoezi ya karate Dodoma

Dodoma. Jeshi la Polisi mkoani hapa limefunga vituo vitatu katika eneo la Nkuhungu baada ya kubaini uwepo wa watoto na vijana 115 kutoka mikoa 13, ikiwa ni pamoja na visiwani Zanzibar, waliokuwa wakilelewa kwenye mazingira hatarishi.

 

10 years ago

Michuzi

JK mwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, apokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini leo

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda Mhe. Ali li Iddi Siwa katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea  hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania Mhe. Eugene Segore Kayihura katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo.

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES KUTOKA DODOMA: RAIS KIKWETE AFUNGA MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA LEO, KUMTAMBULISHA MAGUFULI UWANJA WA JAMHURI JIONI HII

 Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama, wakati wa kuufunga Mkutano huo jioni hii kwenye Ukumbi wa Mikutano wa CCM (Dodoma Convition Centre), uliopo Mjini Dodoma. CCM wanafanya mkutano mkubwa wa kumtambulisha Mgombea wao jioni hii kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwatambulisha Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bendi ya The Good Ones kutoka Rwanda

Wakati mwimbaji mkuu wa bendi hiyo na mtunzi wa nyimbo, Adrien Kazigira alipoamua kuanzisha bendi hiyo, alikuwa anawatafuta “the good ones”,

 

10 years ago

Mwananchi

FIKRA YA LIPUMBA: Rais ajaye ajifunze kutoka Rwanda

Baada ya kujiuzulu kuwa Mwenyekiti wa Taifa wa CUF nimerejea katika shughuli za utafiti. Tangu mwaka 2011 nilipokutana na Balozi wa Rwanda nchini Tanzania, nilimueleza nia yangu ya kufanya utafiti wa nini Tanzania inaweza kujifunza kutoka Rwanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani