Vijana, watoto 115 wanaswa mazoezi ya karate Dodoma
Dodoma. Jeshi la Polisi mkoani hapa limefunga vituo vitatu katika eneo la Nkuhungu baada ya kubaini uwepo wa watoto na vijana 115 kutoka mikoa 13, ikiwa ni pamoja na visiwani Zanzibar, waliokuwa wakilelewa kwenye mazingira hatarishi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Watoto 115 wanaswa wakipatiwa mafunzo Dodoma
Na Debora Sanja, Dodoma
JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limeviweka chini ya ulinzi na kuvifanyia uchunguzi vituo vitatu vilivyokusanya watoto 115 kutoka mikoa 13 nchini kwa lengo la kuwapatia mafunzo ya dini ya Kiislamu.
Vituo hivyo vyote vipo katika eneo la Nkuhungu, lililopo katika Manispaa ya Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, alisema wanafanya uchunguzi katika vituo hivyo kutokana na kuhusika kuendesha vituo vya kulelea watoto bila kusajiliwa na hatarishi.
“Jana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YF6XQNVTj3Y/Xui49gnYPgI/AAAAAAALuCM/Xh-3ykA1G5IopgOzxpij1HTA1cnjb3_BACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-16%2Bat%2B3.17.25%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
TIMU YA KARATE YAANZA MAZOEZI YAKE KUJIANDAA NA MASHINDANO YA DUNIA 2021
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate imeanza mazoezi yake kwa ajili ya maandalizi ya kushiriki mashindano ya Dunia ya Karate huko Japani Mwaka ujao.
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi Oktoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na tahadhari ya Virusi vya Corona.
Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome...
5 years ago
MichuziTimu ya Taifa ya Tanzania ya Mchezo wa Karate yaanza mazoezi kujiandaa na mashindano ya dunia Japan
Mashindano hayo ya Karate ya Dunia yalikuwa yafanyike mwezi octoba mwaka huu ,lakini yakaahilishwa kutokana na Tahadhari ya Virusi vya Corona. Michuano hiyo huwa inafanyika kila baada ya Miaka 3,na wakati huu Tanzania pia imepata nafasi ya Kipekee kwa kutoa Jaji wa michuano hiyo ambaye ni (Sensei)Jerome Mhagama.. Tumezungumza Jerome...
9 years ago
MichuziMASHINDANO BAISKELI KILOMITA 115 YA RIFT VALLEY ODYSSEY YAKUZA VIPAJI VYA VIJANA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-goH0lq5j2Fc/VLjwSjWFF_I/AAAAAAABCq4/hEJNk-vuecI/s72-c/DSC_0025.jpg)
MWEYEKITI WA CHUO CHA KARATE NCHINI TANZANIA AOMBA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA MCHEZO WA KARATE
Akizungumza jijini Dar es Salaam,Rwezaula ameitaka Serikali pamoja na Makampuni yeyote kuusaidia mchezo huo wa Karate,pia ameitaka Serikali kuacha kudhamini michezo mingine kama mpira wa miguu na mashindano ya urembo.
Kwa upande wake, Bingwa wa Dunia katika mchezo wa Karate, Rutashobya Ringo amewataka Watanzania kuwa na nidhamu...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB1ATpDIgso/VFaVZokEH5I/AAAAAAAGvGw/Hahl94QhUW0/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
Ma-sensei watano waliotunukiwa ngazi za juu za karate watoa shukurani kwa Shirikisho la Karate Tanzania
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Tkccsb*3vm5c3Ispmu1NtXwpZiIKDgC5Xq5k5XT63FX90J9MiYOIA8nNnu-5MOEGe7liQ0X6ikIZS2A2tF2UtoPeT6HLrUBk/gesti.jpg)
WATOTO WANASWA GESTI!
11 years ago
Habarileo06 Jun
Makahaba kutoka Rwanda wanaswa Dodoma
WANAWAKE wanne raia wa Rwanda wametiwa mbaroni mjini Dodoma kutokana na kuingia nchini kinyemela na kujihusisha na biashara ya ukahaba.
9 years ago
Vijimambo13 Oct
VIJANA KUTOKA MIKOA MBALIMBALI WASHIRIKI MDAHALO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA VIJANA MJINI DODOMA
![10](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/1021.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/2109.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10