JK mwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, apokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ekj3e-abZ3w/VA9LZxxLWtI/AAAAAAAGiSU/b-OQTetgBGI/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda Mhe. Ali li Iddi Siwa katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania Mhe. Eugene Segore Kayihura katika hafla iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWyrw-bPDMEPB55TR4UUpvIHjn4CPULQDWH3W5SNPFHSZVi3aP6xcCMTGLIFCFApgZsaMc*HwOxrRafktoZBxVJl/Pichana1.jpg?width=650)
RAIS JAKAYA KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA BALOZI WA RWANDA NA NORWAY, AMWAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI RWANDA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BlSO3TVinjninaiH2TqjVh5cOmZdRgVKkcSlFz91YBnYkvMsWF3vmS29FcrUN0prOBskN1XMHk8E23lXxLOE*WsXlWhTdbS8/c9.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO TOKA KWA BALOZI MPYA WA COMORO NCHINI TANZANIA
10 years ago
MichuziKATIBU MKUU BALOZI MULAMULA APOKEA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA BALOZI MTEULE WA QATAR NCHINI
9 years ago
MichuziWaziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Palestina nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Palestina hapa nchini, Mhe. Hazem Shabat. Tukio hilo lilifanyika Wizarani tarehe 30 Desemba, 2015.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rJrKEuKayN4/UxX2Hj6d9vI/AAAAAAAFRFo/-syiSb2bCCk/s72-c/New+Picture+(6).png)
BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI UAE AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-rJrKEuKayN4/UxX2Hj6d9vI/AAAAAAAFRFo/-syiSb2bCCk/s1600/New+Picture+(6).png)
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Rais Kikwete amwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimwapisha Balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, Balozi Ally Iddi Siwa jana Ikulu jijini Dar es salaam.
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Rais Jakaya Kikwete apokea hati za utambulisho za Balozi wa Rwanda na Norway Ikulu jijini Dar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimkaribisha rasmi Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania,Balozi Eugene Segore Kayihura alipowasilisha hati za utambulisho leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimkaribisha rasmi Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania,Balozi Eugene Segore Kayihura mara baada ya kupokea hati zake za utambulisho leo Ikulu jijini Dar es salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...