KATIBU MKUU BALOZI MULAMULA APOKEA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA BALOZI MTEULE WA QATAR NCHINI
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula akipokea Nakala ya Hati za Utambulisho kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) kutoka kwa Balozi Mteule wa Qatar nchini Tanzania, Mhe. Abdullah Jassim Mohamed Al Maadadi leo tarehe 17 Juni 2015.
Balozi Mulamula akiwa katika mazungumzo na Balozi Al Maadadi mara baada ya Balozi huyo kuwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWaziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Palestina nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Palestina hapa nchini, Mhe. Hazem Shabat. Tukio hilo lilifanyika Wizarani tarehe 30 Desemba, 2015.
10 years ago
Vijimambo25 Apr
Waziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka Balozi Mteule wa Algeria
10 years ago
Vijimambo25 Apr
Waziri Membe apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka Balozi Mteule wa Urusi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ekj3e-abZ3w/VA9LZxxLWtI/AAAAAAAGiSU/b-OQTetgBGI/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
JK mwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, apokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-ekj3e-abZ3w/VA9LZxxLWtI/AAAAAAAGiSU/b-OQTetgBGI/s1600/unnamed%2B(24).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-uQIpha_l4mE/VA9LaUXpTzI/AAAAAAAGiSY/Uuz7cxvcCv4/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
9 years ago
VijimamboBalozi mteule wa Switzerland awasilisha nakala za Hati za Utambulisho
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Israel
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ufilipino
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Misri
9 years ago
VijimamboRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Singapore