Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi vijana, wanahitaji mafunzo ya malezi ya watoto

Watu wanapooana wanatarajia kupata watoto. Pale wanapokosekana inakuwa ni majonzi makubwa kwa wanandoa hao. Ni ukweli kwamba watoto ni majaliwa Kutoka kwa Mungu, lakini kila mtu angependa ajaliwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

‘Wazazi zingatieni malezi bora kwa watoto’

Jamii imeshauriwa kujenga utamaduni wa kuzingatia malezi bora kwa watoto ili kujenga Taifa lenye maadili kwa kizazi cha sasa na kijacho.

 

11 years ago

Mwananchi

SAFU YA ELIMU&MALEZI: Wazazi tuchunge uhuru tunaowapa watoto

>Katika mfululizo wa makala za malezi kwa watoto nimekuwa nikisisitiza kuwa ni muhimu watoto wapewe fursa ya kushiriki katika masuala ya kifamilia.

 

11 years ago

Mwananchi

Wazazi wasikimbie kivuli chao kuhusu malezi

Mafanikio ya mtoto kielimu huchangiwa na jitihada za mzazi na mwalimu, hitilafu kwenye jitihada za mmoja kati ya hawa huhusiana moja kwa moja na udhaifu wa kitaaluma wa mtoto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wanahitaji kioo

MATUMAINI yangu ni kuwa wote ni wazima na wenye afya njema. Napenda kuwashukuru wote mnaoendelea kunitia moyo kwa kunitumia ujumbe mfupi wa maneno pamoja na wale wanaonipigia simu kutokana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Watoto wa kike wanahitaji kusikilizwa

Malezi kwa mtoto wa kike yamekuwa yakitofautiana kadiri ya umri. Anapokuwa mdogo hupata malezi yanayofanana na mtoto wa kiume, lakini anapofika umri wa balehe, mtoto wa kike uhitaji uangalizi maalumu.

 

9 years ago

Mwananchi

Watoto wanahitaji watu wa kuwaiga maishani

Nimesoma kitabu cha mmoja wa madaktari bingwa wa magonjwa ya mifumo ya neva nchini Marekani, anayeitwa Ben Carson.

 

10 years ago

Mwananchi

Tunu asisitiza malezi bora ya watoto

Mke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda ametoa wito kwa wazazi kusimamia malezi katika ngazi ya familia kwani hiyo ndiyo njia pekee ya kuandaa Taifa lenye amani na utulivu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Simulizi ya maisha ya malezi ya watoto mapacha wanne

Je ni vipi unaweza kuwalea mapacha wanne?. Mama Dirvina Joseph Mwanamke kutoka Kenya alijifungua anatushirikisha jinsi anavyowashughulikia watoto wake wanne wenye umri wa miaka 3

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watoto watakiwa kupata malezi ya akina baba

SHIRIKA la Save the Children kwa kushirikiana na Umoja wa nchi za Ulaya (EU) wamezindua kampeni ya Baba bora ambayo inahamasisha wanaume kushiriki malezi ya mtoto na sio kuonekana malezi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani