Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watoto wanahitaji watu wa kuwaiga maishani

Nimesoma kitabu cha mmoja wa madaktari bingwa wa magonjwa ya mifumo ya neva nchini Marekani, anayeitwa Ben Carson.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Watoto wa kike wanahitaji kusikilizwa

Malezi kwa mtoto wa kike yamekuwa yakitofautiana kadiri ya umri. Anapokuwa mdogo hupata malezi yanayofanana na mtoto wa kiume, lakini anapofika umri wa balehe, mtoto wa kike uhitaji uangalizi maalumu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watu milioni 10 wanahitaji chakula Ethiopia

Serikali ya Ethiopia imeonya kuwa watu milioni 10 wanakabiliwa na baa la njaa kufuatia ukame mkubwa uliokumba maeneo mengi nchini humo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wazazi vijana, wanahitaji mafunzo ya malezi ya watoto

Watu wanapooana wanatarajia kupata watoto. Pale wanapokosekana inakuwa ni majonzi makubwa kwa wanandoa hao. Ni ukweli kwamba watoto ni majaliwa Kutoka kwa Mungu, lakini kila mtu angependa ajaliwe.

 

10 years ago

GPL

KWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?- 8

NI matumaini yangu kwamba msomaji wangu unaendelea vizuri na kazi ya kulisukuma mbele gurudumu la maendeleo kupitia ujasiriamali. Mada tunayoendelea kuijadili ni sababu zinazofanya watu wengi washindwe kufanikiwa. Wiki iliyopita, niliishia kueleza kwamba watu wengi hawafanikiwi kwa sababu hawawezi kuwa mabahili katika matumizi ya pesa wanazozipata. Niliishia kukupa mfano wa jinsi mimi na dada yangu tulivyokuwa na hulka tofauti za...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI WATU WENGI HAWAFANIKIWI MAISHANI?

MPENDWA msomaji wa makala haya, natumaini unaendelea vizuri na shughuli zako za kila siku. Kama kawaida, leo tunaendelea na shule yetu ya ujasirimali. Kwa pamoja, nataka tuangalie kwa nini watu wengi hawafanikiwi katika ujasiriamali au katika maisha yao. Kuna sababu nyingi kwa nini wengi hushindwa maishani lakini sababu kuu ya msingi, huwa ni kukosa maarifa na ufahamu wa kufanya biashara au ajira katika kiwango cha juu kadiri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wanahitaji kioo

MATUMAINI yangu ni kuwa wote ni wazima na wenye afya njema. Napenda kuwashukuru wote mnaoendelea kunitia moyo kwa kunitumia ujumbe mfupi wa maneno pamoja na wale wanaonipigia simu kutokana na...

 

10 years ago

GPL

WATU WAZIMA WASAIDIAPO KUWAVUSHA WATOTO BARABARANI

Watoto (kulia) wakijiandaa kuvuka Barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam. Msamaria mwema akiwavusha barabarani  wanafunzi. KUONGEZEKA kwa magari mijini kumekuwa ni tatizo kwa watoto, hususani wanafunzi, katika kuvuka barabara mbalimbali, ambapo watu wazima wana wajibu wa kusaidia kuwaongoza na kuwavusha ili kuepusha…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee wanahitaji haki wanayostahili

“KESHO Juni 15 ni siku ya Kupambana na Manyanyaso na Dhuluma ya Wazee Ulimwenguni… hivyo tusiwahukumu wazee katika hali ya kutojielewa kwa kuwaua kwa kuhisi ni wachawi.” Hayo ni maelezo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viziwi-Wasioona wanahitaji msaada

BAADHI ya makundi ya watu wenye ulemavu yamekuwa yakikosa haki zao kutokana na maumbile waliyonayo. Makundi hayo ni ya watu wenye ulemavu ambayo hujikuta yakipambana na changamoto mbalimbali katika mazingira...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani