Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viziwi-Wasioona wanahitaji msaada

BAADHI ya makundi ya watu wenye ulemavu yamekuwa yakikosa haki zao kutokana na maumbile waliyonayo. Makundi hayo ni ya watu wenye ulemavu ambayo hujikuta yakipambana na changamoto mbalimbali katika mazingira...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WAATHIRIKA WA MAFURIKO MBEYA BADO WANAHITAJI MSAADA - MKUU WA WILAYA

Mkuu wa Wilaya Kyela Margareth Esther Malenga(katika)akiongozana na Mkuu wa Vodacom Foundation,Yessaya Mwakifulefule na Mwenyekiti wa chama cha Msalaba Mwekundu"Red Cross"Mkoa wa Mbeya Bw.Ulimboka Mwakilili,wakikagua maeneo yaliyoathirika na Mafuriko wakati walipokwenda kukabidhi msaada wenye thamani ya Shilingi Milion 10 kwa wahanga wa mafuriko wilayani humo. Mkuu wa Wilaya Kyela Margareth Esther Malenga(kulia)akipokea msaada wa vyandarua kupitia chama cha Msalaba Mwekundu"Redcross"kwa...

 

11 years ago

GPL

MKUU WA WILAYA‏ KYELA: WAATHIRIKA WA MAFURIKO MBEYA BADO WANAHITAJI MSAADA

Mkuu wa Wilaya Kyela Margareth Esther Malenga(katika)akiongozana na  Mkuu wa Vodacom Foundation,Yessaya Mwakifulefule na Mwenyekiti wa chama cha Msalaba Mwekundu"Red Cross"Mkoa wa Mbeya Bw.Ulimboka Mwakilili,wakikagua maeneo yaliyoathirika na Mafuriko wakati walipokwenda kukabidhi msaada wenye thamani ya Shilingi Milion 10 kwa wahanga wa mafuriko wilayani humo. Mkuu wa Wilaya Kyela Margareth Esther Malenga(kulia)akipokea...

 

11 years ago

Habarileo

RC ahimiza wazazi kutoficha viziwi

MKUU wa mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amewataka wazazi wenye watoto walio na ulemavu wa kusikia (Viziwi) kutowaficha ndani badala yake watoe taarifa kwa viongozi wa serikali za vijiji na mitaa ili wasaidiwe kupatiwa huduma muhimu ya elimu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wanahitaji kioo

MATUMAINI yangu ni kuwa wote ni wazima na wenye afya njema. Napenda kuwashukuru wote mnaoendelea kunitia moyo kwa kunitumia ujumbe mfupi wa maneno pamoja na wale wanaonipigia simu kutokana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TPB kuanzisha huduma kwa viziwi

BENKI ya Posta Tanzania (TPB) inatarajia  kuanzisha huduma maalumu kwa wateja wake wenye ulemavu, wakiwamo viziwi, ili wawe sehemu ya wanufaika wa huduma mbalimbali zilizoazishwa na benki hiyo. Ahadi hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UMIVITA mkombozi wa uchumi kwa viziwi

LICHA ya ulemavu wao, hawakuona sababu ya kukaa bila shughuli zitakazowaingizia fedha za kujikimu kimaisha, hivyo walitumia mikono na ubunifu wao kutengeneza pochi za rangi na ukubwa tofauti kwa kutumia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viziwi waenda Ikulu kudai uwakilishi

WANACHAMA wa taasisi mbalimbali za viziwi jana waliandamana hadi Ikulu ili kupata majibu ya barua waliyompelekea Rais Jakaya Kikwete ya kutaka amteue mjumbe kiziwi atakayeshiriki kwenye Bunge Maalumu la Katiba...

 

9 years ago

GPL

CHAVITA KUADHIMISHA WIKI YA VIZIWI DUNIANI

Ofisa wa jinsia na Maendeleo kutoka makao makuu ya Chama  cha Viziwi Tanzania (Chavita), Lupia Mwaisaka,(kushoto) akizungumza kwa kutumia ishara ya mikono.  Kulia kwake ni baadhi ya viongozi wenzake wa chama hicho wakiwa kwenye mkutano huo. Jane Malumbo  (kulia) ambaye ni mkalimani wa kutafsiri lugha ya alama aliyokuwa akizungumza, Lupia Mwaisaka,  akirekodiwa na wanahabari mbele ya viongozi hao.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani