Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UMIVITA mkombozi wa uchumi kwa viziwi

LICHA ya ulemavu wao, hawakuona sababu ya kukaa bila shughuli zitakazowaingizia fedha za kujikimu kimaisha, hivyo walitumia mikono na ubunifu wao kutengeneza pochi za rangi na ukubwa tofauti kwa kutumia...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

TPB kuanzisha huduma kwa viziwi

BENKI ya Posta Tanzania (TPB) inatarajia  kuanzisha huduma maalumu kwa wateja wake wenye ulemavu, wakiwamo viziwi, ili wawe sehemu ya wanufaika wa huduma mbalimbali zilizoazishwa na benki hiyo. Ahadi hiyo...

 

11 years ago

Mwananchi

Laparoscopic Surgery: Upasuaji kwa njia ya darubini; mkombozi kwa wagonjwa

>Ukuaji wa teknolojia ni moja katika viashiria vya maendeleo katika jamii yoyote ile ikiwamo Tanzania.

 

10 years ago

Vijimambo

MAKAMU WA RAIS AZINDUA UTOAJI WA HUDUMA KWA WALEMAVU WA USIKIVU (VIZIWI) JIJINI DAR.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akizindua rasmi utoaji wa huduma kwa walemavu wa kusikia (Viziwi) uzinduzi huo umefanyika leo Novemba 3, 2014 kwenye Viwanja vya Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, chini ya usimamizi wa Taasisi ya Starkey Hearing ya nchini Marekani.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, Mwasisi na Rais wa Taasisi ya Hearing, William Austine, baada ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siku ya Sheria iwe mkombozi kwa wanyonge

KESHO ni kilele cha Siku ya Sheria nchini, ni utaratibu wa kawaida wa kila mwaka uliojiwekea mhimili wa Mahakama. Kilele hicho ni ishara ya ufunguzi rasmi wa shughuli za Mahakama...

 

11 years ago

Dewji Blog

Viazi vitamu ni mkombozi wa kiuchumi kwa wakulima

pics mkulima-picha

Na Nathaniel Limu, Ikungi

VIJANA wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida wamehimzwa kuondokana na uvivu na badala yake waelekeze nguvu zao katika kilimo cha kibiashara cha viazi vitamu ili waweze kujikomboa kiuchumi.

Changamoto hiyo imetolewa na mkulima na mfanyabiashara wa zao la viazi vitamu na mkazi wa kijiji cha Nkuninkana,Ibrahimu Kilu (34) wakati akizungumza na MOblog juu ya kilimo hicho cha viazi vitamu ambacho pia ni  zao la chakula.

Amesema kuwa zao la viazi vitamu ambalo miaka ya...

 

10 years ago

Vijimambo

SALAMU NZITO KWA RAIS NA MKOMBOZI MPYA WA TAIFA HILI ALIYETUANDALIA

Salamu  za mwisho kwa Rais wangu
Na Angela Kiwia
NIMEKUWA na utaratibu wa kumuandikia Rais wangu barua  na salamu ambazo huandikwa kupitia ukurasa huu.Nimekuwa nikitumia utaratibu huu kutokana na kutopata fulsa ya kumkaribia na kuonana naye uso kwa macho.Hivyo basi kutokana na fulsa niliyonayo kupitia Kurunzi nimekuwa nikimtumia salam zangu ambazo kwa hakika huwa zinamfikia ipasavyo.
Natambua ya kuwa wapo ambao wamekuwa wakifikisha salamu hizi kwa kuzipindisha na kuweka uchochezi kwa manufaaa...

 

11 years ago

Michuzi

BAISKELI MKOMBOZI WA USAFIRI KWA AKINA MAMA WENGI WA NZEGA MKOANI TABORA.

Akinana Mama wa Nzega wakiwa na usafiri wao wa baiskeli wakienda kwenye shughuli zao,kama waoenekanavyo pichani mara baada ya kunaswa na Globu ya Jamii wilayani humo.Akina mama wengi wilayani humo hutumia chombo hicho (baiskeli) kama sehemu yao ya usafiri.

 

9 years ago

Michuzi

UBUNGO WAMPOKEA DK. MAGUFULI KWA FURAHA TELE, WASEMA DK. MAGUFULI NDIYO MKOMBOZI WAO

 Wakazi wa Ubungo wakimshangilia kwa shangwe mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli. Wananchi wakiwamtandikia apite.

 

11 years ago

Habarileo

RC ahimiza wazazi kutoficha viziwi

MKUU wa mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amewataka wazazi wenye watoto walio na ulemavu wa kusikia (Viziwi) kutowaficha ndani badala yake watoe taarifa kwa viongozi wa serikali za vijiji na mitaa ili wasaidiwe kupatiwa huduma muhimu ya elimu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani