UMIVITA mkombozi wa uchumi kwa viziwi
LICHA ya ulemavu wao, hawakuona sababu ya kukaa bila shughuli zitakazowaingizia fedha za kujikimu kimaisha, hivyo walitumia mikono na ubunifu wao kutengeneza pochi za rangi na ukubwa tofauti kwa kutumia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
TPB kuanzisha huduma kwa viziwi
BENKI ya Posta Tanzania (TPB) inatarajia kuanzisha huduma maalumu kwa wateja wake wenye ulemavu, wakiwamo viziwi, ili wawe sehemu ya wanufaika wa huduma mbalimbali zilizoazishwa na benki hiyo. Ahadi hiyo...
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Laparoscopic Surgery: Upasuaji kwa njia ya darubini; mkombozi kwa wagonjwa
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ucP4sDUjSwA/VFd-5HvCtfI/AAAAAAADMUg/3FDURpLqdmk/s72-c/3.jpg)
MAKAMU WA RAIS AZINDUA UTOAJI WA HUDUMA KWA WALEMAVU WA USIKIVU (VIZIWI) JIJINI DAR.
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-rCIALQmzeuY%2FVFd-41-xyII%2FAAAAAAADMUc%2FSY8BhFMJHKQ%2Fs1600%2F2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ucP4sDUjSwA/VFd-5HvCtfI/AAAAAAADMUg/3FDURpLqdmk/s1600/3.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima02 Feb
Siku ya Sheria iwe mkombozi kwa wanyonge
KESHO ni kilele cha Siku ya Sheria nchini, ni utaratibu wa kawaida wa kila mwaka uliojiwekea mhimili wa Mahakama. Kilele hicho ni ishara ya ufunguzi rasmi wa shughuli za Mahakama...
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Viazi vitamu ni mkombozi wa kiuchumi kwa wakulima
Na Nathaniel Limu, Ikungi
VIJANA wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida wamehimzwa kuondokana na uvivu na badala yake waelekeze nguvu zao katika kilimo cha kibiashara cha viazi vitamu ili waweze kujikomboa kiuchumi.
Changamoto hiyo imetolewa na mkulima na mfanyabiashara wa zao la viazi vitamu na mkazi wa kijiji cha Nkuninkana,Ibrahimu Kilu (34) wakati akizungumza na MOblog juu ya kilimo hicho cha viazi vitamu ambacho pia ni zao la chakula.
Amesema kuwa zao la viazi vitamu ambalo miaka ya...
10 years ago
Vijimambo27 Oct
SALAMU NZITO KWA RAIS NA MKOMBOZI MPYA WA TAIFA HILI ALIYETUANDALIA
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Flh5.ggpht.com%2F-gyWd4VhvIE8%2FVE5N6Yh9-BI%2FAAAAAAAACQQ%2FZHYy-fPftNE%2Fs640%2FIMG-20141027-WA0001.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Angela Kiwia
NIMEKUWA na utaratibu wa kumuandikia Rais wangu barua na salamu ambazo huandikwa kupitia ukurasa huu.Nimekuwa nikitumia utaratibu huu kutokana na kutopata fulsa ya kumkaribia na kuonana naye uso kwa macho.Hivyo basi kutokana na fulsa niliyonayo kupitia Kurunzi nimekuwa nikimtumia salam zangu ambazo kwa hakika huwa zinamfikia ipasavyo.
Natambua ya kuwa wapo ambao wamekuwa wakifikisha salamu hizi kwa kuzipindisha na kuweka uchochezi kwa manufaaa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OKOj6zd3y2g/U3A5ZB5v_OI/AAAAAAAFg_s/Bttm1wXC2vY/s72-c/IMG_8943.jpg)
BAISKELI MKOMBOZI WA USAFIRI KWA AKINA MAMA WENGI WA NZEGA MKOANI TABORA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-OKOj6zd3y2g/U3A5ZB5v_OI/AAAAAAAFg_s/Bttm1wXC2vY/s1600/IMG_8943.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0SAH-2uCt0I/VinV9zLIGvI/AAAAAAABnwg/PjPkwe0ZSLM/s72-c/IMG_8010.jpg)
UBUNGO WAMPOKEA DK. MAGUFULI KWA FURAHA TELE, WASEMA DK. MAGUFULI NDIYO MKOMBOZI WAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-0SAH-2uCt0I/VinV9zLIGvI/AAAAAAABnwg/PjPkwe0ZSLM/s640/IMG_8010.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y3LRKoNkkJk/VinV9pn74MI/AAAAAAABnwc/dgAoongBkD0/s640/IMG_8070.jpg)
11 years ago
Habarileo12 Mar
RC ahimiza wazazi kutoficha viziwi
MKUU wa mkoa wa Ruvuma, Said Mwambungu amewataka wazazi wenye watoto walio na ulemavu wa kusikia (Viziwi) kutowaficha ndani badala yake watoe taarifa kwa viongozi wa serikali za vijiji na mitaa ili wasaidiwe kupatiwa huduma muhimu ya elimu.