Laparoscopic Surgery: Upasuaji kwa njia ya darubini; mkombozi kwa wagonjwa
>Ukuaji wa teknolojia ni moja katika viashiria vya maendeleo katika jamii yoyote ile ikiwamo Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x6V0EVKduS4/UwSaVUkM6iI/AAAAAAAFN-E/gfK1qMTURGg/s72-c/unnamed+(70).jpg)
HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC YAZINDUA HUDUMA YA UPASUAJI KWA NJIA YA DARUBINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-x6V0EVKduS4/UwSaVUkM6iI/AAAAAAAFN-E/gfK1qMTURGg/s1600/unnamed+(70).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wEIrdVjttXU/UwSaVh_MXnI/AAAAAAAFN-M/qlqYOSKEnA8/s1600/unnamed+(71).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8EOXXW9UwPc/UwSaVlVGcqI/AAAAAAAFN-I/gKx_Ng0fuIY/s1600/unnamed+(72).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--H3LicZ7Xhk/UwSaWLz-swI/AAAAAAAFN-g/5RS53nqJN-M/s1600/unnamed+(73).jpg)
9 years ago
Bongo527 Nov
Brazil ilivyopagawa na upasuaji wa kubadili sura (Plastic Surgery)
![human-ken-doll-plastic-surgery-rodrigo-alves](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/human-ken-doll-plastic-surgery-rodrigo-alves-300x194.jpg)
Wanaume nchini Brazil wameendelea kwa kasi kubadilisha nyuso zao kwaajili ya urembo au kuonekana na sura nzuri.
Mtaalam mmoja wa masuala ya upasuaji nchini humo anasema, Kwa nyongeza ni kwamba kumekuwa na idadi kubwa ya vijana wengi wa kiume kufanya upasuaji kwa ajili tu ya urembo. Vijana wengi wamekuwa wakifanya upasuaji wa kuondoa mafuta kwenye matiti wale ambao wana vifua vikubwa, wengine kuondoa mafuta mwilini hasa wale ambao ni wanene na wengine wakifanya upasuaji ili kuweza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VHyLUUR13iI/XomMUz9AdMI/AAAAAAALmC0/vr9nKJAF3UooaIYWdgkAws0LmZXRU_agQCLcBGAsYHQ/s72-c/UZINDUZI-1024x821.jpg)
Usomaji kwa njia ya kidijitali : Vodacom Instant Schools njia sahihi ya elimu kwa vitendo
![](https://1.bp.blogspot.com/-VHyLUUR13iI/XomMUz9AdMI/AAAAAAALmC0/vr9nKJAF3UooaIYWdgkAws0LmZXRU_agQCLcBGAsYHQ/s640/UZINDUZI-1024x821.jpg)
Wazo la usomaji kwa njia ya kidijitali linalenga kuongeza ufanisi na kuboresha mazingira ya usomaji kwa wahusika kutumia nyenzo za kisasa. Lengo siyo kuachana na mfumo wa mafunzo ya darasani bali kuuboresha kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia.
Kwa...
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu
NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...
10 years ago
Mwananchi24 Oct
Mazoezi kwa wanawake waliojifungua kwa upasuaji
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_3HwQT2HIrI/VXheEWRuqKI/AAAAAAAHegs/vTzXBXSOViY/s72-c/20150610084807.jpg)
wagonjwa wa vikope kufanyiwa upasuaji
Zaidi ya wagonjwa elfu arobaini wanaougua ugonjwa wa vikope unaotokana na trakoma wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho katika mikoa sita nchini Tanzania kwa muda wa miaka mitano.
Hayo yamezungumzwa jana jijini hapa na Mratibu wa Mpango wa kudhibiti magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele dkt. Upendo Mwingira wakati akiwasilisha mada kwenye mkutano wa nne wa kazi kati ya wizara na wadau wanaofadhili mpango huo Upasuaji huo unafadhiliwa na...
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
UMIVITA mkombozi wa uchumi kwa viziwi
LICHA ya ulemavu wao, hawakuona sababu ya kukaa bila shughuli zitakazowaingizia fedha za kujikimu kimaisha, hivyo walitumia mikono na ubunifu wao kutengeneza pochi za rangi na ukubwa tofauti kwa kutumia...
9 years ago
StarTV26 Dec
Zaidi ya wagonjwa 300 kufanyiwa upasuaji wa macho Mwanza
Zaidi ya wagonjwa 300 wenye matatizo ya macho mkoani Mwanza wanatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa macho kati ya wagonjwa elfu tano watakaopatiwa matibabu na Taasisi ya Bilali Muslim misheni ya nchini Tanzania.
Matibabu hayo yanayotolewa na jopo la madaktari bingwa wa huduma za upasuaji wa magonjwa ya macho ni ishara tosha kuwa ni mkombozi wa utatuzi wa magonjwa hayo ambayo imekuwa ni changamoto kubwa miongoni mwa jamii kutokana na kuwa na gharama kubwa.
mkazi wa Mkuyuni jijini Mwanza mwenye...
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Viazi vitamu ni mkombozi wa kiuchumi kwa wakulima
Na Nathaniel Limu, Ikungi
VIJANA wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida wamehimzwa kuondokana na uvivu na badala yake waelekeze nguvu zao katika kilimo cha kibiashara cha viazi vitamu ili waweze kujikomboa kiuchumi.
Changamoto hiyo imetolewa na mkulima na mfanyabiashara wa zao la viazi vitamu na mkazi wa kijiji cha Nkuninkana,Ibrahimu Kilu (34) wakati akizungumza na MOblog juu ya kilimo hicho cha viazi vitamu ambacho pia ni zao la chakula.
Amesema kuwa zao la viazi vitamu ambalo miaka ya...