Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brazil ilivyopagawa na upasuaji wa kubadili sura (Plastic Surgery)

human-ken-doll-plastic-surgery-rodrigo-alves

Wanaume nchini Brazil wameendelea kwa kasi kubadilisha nyuso zao kwaajili ya urembo au kuonekana na sura nzuri.

human-ken-doll-plastic-surgery-rodrigo-alves

Mtaalam mmoja wa masuala ya upasuaji nchini humo anasema, Kwa nyongeza ni kwamba kumekuwa na idadi kubwa ya vijana wengi wa kiume kufanya upasuaji kwa ajili tu ya urembo. Vijana wengi wamekuwa wakifanya upasuaji wa kuondoa mafuta kwenye matiti wale ambao wana vifua vikubwa, wengine kuondoa mafuta mwilini hasa wale ambao ni wanene na wengine wakifanya upasuaji ili kuweza...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Dewji Blog

11 years ago

Mwananchi

Laparoscopic Surgery: Upasuaji kwa njia ya darubini; mkombozi kwa wagonjwa

>Ukuaji wa teknolojia ni moja katika viashiria vya maendeleo katika jamii yoyote ile ikiwamo Tanzania.

 

5 years ago

BBCSwahili

Upasuaji wa kubadili Maumbile Uturuki: Mwanamke aingiwa na hofu baada ya mchakato alioupitia

Kimberley Sadd anahitaji kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha maumbile na anataka kuonya wengine dhidi ya kupata huduma katika nchi zingine kwa gharama ya chini

 

10 years ago

BBCSwahili

Uzazi wa upasuaji kupunguzwa Brazil

Asilimia 85 ya wanawake Brazil hujifungua watoto kupitia njia ya upasuaji katika hospitali binafsi

 

10 years ago

Michuzi

Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro

Na Magreth Kinabo
WANANCHI   wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa  sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno  ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana  na  Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha   Rose Migiro wakati  wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana  wanaoishi katika mazingira hatarishi  ya WAMA  Nakayama, iliyopo  wilayani Rufiji...

 

10 years ago

TheCitizen

Kikwete undergoes surgery in US

President Jakaya Kikwete has been successfully operated on in the United States, Ikulu announced yesterday.

 

11 years ago

TheCitizen

Getting surgery minus agony

Tanzania’s first laparoscopy surgery was greeted with exclamations of surprise and even disgust as more than 100 health workers from all over the country watched as South African Professor of Surgery Zach Koto got down to work at Dar es Salaam’s Kairuki Hospital on Friday.

 

11 years ago

BBC

Injured Traore may require surgery

Ivorian Lacina Traore's loan spell at Everton from Monaco could be cut short if it the clubs decide he needs surgery on an injured leg.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani