Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Upasuaji wa kubadili Maumbile Uturuki: Mwanamke aingiwa na hofu baada ya mchakato alioupitia

Kimberley Sadd anahitaji kufanyiwa upasuaji wa kurekebisha maumbile na anataka kuonya wengine dhidi ya kupata huduma katika nchi zingine kwa gharama ya chini

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Brazil ilivyopagawa na upasuaji wa kubadili sura (Plastic Surgery)

human-ken-doll-plastic-surgery-rodrigo-alves

Wanaume nchini Brazil wameendelea kwa kasi kubadilisha nyuso zao kwaajili ya urembo au kuonekana na sura nzuri.

human-ken-doll-plastic-surgery-rodrigo-alves

Mtaalam mmoja wa masuala ya upasuaji nchini humo anasema, Kwa nyongeza ni kwamba kumekuwa na idadi kubwa ya vijana wengi wa kiume kufanya upasuaji kwa ajili tu ya urembo. Vijana wengi wamekuwa wakifanya upasuaji wa kuondoa mafuta kwenye matiti wale ambao wana vifua vikubwa, wengine kuondoa mafuta mwilini hasa wale ambao ni wanene na wengine wakifanya upasuaji ili kuweza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamke afanyiwa upasuaji huku akitengeza vitafunio

Mwanamke mmoja kutoka Italia amevunja rekodi baada ya kutengeneza vitafunio wakati wa upasuaji.

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE AHUKUMIWA KIFO, KUCHAPWA MIJELEDI 100 KWA KUBADILI DINI SUDAN

MAHAKAMA nchini Sudan imemhukumu kifo mwanamke mmoja anayedaiwa kubadili dini yake na kuolewa na mwanamume mkristo. Daktari Mariam Yahya Ibrahim Ishag, ambaye babake ni muislamu alishitakiwa kwa kosa la kuasi dini pamoja na kufanya zinaa kwa kuolewa na mwanamume mkristo, kitu ambacho dini ya kiisilamu imeharamisha kwa wanawake. Mariam mwenye umri wa miaka 27 ambaye ni mjamzito pia atapata adhabu ya mijeledi 100 kwa kosa la zinaa....

 

10 years ago

GPL

TAMBUA VIMBE MBALIMBALI KWA MWANAMKE NA JINSI YA KUZIONDOA PASIPO UPASUAJI-4

Vyanzo vingi vya vimbe bado havijafahamika kitafiti lakini kuna baadhi ya vimbe vyanzo vyake vinajulikana na ni vema na wewe ukavitambua. Navyo ni;Polycystic ovarian syndromes Hizi ni zile vimbe ndogondogo nyingi zinazoweza kutokea kwenye kifuko cha mayai cha mwanamke, lakini nazo pia huweza kutokea katika pande zote mbili za vifuko vya mayai kwa mwanamke. Tafiti nyingi zinasema kwamba vyanzo bado havijapatikana lakini kuna...

 

10 years ago

GPL

TAMBUA VIMBE MBALIMBALI KWA MWANAMKE NA JINSI YA KUZIONDOA PASIPO UPASUAJI

Leo tutazungumzia vimbe mbalimbali ambazo hutokea katika mwili wa mwanamke kwani wengi hawajui kama kizazi cha mwanamke kinaweza kutokewa na vimbe tofautitofauti katika maeneo tofauti kwa sababu vimbe zina vyanzo mbalimbali. Jambo la msingi la kuzingatia leo ni kwamba aina zote hizi za vimbe tuna uwezo wa kuziondoa pasipo kufanya upasuaji. AINA ZA VIMBE
Zipo aina tofautitofauti za vimbe katika mwili wa mwanamke, nazo ni kama;...

 

10 years ago

GPL

TAMBUA VIMBE MBALIMBALI KWA MWANAMKE NA JINSI YA KUZIONDOA PASIPO UPASUAJI-3

Baada ya wiki iliyopita kuelezea dalili za vimbe katika mwili wa mwanamke, leo hii tunaendelea vipengele vingine. Fibroids au Mayoma
 Hizi ni vimbe zinazotokea katika mji wa mimba na hizi ndizo vimbe zinazowasumbua watu wengi sana  katika jamii yetu ya sasa, na dalili zake ni kama; Mwanamke hupatwa na maumivu chini ya kitovu lakini ni katikati siyo upande wa kulia wala upande wa kushoto na mara nyingi maumivu haya...

 

10 years ago

GPL

TAMBUA VIMBE MBALIMBALI KWA MWANAMKE NA JINSI YA KUZIONDOA PASIPO UPASUAJI-2

Wiki iliyopita tuliziangalia aina za vimbe mbalimbali katika mwili wa mwanamke na tukaziweka wazi ili kila mtu aweze kuzijua na kuzielewa. Lakini changamoto ni moja nayo ni kwamba mtu hawezi kujua kama ana vimbe au laa hadi aweze kufanya vipimo, lakini kuna baadhi ya dalili ambazo zinaweza kukujulisha au kukushitua kwamba wewe una dalili moja au mbili za vimbe. DALILI ZA VIMBE KATIKA MWILI WA MWANAMKE
Kuna dalili tofautitofauti...

 

10 years ago

GPL

ZITAMBUE VIMBE MBALIMBALI KATIKA MWILI WA MWANAMKE NA JINSI YA KUZIONDOA PASIPO KUFANYA UPASUAJI

Wiki iliyopita tulizitazama aina za vimbe, tuliishia katika kipengele cha pili kilichosema:
Fibroids au Mayoma:Hizi ni vimbe zinazotokea katika mji wa mimba na hizi ndizo vimbe zinazowasumbua watu wengi sana  katika jamii yetu ya sasa, na dalili zake ni kama; Hapa mwanamke hupatwa na maumivu chini ya kitovu lakini ni katikati siyo upande wa kulia wala upande wa kushoto na mara nyingi maumivu haya huambatana na maumivu ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

15 wapofuka baada ya upasuaji India

Maafisa wa utawala nchini India,a wanafanya uchunguzi kufuatia madai ya wagonjwa 15 kupofuka baada ya kufanyiwa upasuaji wa kutoa ugoinjwa ujulikanao kama ''mtoto wa Macho' au Cataract bila malipo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani