Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viazi vitamu ni mkombozi wa kiuchumi kwa wakulima

pics mkulima-picha

Na Nathaniel Limu, Ikungi

VIJANA wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida wamehimzwa kuondokana na uvivu na badala yake waelekeze nguvu zao katika kilimo cha kibiashara cha viazi vitamu ili waweze kujikomboa kiuchumi.

Changamoto hiyo imetolewa na mkulima na mfanyabiashara wa zao la viazi vitamu na mkazi wa kijiji cha Nkuninkana,Ibrahimu Kilu (34) wakati akizungumza na MOblog juu ya kilimo hicho cha viazi vitamu ambacho pia ni  zao la chakula.

Amesema kuwa zao la viazi vitamu ambalo miaka ya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Wakulima wa viazi Makota Iringa waomba msaada wa serikali

Wakulima wa viazi katika kijiji cha Makota wilayani Iringa waiomba Serikali kupitia wakala wa Vipimo kuingilia kati tatizo la ujazo wa Lumbesa ambao unadhoofisha sekta ya kilimo na kudumaza uchumi wa wakulima.

Wakulima hao wamesema licha ya kuelekeza nguvu zao katika sekta ya kilimo kwa lengo la kujikwamua kiuchumi lakini kilimo kimekosa manufaa kwao kutokana na wachuuzi kutumia mbinu mbaya msimu wa uuzwaji wa zao hilo.

 Viazi ni miongoni mazao ya chakula na biashara, ambapo zao hili kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ushirikiano wa wizara mkombozi wa wakulima

Suluhisho pekee la kuwasaidia wakulima na kuongeza soko la mazao ya biashara ni pamoja na kuziunganisha Wizara ya Viwanda na Biashara, Kilimo, Chakula na Ushirika na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira ili kuwawezesha wakulima kulima mazao yanayoendana na mabadiliko ya hali ya hewa.

 

10 years ago

StarTV

Wakulima wa Tangawizi Same kunufaika kiuchumi

Na Zephania Renatus,

Same.

Tatizo la ukosefu wa barabara lililokuwa likiwakabili wakulima wa zao la Tangawizi kufikisha mazao yao kiwandani katika kata ya Mamba Myamba wilayani Same Mkoani Kilimanjaro huenda likamalizika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu, baada ya serikali kwa kushirikiana na benki ya maendeleo ya afrika kutenga kiasi cha shilingi bilioni 2. ili kukamilisha ujenzi wa barabara hizo.

 

Barabara hizo mbili zenye urefu wa kilimota 13.9 zinazopita katika vijiji nne vya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu anayelewa kwa kukula viazi karanga

Watu wengi wangependa kulewa bila kutumia hela kununua kileo lakini bwana mmoja amewastaajabisha wanasayansi kwa kulewa baada ya kula viazi karanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wa chai wanajiandaa kuimarika kiuchumi baada ya kusota miaka miwili

Mkutano wa wanachama wa Chama cha Wakulima wa Chai (Utega), uliofanyika Mei, 2013 na kwa kauli moja walichukua uamuzi wa kukifunga kiwanda walichokuwa wanamiliki kwa ubia na mwekezaji.

 

10 years ago

Vijimambo

BAGIA ZA VIAZI HIZO KWA WALE WANAOPENDA KUPIKA.


another snaks cum side dish made from potato
Ingredients:
3 medium potatoes boiled and mashed
1 medium onion chopped finely or grated
1 inch pc grated ginger
1 green chili chopped
1/2 table spoon cumin seeds
1/2 table spoon mustard seeds
1 table spoon cumin powder
1 table spoon coriander pwdr
1/4 table spoon turmeric pwdr
1 table spoon fresh coriander leaves chopped finely
1 table spoon lemon juice
salt to taste

For the batter (semi-liquid mixture):
3 table spoon gram flour ( besan)
1 & 1/2 table spoon...

 

11 years ago

Mwananchi

Laparoscopic Surgery: Upasuaji kwa njia ya darubini; mkombozi kwa wagonjwa

>Ukuaji wa teknolojia ni moja katika viashiria vya maendeleo katika jamii yoyote ile ikiwamo Tanzania.

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA

Baada ya kilio cha muda mrefu, hatimaye, wakulima wadogo 21,000 walio katika vikundi 89 vya ushirika katika Kata ya Igomaa, mkoani Iringa keshokutwa wanatarajiwa kupatiwa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shbilioni 1 kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) nchini kwa ajili ya maendeleo ya shghuli zao za kilimo. Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, Mkurugenzi wa Mikopo na Usimamizi wa Biashara wa benki hiyo, Robert Pascal alisema maandalizi kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UMIVITA mkombozi wa uchumi kwa viziwi

LICHA ya ulemavu wao, hawakuona sababu ya kukaa bila shughuli zitakazowaingizia fedha za kujikimu kimaisha, hivyo walitumia mikono na ubunifu wao kutengeneza pochi za rangi na ukubwa tofauti kwa kutumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani