Viazi vitamu ni mkombozi wa kiuchumi kwa wakulima
Na Nathaniel Limu, Ikungi
VIJANA wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida wamehimzwa kuondokana na uvivu na badala yake waelekeze nguvu zao katika kilimo cha kibiashara cha viazi vitamu ili waweze kujikomboa kiuchumi.
Changamoto hiyo imetolewa na mkulima na mfanyabiashara wa zao la viazi vitamu na mkazi wa kijiji cha Nkuninkana,Ibrahimu Kilu (34) wakati akizungumza na MOblog juu ya kilimo hicho cha viazi vitamu ambacho pia ni zao la chakula.
Amesema kuwa zao la viazi vitamu ambalo miaka ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV13 Nov
Wakulima wa viazi Makota Iringa waomba msaada wa serikali
Wakulima wa viazi katika kijiji cha Makota wilayani Iringa waiomba Serikali kupitia wakala wa Vipimo kuingilia kati tatizo la ujazo wa Lumbesa ambao unadhoofisha sekta ya kilimo na kudumaza uchumi wa wakulima.
Wakulima hao wamesema licha ya kuelekeza nguvu zao katika sekta ya kilimo kwa lengo la kujikwamua kiuchumi lakini kilimo kimekosa manufaa kwao kutokana na wachuuzi kutumia mbinu mbaya msimu wa uuzwaji wa zao hilo.
Viazi ni miongoni mazao ya chakula na biashara, ambapo zao hili kwa...
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Ushirikiano wa wizara mkombozi wa wakulima
10 years ago
StarTV13 Jan
Wakulima wa Tangawizi Same kunufaika kiuchumi
Na Zephania Renatus,
Same.
Tatizo la ukosefu wa barabara lililokuwa likiwakabili wakulima wa zao la Tangawizi kufikisha mazao yao kiwandani katika kata ya Mamba Myamba wilayani Same Mkoani Kilimanjaro huenda likamalizika mwishoni mwa mwezi Februari mwaka huu, baada ya serikali kwa kushirikiana na benki ya maendeleo ya afrika kutenga kiasi cha shilingi bilioni 2. ili kukamilisha ujenzi wa barabara hizo.
Barabara hizo mbili zenye urefu wa kilimota 13.9 zinazopita katika vijiji nne vya...
10 years ago
BBCSwahili09 Mar
Mtu anayelewa kwa kukula viazi karanga
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Wakulima wa chai wanajiandaa kuimarika kiuchumi baada ya kusota miaka miwili
10 years ago
Vijimambo20 May
BAGIA ZA VIAZI HIZO KWA WALE WANAOPENDA KUPIKA.
![](http://pikachakula.com/wp-content/uploads/2012/03/aloo-chop.jpg)
another snaks cum side dish made from potato
Ingredients:
3 medium potatoes boiled and mashed
1 medium onion chopped finely or grated
1 inch pc grated ginger
1 green chili chopped
1/2 table spoon cumin seeds
1/2 table spoon mustard seeds
1 table spoon cumin powder
1 table spoon coriander pwdr
1/4 table spoon turmeric pwdr
1 table spoon fresh coriander leaves chopped finely
1 table spoon lemon juice
salt to taste
For the batter (semi-liquid mixture):
3 table spoon gram flour ( besan)
1 & 1/2 table spoon...
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Laparoscopic Surgery: Upasuaji kwa njia ya darubini; mkombozi kwa wagonjwa
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q93gbVMHzZk/VoAwJrpwjsI/AAAAAAAIO8A/SO56oVSetb0/s72-c/1b149d1d-4f59-4ada-9092-3e2919959d41.jpg)
BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
UMIVITA mkombozi wa uchumi kwa viziwi
LICHA ya ulemavu wao, hawakuona sababu ya kukaa bila shughuli zitakazowaingizia fedha za kujikimu kimaisha, hivyo walitumia mikono na ubunifu wao kutengeneza pochi za rangi na ukubwa tofauti kwa kutumia...