Mtu anayelewa kwa kukula viazi karanga
Watu wengi wangependa kulewa bila kutumia hela kununua kileo lakini bwana mmoja amewastaajabisha wanasayansi kwa kulewa baada ya kula viazi karanga.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Viazi vitamu ni mkombozi wa kiuchumi kwa wakulima
Na Nathaniel Limu, Ikungi
VIJANA wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida wamehimzwa kuondokana na uvivu na badala yake waelekeze nguvu zao katika kilimo cha kibiashara cha viazi vitamu ili waweze kujikomboa kiuchumi.
Changamoto hiyo imetolewa na mkulima na mfanyabiashara wa zao la viazi vitamu na mkazi wa kijiji cha Nkuninkana,Ibrahimu Kilu (34) wakati akizungumza na MOblog juu ya kilimo hicho cha viazi vitamu ambacho pia ni zao la chakula.
Amesema kuwa zao la viazi vitamu ambalo miaka ya...
10 years ago
Vijimambo20 May
BAGIA ZA VIAZI HIZO KWA WALE WANAOPENDA KUPIKA.
![](http://pikachakula.com/wp-content/uploads/2012/03/aloo-chop.jpg)
another snaks cum side dish made from potato
Ingredients:
3 medium potatoes boiled and mashed
1 medium onion chopped finely or grated
1 inch pc grated ginger
1 green chili chopped
1/2 table spoon cumin seeds
1/2 table spoon mustard seeds
1 table spoon cumin powder
1 table spoon coriander pwdr
1/4 table spoon turmeric pwdr
1 table spoon fresh coriander leaves chopped finely
1 table spoon lemon juice
salt to taste
For the batter (semi-liquid mixture):
3 table spoon gram flour ( besan)
1 & 1/2 table spoon...
9 years ago
MichuziMkuu wa mkoa wa kilimanjaro akabidhi vifaa vya michezo kwa wafungwa wa gereza la karanga
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makalla amekabibidhi vifaa vya michezo ikiwemo jezi, mipira,nyavu za magoli na vikombe kwa ajili ya timu ya wafungwa na askari gereza la Karanga Moshi ikiwa ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa hivi karibuni baada ya kufanya ziara gerezani hapo na kupokea maombi.
Katika hafla ya kukabidhi vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu na nusu aliwakumbusha wafungwa na mahabusu kuwa michezo hujenga umoja, michezo ni burudani, michezo ni kwa afya na zaidi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Hh8N6xQzcYs/VciNz5aTDpI/AAAAAAAHvsk/M4sGfdv_shw/s72-c/viazi.jpg)
MRADI WA VIAZI LISHE KUTEKELEZWA MUFINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hh8N6xQzcYs/VciNz5aTDpI/AAAAAAAHvsk/M4sGfdv_shw/s1600/viazi.jpg)
Taarifa iliyotolewa na Afisa ya Habari na Mawasiliano wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Bw. Ndimmyake Mwakapiso, imeeleza kuwa, viazi lishe hivyo ni aina ya viazi vitamu...
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Wapiga kampeni mtu kwa mtu, nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa
10 years ago
Vijimambo01 Jan
MIRIAM KINUNDA NA UPISHI WAKE WA VIAZI ULAYA
Modern Swahili Recipes For The West, cookbook is now Available at Amazon World-wide. Check Amazon in your country. Also in USA you can get at Walmart and Barnes and Noble Online or ask your nearest store. Now on sale at Amazon USA http://www.amazon.com/dp/0988735903/ Thank you Miriam Kinunda Author of Taste of Tanzania Cookbook
9 years ago
StarTV13 Nov
Wakulima wa viazi Makota Iringa waomba msaada wa serikali
Wakulima wa viazi katika kijiji cha Makota wilayani Iringa waiomba Serikali kupitia wakala wa Vipimo kuingilia kati tatizo la ujazo wa Lumbesa ambao unadhoofisha sekta ya kilimo na kudumaza uchumi wa wakulima.
Wakulima hao wamesema licha ya kuelekeza nguvu zao katika sekta ya kilimo kwa lengo la kujikwamua kiuchumi lakini kilimo kimekosa manufaa kwao kutokana na wachuuzi kutumia mbinu mbaya msimu wa uuzwaji wa zao hilo.
Viazi ni miongoni mazao ya chakula na biashara, ambapo zao hili kwa...
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Ivan Rakitic: Kiungo wa kati wa Barcelona anasema yeye sio gunia la viazi
9 years ago
Mwananchi28 Dec
KKKT Karanga yapiga marufuku vimini