Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtu anayelewa kwa kukula viazi karanga

Watu wengi wangependa kulewa bila kutumia hela kununua kileo lakini bwana mmoja amewastaajabisha wanasayansi kwa kulewa baada ya kula viazi karanga.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Viazi vitamu ni mkombozi wa kiuchumi kwa wakulima

pics mkulima-picha

Na Nathaniel Limu, Ikungi

VIJANA wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida wamehimzwa kuondokana na uvivu na badala yake waelekeze nguvu zao katika kilimo cha kibiashara cha viazi vitamu ili waweze kujikomboa kiuchumi.

Changamoto hiyo imetolewa na mkulima na mfanyabiashara wa zao la viazi vitamu na mkazi wa kijiji cha Nkuninkana,Ibrahimu Kilu (34) wakati akizungumza na MOblog juu ya kilimo hicho cha viazi vitamu ambacho pia ni  zao la chakula.

Amesema kuwa zao la viazi vitamu ambalo miaka ya...

 

10 years ago

Vijimambo

BAGIA ZA VIAZI HIZO KWA WALE WANAOPENDA KUPIKA.


another snaks cum side dish made from potato
Ingredients:
3 medium potatoes boiled and mashed
1 medium onion chopped finely or grated
1 inch pc grated ginger
1 green chili chopped
1/2 table spoon cumin seeds
1/2 table spoon mustard seeds
1 table spoon cumin powder
1 table spoon coriander pwdr
1/4 table spoon turmeric pwdr
1 table spoon fresh coriander leaves chopped finely
1 table spoon lemon juice
salt to taste

For the batter (semi-liquid mixture):
3 table spoon gram flour ( besan)
1 & 1/2 table spoon...

 

9 years ago

Michuzi

Mkuu wa mkoa wa kilimanjaro akabidhi vifaa vya michezo kwa wafungwa wa gereza la karanga


Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Amos Makalla amekabibidhi vifaa vya michezo ikiwemo jezi, mipira,nyavu za magoli na vikombe kwa ajili ya timu ya wafungwa na askari gereza la Karanga Moshi ikiwa ni utekelezaji wa ahadi aliyoitoa hivi karibuni baada ya kufanya ziara gerezani hapo na kupokea maombi.
Katika hafla ya kukabidhi vifaa hivyo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu na nusu aliwakumbusha wafungwa na mahabusu kuwa michezo hujenga umoja, michezo ni burudani, michezo ni kwa afya na zaidi...

 

10 years ago

Michuzi

MRADI WA VIAZI LISHE KUTEKELEZWA MUFINDI

  HALMASHAURI ya Wilaya ya Mufindi  Mkoani Iringa ni mingoni mwa  Wilaya saba nchini, zilizochaguliwa na shirika la kimataifa linaloshughulikia mazao ya viazi (CIP) kutekeleza mradi  wa uzalishaji wa viazi lishe vyenye asilimia kubwa ya vitamini “A” ukilinganisha na  aina nyingine ya vyakula kama Mboga, Matunda na Mizizi.
Taarifa iliyotolewa na Afisa ya Habari na Mawasiliano wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Bw. Ndimmyake Mwakapiso, imeeleza kuwa, viazi lishe hivyo ni aina ya viazi vitamu...

 

9 years ago

Mwananchi

Wapiga kampeni mtu kwa mtu, nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa

Kampeni za ubunge Jimbo la Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro, zimeingia katika hatua nyingine baada ya wagombea kuanza kujinadi nyumba kwa nyumba, mtu kwa mtu, mtaa kwa mtaa kwa lengo la kuhakikisha wanashinda Oktoba 25.

 

10 years ago

Vijimambo

MIRIAM KINUNDA NA UPISHI WAKE WA VIAZI ULAYA


Modern Swahili Recipes For The West, cookbook is now Available at Amazon World-wide. Check Amazon in your country. Also in USA you can get at Walmart and Barnes and Noble Online or ask your nearest store. Now on sale at Amazon USA http://www.amazon.com/dp/0988735903/ Thank you Miriam Kinunda Author of Taste of Tanzania Cookbook

 

9 years ago

StarTV

Wakulima wa viazi Makota Iringa waomba msaada wa serikali

Wakulima wa viazi katika kijiji cha Makota wilayani Iringa waiomba Serikali kupitia wakala wa Vipimo kuingilia kati tatizo la ujazo wa Lumbesa ambao unadhoofisha sekta ya kilimo na kudumaza uchumi wa wakulima.

Wakulima hao wamesema licha ya kuelekeza nguvu zao katika sekta ya kilimo kwa lengo la kujikwamua kiuchumi lakini kilimo kimekosa manufaa kwao kutokana na wachuuzi kutumia mbinu mbaya msimu wa uuzwaji wa zao hilo.

 Viazi ni miongoni mazao ya chakula na biashara, ambapo zao hili kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Ivan Rakitic: Kiungo wa kati wa Barcelona anasema yeye sio gunia la viazi

Ivan Rakitic amepata njia ya kipekee ya kuikosoa barcelona kwa jinsi ilivyomfanyia

 

9 years ago

Mwananchi

KKKT Karanga yapiga marufuku vimini

Usharika wa Karanga wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) katika Dayosisi ya Kaskazini, umepiga marufuku uvaaji wa nguo zisizo na heshima ndani ya kanisa hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani