Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BAGIA ZA VIAZI HIZO KWA WALE WANAOPENDA KUPIKA.


another snaks cum side dish made from potato
Ingredients:
3 medium potatoes boiled and mashed
1 medium onion chopped finely or grated
1 inch pc grated ginger
1 green chili chopped
1/2 table spoon cumin seeds
1/2 table spoon mustard seeds
1 table spoon cumin powder
1 table spoon coriander pwdr
1/4 table spoon turmeric pwdr
1 table spoon fresh coriander leaves chopped finely
1 table spoon lemon juice
salt to taste

For the batter (semi-liquid mixture):
3 table spoon gram flour ( besan)
1 & 1/2 table spoon...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WALE WALE REMIX - KALA JEREMIAH FT JUMA NATURE, YOUNG KILLER & NAY LEE

WALE WALE REMIX - KALA JEREMIAH FT JUMA NATURE, YOUNG KILLER & NAY LEE
DIRECTED BY: PABLO D360 VIDEOS
PRODUCED BY: ZEST & PADY MAN, PLEXITY…

 

11 years ago

Dewji Blog

Viazi vitamu ni mkombozi wa kiuchumi kwa wakulima

pics mkulima-picha

Na Nathaniel Limu, Ikungi

VIJANA wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida wamehimzwa kuondokana na uvivu na badala yake waelekeze nguvu zao katika kilimo cha kibiashara cha viazi vitamu ili waweze kujikomboa kiuchumi.

Changamoto hiyo imetolewa na mkulima na mfanyabiashara wa zao la viazi vitamu na mkazi wa kijiji cha Nkuninkana,Ibrahimu Kilu (34) wakati akizungumza na MOblog juu ya kilimo hicho cha viazi vitamu ambacho pia ni  zao la chakula.

Amesema kuwa zao la viazi vitamu ambalo miaka ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtu anayelewa kwa kukula viazi karanga

Watu wengi wangependa kulewa bila kutumia hela kununua kileo lakini bwana mmoja amewastaajabisha wanasayansi kwa kulewa baada ya kula viazi karanga.

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel aeleza kwanini hajachukua wasanii tofauti na washikaji zake wale wale kufundisha kwenye chuo chake, ‘TIMS’

Kile chuo cha muziki ambacho producer Nahreel wa The Industry amesema anakifungua ‘TIMS’, kitakuwa na walimu ambao ni washikaji zake tuliozoea kuwaona pamoja. Wapo wasanii na maproducer wengi wenye ujuzi na ufahamu mkubwa wa muziki Tanzania, lakini Nahreel amewachagua wakina Nikki WA Pili, Aika, Vee Money kuwanoa wanafunzi wa ‘TIMS’ bila kuhitaji wasanii tofauti na […]

 

10 years ago

Vijimambo

USTAADHI JUMA AWAPA MAKAVU LIVE KWA WANAOPENDA MADEMU WA KIZUNGU

Promota Ostaz Juma (pichani), ametupia maneno kwenye akaunti yake ya Insta na facebook yanayoashiria kuwaponda ma brazamen wenye tabia ya kutoka na mademu wa kizungu, especially wenye umri mkubwa. Kwa mtizamo wake ameonesha tabia hiyo ni sawa na kujishushia heshima Watanzania kwani wazungu wanapokuja nchini huchukua dada zetu wenye mri mdogo.
"ndio maana kwa upande wangu mimi, penz langu la dhati nimeelekeza kwa mke wangu mpendwa Mariam Daudi Mchitinyi," sehemu ya maneno aliyotupia yalisema.

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

10 years ago

Vijimambo

Mapishi ya bagia na chatney ya machicha ya nazi


Mahitaji
Kunde (Ila mimi nilitumia Nigerian brown beans 1/2 kilo)
Vitunguu maji (onion 2)
Pilipili (scotch bonnet pepper 2)
Vitunguu swaum (garlic 4 cloves)
Chumvi (salt)
Barking powder (1/2 kijiko cha chai)
Machicha ya nazi (grated coconut 1 kikombe cha chai)
Limao (lemon 1)
Mafuta (vegetable oil)
Matayarisho
Loweka kunde usiku mzima kisha ziondoe maganda na uzitie kwenye blender pamoja na vitunguu maji, vitunguu swaum, pilipili, chumvi,barking powder na maji kiasi. Visage vitu vyote mpaka viwe laini...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani