Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nahreel aeleza kwanini hajachukua wasanii tofauti na washikaji zake wale wale kufundisha kwenye chuo chake, ‘TIMS’

Kile chuo cha muziki ambacho producer Nahreel wa The Industry amesema anakifungua ‘TIMS’, kitakuwa na walimu ambao ni washikaji zake tuliozoea kuwaona pamoja. Wapo wasanii na maproducer wengi wenye ujuzi na ufahamu mkubwa wa muziki Tanzania, lakini Nahreel amewachagua wakina Nikki WA Pili, Aika, Vee Money kuwanoa wanafunzi wa ‘TIMS’ bila kuhitaji wasanii tofauti na […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nahreel aelezea kwanini ameweka masharti magumu ya kujiunga na chuo chake cha muziki

Producer wa The Industry, Nahreel amesema kuwa lengo la kuanzisha chuo cha muziki ni kutaka kutengeneza watu watakaoweza kuja kuleta mapinduzi kwenye muziki wa Bongo. Hit maker huyo wa ‘Nana’ ya Diamond na ‘Game’ ya Navy Kenzo ameongeza kuwa kutokana na sababu hiyo ndio maana hachukui watu hovyo hovyo wanaohitaji kujiunga na chuo chake cha […]

 

10 years ago

Bongo5

Nahreel kufungua chuo cha muziki ‘TIMS’

Producer Nahreel na msanii wa kundi la Navy Kenzo, anaanzisha chuo cha muziki chini ya studio yake ya The Industry. Nahreel amesema kuwa mafunzo yatakayotolewa katika chuo cha TIMS (The Industry Music School) ni pamoja na utengenezaji wa midundo, ufanyaji wa mixing na mastering, kutunga, kurap, kuimba,na usimamizi wa biashara ya muziki. “Classes zitaamza karibuni […]

 

11 years ago

GPL

WALE WALE REMIX - KALA JEREMIAH FT JUMA NATURE, YOUNG KILLER & NAY LEE

WALE WALE REMIX - KALA JEREMIAH FT JUMA NATURE, YOUNG KILLER & NAY LEE
DIRECTED BY: PABLO D360 VIDEOS
PRODUCED BY: ZEST & PADY MAN, PLEXITY…

 

10 years ago

GPL

TOFAUTI YA MAWAZIRI WA KIKWETE NA WALE WA NYERERE!

Chama legelege huzaa serikali legelege! Haya ni maneno ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipokuwa akizungumzia aina ya mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayefaa kuingia ikulu.  Kwamba asiwe mtu wa kutafuta uongozi kwa njia ya rushwa ili kujenga serikali imara. Tukirudi nyuma, ni falsafa hiyohiyo aliyoitumia Mwalimu Nyerere wakati akiunda serikali yake baada ya kupata uhuru wa Tanganyika Desemba...

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

10 years ago

Bongo5

Ben Pol aeleza kwanini alishindwa kumaliza chuo

Mwimbaji wa R&B, Ben Pol ameweka wazi sababu iliyomfanya kushindwa kuendelea na masomo yake ya biashara kwenye chuo cha IFM. Akizungumza na Global TV hivi karibuni, Ben Pol alisema muziki umemfanya ashindwe kufuatilia masomo yake vizuri. “Nilikuwa nasoma IMF, Banking Finance Diploma,” alisema. “Nilisoma mwaka mmoja na baada ya hapo mambo yakawa mengi, tour nikasafiri […]

 

11 years ago

Bongo5

Barnaba aeleza kwanini hutumia muda mfupi kuandika nyimbo zake

Barnaba amesema kuandika nyimbo zake kwa muda mfupi tu ni kipaji alichopewa na Mungu. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa humchukua dakika 30 tu kuandika nyimbo zake au za wasanii wengine. “Unajua nyimbo zangu huwa naandika kwa kutumia dakika chache sana kama wimbo wangu huu mpya niliandika kwa kutumia dakika 30 lakini zingine zote huwa ni […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond aeleza kwanini ‘alidedicate’ tuzo zake za Afrimma kwa Tiffah

Diamond amesema alikuwa na ndoto siku moja akipata tuzo ya mafanikio ya kazi zake aielekeze kwa mtoto wake, Latiffah. Muimbaji huyo aliyeshinda tuzo tatu za Afrimma Jumapili hii ameiambia ya XXL ya Clouds FM kuwa amefanya hivyo kwa sababu mafanikio yake yanachangiwa na mtoto wake huyo. “Unajua ilikuwa ni moja ya ndoto zangu, kwamba hiyo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani