Ben Pol aeleza kwanini alishindwa kumaliza chuo
Mwimbaji wa R&B, Ben Pol ameweka wazi sababu iliyomfanya kushindwa kuendelea na masomo yake ya biashara kwenye chuo cha IFM. Akizungumza na Global TV hivi karibuni, Ben Pol alisema muziki umemfanya ashindwe kufuatilia masomo yake vizuri. “Nilikuwa nasoma IMF, Banking Finance Diploma,” alisema. “Nilisoma mwaka mmoja na baada ya hapo mambo yakawa mengi, tour nikasafiri […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo513 Oct
Ben Pol aeleza kwanini hataki kuonekana na mpenzi wake kila wakati
9 years ago
Bongo519 Dec
Exclusive: Ben Pol aeleza kwanini alimuandikia Alikiba tweet iliyozua utata mkubwa!
![Kiba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Kiba-300x194.jpg)
Ben Pol amesema tweet ya utata aliyomuandikia Alikiba, alikusudia kumtumia kwenye ujumbe wa siri wa mtandao wa Twitter (DM) lakini akakosea na kuiweka wazi!
Juzi kupitia mtandao huo, Ben Pol alimuuliza Alikiba swali, “Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?”
Ben Pol ameiambia Bongo5 kuwa wasanii wamekuwa wakiambiana ukweli kuhusu muziki na maisha yao ili kuwekana sawa.
“Ile tweet kwanza nilikuwa nataka iende DM,” alisema.
“Unajua sisi...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Ben Pol: Aeleza sababu za kuuza albamu mtandaoni
9 years ago
Bongo509 Nov
Kuna chochote tutarajie baada ya Ben Pol kukutana na Patoranking Afrika Kusini? Ben Pol ana majibu…
![Ben SA-1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ben-SA-1-300x194.jpg)
Safari ya Ben Pol Afrika Kusini imempa nafasi ya kukutana na mastaa wa Afrika ambao kwa namna moja ama nyingine alikuwa na ndoto za kuja kufanya nao kazi hapo baadae.
Ben Pol ambaye ameenda jijini Johannesburg kushoot video ya wimbo aliomshirikisha Avril na Rossie M, ambayo imefanyika jana, pia alipata nafasi ya kukutana na staa wa Nigeria, Patoranking.
Ben Pol na Patoranking
Baada ya kupost picha akiwa na staa huyo kwenye Instagram, mashabiki walianza kupata hisia kuwa huenda kuna...
9 years ago
Bongo528 Dec
Ben Pol Angefanyaje?: Aeleza kilichosababisha Avril kutoonekana kwenye video yake
![ben-avril](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/ben-avril-300x194.jpg)
Miongoni mwa vitu ambavyo mashabiki huvitarajia kwenye video za nyimbo za collabo ni kuwaona wasanii wote waliohusika kwenye video, kitu ambacho kwa Ben Pol hakikufanikiwa kwa asilimia zote kwenye video yake mpya.
Siku chache baada ya kuachia video ya wimbo wake ‘NINGEFANYAJE’, Ben Pol ameeleza sababu zilizopelekea muimbaji Avril kutoka Kenya aliyeshirikishwa kwenye wimbo huo, kutoonekana kwenye video hiyo anayoitaja kuwa kubwa kuliko video zote alizowahi kufanya.
Kwenye video hiyo...
9 years ago
Dewji Blog28 Dec
Ben Pol aeleza sababu zilizopelekea Avril kutoonekana kwenye video ya ‘Ningefanyaje’
Siku chache baada ya kuachia video ya wimbo wake – ‘NINGEFANYAJE’, muimbaji wa R&B kutoka Tanzania, Bernard Paul maarufu kama Ben Pol ameeleza sababu zilizopelekea muimbaji Avrilkutoka Kenya aliyeshirikishwa kwenye wimbo huo, kutoonekana kwenye video hiyo anayoitaja kuwa kubwa kuliko video zote alizowahi kufanya.
Katika video hiyo iliyoongozwa na Justin Campos wa Afrika Kusini, Ben Pol anaonekana akiimba na Rossie M ambaye pia ameshirikishwa kwenye wimbo huo huku mashabiki wakiisikia...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tUR-PG0K0g0/VoEID5rvUZI/AAAAAAAIO94/2huWdki3-yk/s72-c/48JwVIyK.jpeg)
MSANII BEN POL AELEZA SABABU ZILIZOPELEKEA AVRIL KUTOONEKANA KWENYE VIDEO YA 'NINGEFANYAJE'
![](http://3.bp.blogspot.com/-tUR-PG0K0g0/VoEID5rvUZI/AAAAAAAIO94/2huWdki3-yk/s640/48JwVIyK.jpeg)
Katika video hiyo iliyoongozwa na Justin Campos wa Afrika Kusini, Ben Pol anaonekana akiimba na Rossie M ambaye pia ameshirikishwa kwenye wimbo huo huku mashabiki wakiisikia...
10 years ago
Bongo527 Jul
Unataka kwenda international? Ben Pol aeleza pressure iliyopo kufanikisha hilo (Video)
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Ben Pol aanza mwaka na Ben Pol
Ben Pol.
Khadija Mngwai, Dar es Salaam
MWANAMUZIKI wa muziki wa Kizazi kipya ‘Bongo Fleva, Benard Paul (Ben Pol) amefunguka kwa kusema kuwa anauanza mwaka wa 2016 kwa kutoa albamu yake iliyobeba nyimbo 13, mwanzoni mwa mwezi wa pili.
Akizungumza na Championi Jumatano, Pol amesema kuwa wasanii wengi wamekuwa wakiuchukulia muziki huo ni wa kawaida tu kwa kuhitaji kujiingizia kipato na siyo kuwa ‘serious’ na matokeo yake wanaishia kutoa nyimbo moja au mbili ili kupata shoo.
“Nimejipanga kuweka...