Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushirikiano wa wizara mkombozi wa wakulima

Suluhisho pekee la kuwasaidia wakulima na kuongeza soko la mazao ya biashara ni pamoja na kuziunganisha Wizara ya Viwanda na Biashara, Kilimo, Chakula na Ushirika na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira ili kuwawezesha wakulima kulima mazao yanayoendana na mabadiliko ya hali ya hewa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Viazi vitamu ni mkombozi wa kiuchumi kwa wakulima

pics mkulima-picha

Na Nathaniel Limu, Ikungi

VIJANA wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida wamehimzwa kuondokana na uvivu na badala yake waelekeze nguvu zao katika kilimo cha kibiashara cha viazi vitamu ili waweze kujikomboa kiuchumi.

Changamoto hiyo imetolewa na mkulima na mfanyabiashara wa zao la viazi vitamu na mkazi wa kijiji cha Nkuninkana,Ibrahimu Kilu (34) wakati akizungumza na MOblog juu ya kilimo hicho cha viazi vitamu ambacho pia ni  zao la chakula.

Amesema kuwa zao la viazi vitamu ambalo miaka ya...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA WIZARA YA USHIRIKIANO AFRIKA MASHARIKI ZALENGA KUBORESHA UHUSIANO WA TANZANIA KIMATAIFA.

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bw. Bernard Membe akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka 2015/2016 bungeni leo mjini Dodoma.  Mabalozi wa Tanzania kwenye nchi mbalimbali duniani wakifuatilia bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa mwaka 2015/2016 iliyowasilishwa leo bungeni mjini Dodoma. Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Harrison Mwakyembe akimsikiliza kwa makini mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe....

 

9 years ago

Michuzi

Balozi Dkt. Mahiga akutana na Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na iliyokuwa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga na Naibu Waziri wake, Mhe. Dkt. Suzan Kolimba waliwasili Wizarani kuanza kazi rasmi siku ya Jumamosi tarehe 12 Desemba 2015. 
Viongozi hao wapya wa Wizara walipokelewa na watumishi kwa shangwe walipowasili wizarani, muda mfupi baada ya kula kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika Ikulu ya Dar es Salaam.

Siku ya kwanza Wizarani,...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Wakulima watakiwa kutoa ushirikiano

Wakulima wa mahindi wameshauriwa kuwa na ushirikiano na maofisa ugani ili kudhibiti magonjwa na kuangamiza wadudu waharibifu katika mashamba yao.

 

10 years ago

Michuzi

SIMBACHAWENE ATAKA USHIRIKIANO ATEKELEZE MAJUKUMU YA WIZARA

  Waziri wa Nishati na Madini,  George Simbachawene, akizungumza na wananchi wa  Kijiji cha Mwilowe, Wilaya ya Mpwapwa, baada  kuzuia msafara wake   wakati  alipopita  katika Kijiji hicho wakati wa ziara ya kukagua Utekelezaji wa Mradi wa Umeme Vijijini Awamu ya Pili unaofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na Kutekelezwa na Shirika la Umeme Nchini, (TANESCO). Wanakijiji hao walimweleza Waziri kuwa kijiji chao pia kiunganishwe na umeme. Wananchi wa Kijiji cha Mwilowe wakizuia...

 

11 years ago

Michuzi

SALAMU ZA POLE WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI

Uongozi na Wafanyakazi wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki unatoa pole kwa Katibu Mkuu wake Bi. Joyce K.G. Mapunjokufuatia kifo cha Mume wake Profesa Zakaria Mmbwambo (58) kilichotokea Jumamosi tarehe 19 Julai 2014, Dar es Salaam.Wizara inaungana na ndugu, jamaa na marafiki katika kuipa mkono wa pole familia ya Profesa Mmbwambo katika kipindi hiki kigumu.

Mungu ailaze roho ya Marehemu mahala pema peponi. Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe


Imetolewa na Wizara ya...

 

5 years ago

Michuzi

Naibu Waziri Shonza:Wizara ipo tayari kumpa ushirikiano Chidbenz

Na Anitha Jonas – WHUSM
Naibu Waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Juliana Shonza amwaahidi ushirikiano msanii wa bongofleva nchini Rashid Abdallah maarufu Chidbenz.
Mheshimiwa Shonza ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma alipofanya kikao na msanii huyo ambapo Chid benz alimuhakikishia kuwa kwa sasa  amebadilika na anataka kuwaonyesha watanzania amefanikiwa kujikwamua katika matumizi ya madawa ya kulevya na hataki tena kurudi huko kwani anazaidi ya miezi mitatu sasa hajatumia...

 

10 years ago

Michuzi

NAIBU WAZIRI WIZARA YA USHIRIKIANO ATEMBELEA MELI YA RV JUMUIYA JIJINI MWANZA

  Naibu Waziri Wizara  ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dr. Juma Abdulla Saadala  mwenye kofia akioneshwa namna Meli ya RV Jumuiya inavyofanya kazi ikiwa katika mwendo ndani Ziwa Victoria na nahodha wa meli hiyo  Captain Juma Nkwama jijini Mwanza.  Naibu Waziri wa Wizara  ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Juma Abdulla Saadala akitiasaini kitabu cha maudhurio ndani ya Meli ya RV Jumuiya.Naibu Waziri Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Juma Saadala akifafanua ajambo ndani ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki awataka wajasiriamali kuchangamkia masoko

1

Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo John Mahaley akitoa neno kwenye Maonesho ya Bidhaa za Wajasiriamali wa Bagamoyo 2014, kwenye viwanda vya kituo cha mabasi Bagamoyo.

Hussein Makame-MAELEZO

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Joyce Mapunjo, amewataka wajasiriamali wa Bagamoyo na Watanzania kwa ujumla kuwa wabunifu na kuongeza thamani za bidhaa zao ili kuhakikisha wanafaidika na fursa za masoko ya bidhaa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Ameyasema hayo wakati akifungua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani