Ushirikiano wa wizara mkombozi wa wakulima
Suluhisho pekee la kuwasaidia wakulima na kuongeza soko la mazao ya biashara ni pamoja na kuziunganisha Wizara ya Viwanda na Biashara, Kilimo, Chakula na Ushirika na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira ili kuwawezesha wakulima kulima mazao yanayoendana na mabadiliko ya hali ya hewa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog28 Apr
Viazi vitamu ni mkombozi wa kiuchumi kwa wakulima
Na Nathaniel Limu, Ikungi
VIJANA wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida wamehimzwa kuondokana na uvivu na badala yake waelekeze nguvu zao katika kilimo cha kibiashara cha viazi vitamu ili waweze kujikomboa kiuchumi.
Changamoto hiyo imetolewa na mkulima na mfanyabiashara wa zao la viazi vitamu na mkazi wa kijiji cha Nkuninkana,Ibrahimu Kilu (34) wakati akizungumza na MOblog juu ya kilimo hicho cha viazi vitamu ambacho pia ni zao la chakula.
Amesema kuwa zao la viazi vitamu ambalo miaka ya...
10 years ago
MichuziWIZARA YA MAMBO YA NJE NA WIZARA YA USHIRIKIANO AFRIKA MASHARIKI ZALENGA KUBORESHA UHUSIANO WA TANZANIA KIMATAIFA.
9 years ago
MichuziBalozi Dkt. Mahiga akutana na Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na iliyokuwa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Viongozi hao wapya wa Wizara walipokelewa na watumishi kwa shangwe walipowasili wizarani, muda mfupi baada ya kula kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika Ikulu ya Dar es Salaam.
Siku ya kwanza Wizarani,...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
‘Wakulima watakiwa kutoa ushirikiano
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-A4OmYwuwNbk/VYlagLhlnII/AAAAAAAHizQ/DDzun8lsTEQ/s72-c/picha%2B3.jpg)
SIMBACHAWENE ATAKA USHIRIKIANO ATEKELEZE MAJUKUMU YA WIZARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-A4OmYwuwNbk/VYlagLhlnII/AAAAAAAHizQ/DDzun8lsTEQ/s640/picha%2B3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_ZbuOCFCbgk/VYlagbdzWSI/AAAAAAAHizU/YRotc_rnCKg/s640/picha%2B4.jpg)
11 years ago
Michuzi21 Jul
SALAMU ZA POLE WIZARA YA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI
Imetolewa na Wizara ya...
5 years ago
MichuziNaibu Waziri Shonza:Wizara ipo tayari kumpa ushirikiano Chidbenz
Naibu Waziri Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Juliana Shonza amwaahidi ushirikiano msanii wa bongofleva nchini Rashid Abdallah maarufu Chidbenz.
Mheshimiwa Shonza ametoa kauli hiyo leo jijini Dodoma alipofanya kikao na msanii huyo ambapo Chid benz alimuhakikishia kuwa kwa sasa amebadilika na anataka kuwaonyesha watanzania amefanikiwa kujikwamua katika matumizi ya madawa ya kulevya na hataki tena kurudi huko kwani anazaidi ya miezi mitatu sasa hajatumia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FrwScooAvQ8/VD7aOuvW2jI/AAAAAAAGqyM/ITYk5304gGI/s72-c/unnamed%2B(38).jpg)
NAIBU WAZIRI WIZARA YA USHIRIKIANO ATEMBELEA MELI YA RV JUMUIYA JIJINI MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FrwScooAvQ8/VD7aOuvW2jI/AAAAAAAGqyM/ITYk5304gGI/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-RTYfRfMDcC8/VD7aO21bZTI/AAAAAAAGqyQ/NpWhm2lzfco/s1600/unnamed%2B(41).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uNTtY_p5Q4k/VD7aP3igLwI/AAAAAAAGqyo/L0CHuCKtfzw/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Katibu Mkuu Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki awataka wajasiriamali kuchangamkia masoko
Katibu Tawala wa Wilaya ya Bagamoyo John Mahaley akitoa neno kwenye Maonesho ya Bidhaa za Wajasiriamali wa Bagamoyo 2014, kwenye viwanda vya kituo cha mabasi Bagamoyo.
Hussein Makame-MAELEZO
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Joyce Mapunjo, amewataka wajasiriamali wa Bagamoyo na Watanzania kwa ujumla kuwa wabunifu na kuongeza thamani za bidhaa zao ili kuhakikisha wanafaidika na fursa za masoko ya bidhaa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Ameyasema hayo wakati akifungua...