Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu
NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbaf-1G9eozSM5*zB1iwCour8tTJjIQHpeANbqtAD9Ecdbhp8pynuGCL1t8BawZ2Vpwjm3jq0tgMKUPL7CFVtU7Ll/MAHABA.jpg)
NJIA RAHISI ZA KUFIKISHA HISIA KWA UMPENDAYE!
NINA furaha sana kukutana nanyi tena katika ukurasa huu ambao kila siku hutufunza mambo mapya kuhusu mapenzi. Kama kawaida, leo nina mada nzuri ambayo itakufungua.Marafiki zangu, hisia za mapenzi hutokea ndani kabisa ya moyo.
Kila mmoja ana uhuru na haki ya kupenda. Huwezi kuchaguliwa wa kumpenda! Mapenzi ni maisha ya mtu katika uhalisia wake. Hii humaanisha kuwa kama utakuwa na mtu ambaye moyo wako hauna mapendo ya dhati...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w9JIhnUgjg95USMBVwY1AMlJRPNky25ZN6cCR988zDmDesmQ5a1u6oEZV70sh6YrQAsthrbEu*SxhZA6-rtw9ZXZhOmmkhnc/mahaba.jpg)
NJIA RAHISI ZA KUFIKISHA HISIA KWA UMPENDAYE!-2
NI wakati mwingine mzuri kwa ajili yako msomaji mpendwa kujifunza mambo mbalimbali kuhusu uhusiano. Naamini unapata unachotarajia. Leo tunaendelea na somo letu lililoanza wiki iliyopita. Ukweli uko wazi kuwa inapotokea mwanamke akampenda mwanaume huwa kuna ugumu wa kufikisha hisia zake. Ni suala la mfumo na tamaduni zetu. Haikubaliki. Lakini katika nyakati hizi za digitali, mambo yamebadilika. Mwanamke anapohisi kumpenda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VHyLUUR13iI/XomMUz9AdMI/AAAAAAALmC0/vr9nKJAF3UooaIYWdgkAws0LmZXRU_agQCLcBGAsYHQ/s72-c/UZINDUZI-1024x821.jpg)
Usomaji kwa njia ya kidijitali : Vodacom Instant Schools njia sahihi ya elimu kwa vitendo
![](https://1.bp.blogspot.com/-VHyLUUR13iI/XomMUz9AdMI/AAAAAAALmC0/vr9nKJAF3UooaIYWdgkAws0LmZXRU_agQCLcBGAsYHQ/s640/UZINDUZI-1024x821.jpg)
Wazo la usomaji kwa njia ya kidijitali linalenga kuongeza ufanisi na kuboresha mazingira ya usomaji kwa wahusika kutumia nyenzo za kisasa. Lengo siyo kuachana na mfumo wa mafunzo ya darasani bali kuuboresha kwa kuzingatia matumizi ya teknolojia.
Kwa...
11 years ago
MichuziMTOTO WA MIAKA 9 ATAKA KUWEKA REKODI YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA KUTUMIA NJIA NGUMU
kupanda Mlima Kilimanjaro.
kupanda Mlima Kilimanjaro.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Zl1L2gW_yHo/UxBcZE_VppI/AAAAAAAFQP4/7F0GaA89EhI/s72-c/unnamed+(28).jpg)
MAKARANI 90 WA MAHAKAMA MBALIMBALI NCHINI KUPEWA MAFUNZO YA KUJIFUNZA MFUMO MPYA WA TEKNOLOJIA WA KUDHIBITI MASHAURI MAHAKAMANI KWA NJIA YA KOMPYUTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zl1L2gW_yHo/UxBcZE_VppI/AAAAAAAFQP4/7F0GaA89EhI/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-rCGQeO2cQgk/UxBccYMJotI/AAAAAAAFQQA/6Bh6aB98ff8/s1600/unnamed+(29).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK8BTJreyZ3yGncPOrsRggmgf*wM3u3Fn2YV-cbdmDNErwUCvmhXueYdsWGKyWw8QGl-UWh5gWYg3XDiZq0SkxeR/warrenbuffettinvestingadvice.jpg?width=650)
NJIA RAHISI YA KUTENGENEZA UTAJIRI- 2
Warren Buffett. WIKI iliyopita tuliangalia kanuni tano zilizomfanya tajiri namba moja duniani, Warren Buffett kufanikiwa katika maisha yake, leo tunamalizia kanuni tano za mwisho ambazo kama utazifuata, unaweza kufanikiwa kirahisi katika kuyafikia mafanikio. Usiwe mtu wa mikopo mikopo
Kuishi katika mikopo hakuwezi kukufanya ukawa tajiri. Tajiri maarufu duniani Mmarekani Warren Buffett hakuwahi kukopa, iwe kwa ajili ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/at5DaH0Gs6ng8wWH7FIFAqoR2c2xVhZ3fmB3DCRX5OXOwDNf6CGxNNzQAeCkpGQ50IZjjWyAEMmKyL0VRQMEpYcqmMcCP5Jc/warrenbuffettwisdom.jpg?width=550)
NJIA RAHISI ZA KUKUTENGENEZEA UTAJIRI
Warren Buffett. Akiwa na mali yenye thamani ya dola za Marekani Bilioni 62, Warren Buffett ndiye binadamu tajiri kuliko wote duniani. Mwaka 1962 wakati akianza kununua hisa katika kampuni ya Berkshire Hathaway, hisa moja ilikuwa na thamani ya Dola 7.50. Leo, Warren Buffett, akiwa na umri wa miaka 78, ni Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo na hisa moja hivi sasa ina thamani ya dola 119,000.
Zifuatazo ni baadhi ya...
5 years ago
BBCSwahili13 Mar
10 years ago
Mwananchi04 Jun
Njia rahisi ya kutumia taka za mazao ili kuzalisha uyoga
Watanzania wanaweza kujiongezea kipato kwa kujiingiza katika kilimo cha uyoga, ambacho hakihitaji teknolojia ya juu ili kukifanikisha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania