MAKARANI 90 WA MAHAKAMA MBALIMBALI NCHINI KUPEWA MAFUNZO YA KUJIFUNZA MFUMO MPYA WA TEKNOLOJIA WA KUDHIBITI MASHAURI MAHAKAMANI KWA NJIA YA KOMPYUTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Zl1L2gW_yHo/UxBcZE_VppI/AAAAAAAFQP4/7F0GaA89EhI/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Mhe. Hussein Kattanga, Mtendaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, akifungua mafunzo hayo rasmi jana, katika maneno yake ya ufunguzi Kattanga amewaasa Makarani kutokufanya kazi kwa mazoea bali kufanya kulingana na misingi ya maadili ya Mahakama iliyopo lengo likiwa ni kubadili taswira ya Mahakama kwa wananchi, (kushoto) ni Msajili wa Mahakama ya Ardhi, Mhe. Lameck Mlacha, kulia ni Naibu Mkurugenzi Mafunzo, Bi. Rehema Vyas.
![](http://2.bp.blogspot.com/-rCGQeO2cQgk/UxBccYMJotI/AAAAAAAFQQA/6Bh6aB98ff8/s1600/unnamed+(29).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k1qaWaxjsAA/VeWc-trJ_3I/AAAAAAAH1k8/YKlfByTlVD8/s72-c/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
MAKARANI WA MAHAKAMA MKOA WA DAR ES SALAAM WAPEWA MAFUNZO YA UINGIZAJI WA TAARIFA ZA MASHAURI KWA NJIA YA KI-ELECTRONIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-k1qaWaxjsAA/VeWc-trJ_3I/AAAAAAAH1k8/YKlfByTlVD8/s1600/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dZONGlWBbTg/VeWc-fHd5sI/AAAAAAAH1lA/laf3ATIPco8/s640/New%2BPicture%2B%25283%2529.png)
9 years ago
MichuziWACHIMBAJI WADOGO SHINYANGA WAPATIWA MAFUNZO KUHUSU MFUMO MPYA WA UTOAJI LESENI ZA MADINI KWA NJIA YA MTANDAO
11 years ago
Habarileo28 Jun
Watumishi wa mahakama wanolewa mfumo wa kompyuta
WATUMISHI wa Idara za Mahakama wakiwemo Mahakimu na Makarani wa Wilaya za Bukombe na Kahama juzi wamepata mafunzo kutoka mfumo wa karatasi kwenda katika mfumo kwa Kompyuta (JSBS) kwa lengo la kukuza ufanisi katika maeneo yao ya kazi waliopo.
5 years ago
MichuziMASHAURI 157 YAANZA KUSIKILIZWA NA MAHAKAMA YA RUFANI NCHINI
11 years ago
Tanzania Daima25 May
Wasiopenda kujifunza kwa njia rahisi, watajifunza kwa njia ngumu
NIMEMSIKIA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana akisema kuwa katiba mpya haileti maendeleo hata ikija. Msingi wa hoja yake ni kuwa katiba mpya siyo mtatuzi wa matatizo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-nWKESexIkS8/Xl0LrWBBFkI/AAAAAAALgaI/UgyU3uqT6QIbTldINDABsJdSBFvvmvwuACLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
NBAA YAANZISHA MFUMO MPYA WA USAJILI KWA NJIA YA MTANDAO(MEMS)
![](https://1.bp.blogspot.com/-nWKESexIkS8/Xl0LrWBBFkI/AAAAAAALgaI/UgyU3uqT6QIbTldINDABsJdSBFvvmvwuACLcBGAsYHQ/s320/0.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Bodi hiyo imeeleza kuwa mfumo huo unatoa fursa kwa wanafunzi na wanachama kupata huduma mbalimbali zinazotolewa na Bodi ikiwa ni pamoja na kufanya usajili, kufanya malipo mbalimbali, kuhudhuria semina, kununua vitabu na kadhalika kupitia...
10 years ago
MichuziTMA YAANDAA WARSHA YA MAFUNZO YA UTUMIAJI WA TEKNOLOJIA YA MFUMO WA KIDIGITAL
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VRHYeCCRgNw/VSgdCoNO6pI/AAAAAAAHQJw/QMd3z4aN0wQ/s72-c/unnamed%2B(45).jpg)
Mfumo mpya wa upokeaji wa maombi ya kazi kwa njia ya mtandao kuzinduliwa hivi karibuni.
![](http://3.bp.blogspot.com/-VRHYeCCRgNw/VSgdCoNO6pI/AAAAAAAHQJw/QMd3z4aN0wQ/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XR9DZHhZ-jE/Xru7yjP_hnI/AAAAAAALqCA/FGXMeXay4rkLICysI5jakd43hQHqtx_dgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200512-WA0041-768x576.jpg)
MAHAKAMA KUU MUSOMA YAAKUSIKILIZA MASHAURI KWA MTANDAO
![](https://1.bp.blogspot.com/-XR9DZHhZ-jE/Xru7yjP_hnI/AAAAAAALqCA/FGXMeXay4rkLICysI5jakd43hQHqtx_dgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200512-WA0041-768x576.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200512-WA0039-1024x768.jpg)
Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Musoma Mhe, Zephrine Galeba ya akiendesha shauri kwa njia ya Mahakama Mtandao katika ukumbi wa Mahakama hiyo jana.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200512-WA0037-1024x768.jpg)
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Musoma, Mhe.Rahim Mushi akisikiliza shauri kwa njia hiyo.
Picha na Francisca Swai –Mahakama Kuu Musoma.
…………………………………………………………
Na. Francisca Swai-...